Hakuna siri kubwa aliyo nayo zaidi ya yeye alivyoshirikiana na mwendazake kupora fedha za watu.Narudia tena, Biswalo hawezi kufanywa chochote hata kama lipo zengwe labda chochote anachoweza kufanywa, ni wamuue tu.
DPP anazo siri nyingi mno za hao Viongozi.
Dikteta muuaji kashakufa,hakuna wakumtishaHuyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Kusoma hujui hata picha huoni?
Wanaume aina ya Kabendera ndo wanaohitajika katika kipindi hiki...bravo Kabendera...!hakuna kuogopa wala kurudi nyumaKupitia Twitter mwandishi wa habari mkongwe Eric Kabendera amesema ameitwa kuwasilisha vielelezo vyake baada ya kutishiwa na aliyekuwa DPP wa Serikali Dr. Biswalo Mganga
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
View attachment 2386947
Pia soma: Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete
AmeenYule marehemu hakuwa mtu mzuri Hakika, Tunamshukuru Mungu.
Ulikuwepo wakati anafanyiwa hayo?Huyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Wamuue? Sasa mbona unasema hawezi kufanywa kitu?Narudia tena, Biswalo hawezi kufanywa chochote hata kama lipo zengwe labda chochote anachoweza kufanywa, ni wamuue tu.
DPP anazo siri nyingi mno za hao Viongozi.
Eric bana ....Kupitia Twitter mwandishi wa habari mkongwe Eric Kabendera amesema ameitwa kuwasilisha vielelezo vyake baada ya kutishiwa na aliyekuwa DPP wa Serikali Dr. Biswalo Mganga
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
View attachment 2386947
Pia soma: Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete
Ishi kwa matumaini mkuu siyo mbayaHuelewi kinachoendelea
Ulitaka ale shaba?Watusi kwa kujipendekeza hawajabo. Teuzi inatafutwa hapo.
Kwa nini iwe leo na si kipindi kile?
Angekuwa sio mtu mzuri angeiacha hai hiyo paka hapo juu!!??Yule marehemu hakuwa mtu mzuri Hakika, Tunamshukuru Mungu.
Dunia ni mapishano. Yule alitupisha sasa yupo Samia. Kuna waliomfaidi wanamsifia, kuna walioteseka wanalaani. Wengine wlitesa watu sababu tu walidhani wanamfurahishaKila zama na kitabu chake. Huwezi amini kama haya yangetokea miaka 3 nyuma. Dunia duara na hakuna ajuaye kesho yake. Tutakanyage ardhi Kwa staha
Ni zamu yao ngoja wapitishweKwenu nyie maCcm ambao hamtaki ukweli mtasema an atumika.
Ila ukweli uko wazi Magu alikuwa muuaji na jambazi.
Subirini watu wateme nyongo. Mlizowea vya kunyonga sasa subirini tule vya kuchinja.
Ndio alishindwa kuiangamiza kwa sababu ni public assetAngekuwa sio mtu mzuri angeiacha hai hiyo paka hapo juu!!??
Hakuna cha asset wala nini takataka tu hiyo piga mboyoyoNdio alishindwa kuiangamiza kwa sababu ni public asset
Erick Kabendera ni Mhaya kutoka Kamachumu Muleba. Hana uhusiano na Marehemu Kabendera Shinani aliyekuwa mwanahabari wa radio za Rwanda wakati wa Hyabarimana. Msiandike kwa ku ASSUMEHuyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi