acha ukabila, wewe mwenyewe ni mzaireHuyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ukabila, wewe mwenyewe ni mzaireHuyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Kabisa atalipa,maana jinai haifiManeno yenye kila aina ya ukweli. Watu walikuwa wamejiona kama miungu watu. Kila nikikumbuka Makonda alivyokuwa amevurugwa akili kwa kulewa madaraka kabisa mpaka akajiona kuwa Dar yote hakuna wa kumwambia kitu ila Magufuli pekee. Ni Samia nasikia anamlinda tu lakini kuna siku yote aliyofanya atayalipa.
Kipindi kile jiwe angemben sanane[emoji1787][emoji1787]Watusi kwa kujipendekeza hawajabo. Teuzi inatafutwa hapo.
Kwa nini iwe leo na si kipindi kile?
Toka lini DPP akamshitaki DPP!!??
Wabaguzi na Wakabila hawana nafasi humu Jamii forums tuwakemee.acha ukabila, wewe mwenyewe ni mzaire
Weee mpumbavu bado upo? Tusubiri kuhusu Biswalo kama atakwepa kunywea kikombe cha pilatoBiswalo hawezi kufanywa chochote na Kabendera anapoteza mda tu.
Kila ubaya utalipwaAnajisikiaje akimkumbuka Mama yake? Kwanini asiishi maishi ya kiroho kuliko visasi na majibizano?
Oohooooo!Kila ubaya utalipwa
Kwani sio mtusi?, yaani huyu atoke kwao huko kuja kumtukana jpm?,Noooo.Acha Ukabila ndugu.
Jpm ni Mhutu kuna kosa gani akitukanwa na Mtusi?Kwani sio mtusi?, yaani huyu atoke kwao huko kuja kumtukana jpm?,Noooo.