Kabendera: Nimeombwa kuwasilisha vielelezo kuhusu vitisho vya Jaji Biswalo

Narudia tena, Biswalo hawezi kufanywa chochote hata kama lipo zengwe labda chochote anachoweza kufanywa, ni wamuue tu.

DPP anazo siri nyingi mno za hao Viongozi.
Hakuna siri kubwa aliyo nayo zaidi ya yeye alivyoshirikiana na mwendazake kupora fedha za watu.
 
Wanaume aina ya Kabendera ndo wanaohitajika katika kipindi hiki...bravo Kabendera...!hakuna kuogopa wala kurudi nyuma
 
Huyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Ulikuwepo wakati anafanyiwa hayo?
Au alistahili hayo sababu ni mtutsi?

Jipe muda mahakama zipo tutajua ukweli uko wapi
 
Narudia tena, Biswalo hawezi kufanywa chochote hata kama lipo zengwe labda chochote anachoweza kufanywa, ni wamuue tu.

DPP anazo siri nyingi mno za hao Viongozi.
Wamuue? Sasa mbona unasema hawezi kufanywa kitu?
Hujui kuna watu wamezulumiwa majumba yao sasa hivi wamepewa bure ndugu na washikaji wa Biswalo na wenzake? Na wapo waliojiapia jicho kwa jicho!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Eric bana ....
 
Inatumika nguvu kubwa kulazimisha kuaminisha umma et jiwe alikua mtu mbaya sana!! lkn kina sisi tupo hapa kumtetea na tunaamini aliwanyoosha wapuuzi kama huyo kakitenge na wapuuzi wengine wa aina hiyo.

Wenye vyeti, wapiga dili ,majizi na washenzi walikiona cha moto kipindi cha jiwe.. akwende zake mpuuzi huyo
 
Kila zama na kitabu chake. Huwezi amini kama haya yangetokea miaka 3 nyuma. Dunia duara na hakuna ajuaye kesho yake. Tutakanyage ardhi Kwa staha
Dunia ni mapishano. Yule alitupisha sasa yupo Samia. Kuna waliomfaidi wanamsifia, kuna walioteseka wanalaani. Wengine wlitesa watu sababu tu walidhani wanamfurahisha
 
Kwenu nyie maCcm ambao hamtaki ukweli mtasema an atumika.
Ila ukweli uko wazi Magu alikuwa muuaji na jambazi.
Subirini watu wateme nyongo. Mlizowea vya kunyonga sasa subirini tule vya kuchinja.
Ni zamu yao ngoja wapitishwe
 
Huyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Erick Kabendera ni Mhaya kutoka Kamachumu Muleba. Hana uhusiano na Marehemu Kabendera Shinani aliyekuwa mwanahabari wa radio za Rwanda wakati wa Hyabarimana. Msiandike kwa ku ASSUME
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…