Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Disclaimer: This thread will contain some spoilers from the book ""In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".
Naam,
Nasoma kitabu cha Erick Kabendera "In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".
Kwa wanaonijua, mimi si mtetezi wa Magufuli, kwa hiyo uzi huu si wa kumtetea Magufuli.
Uzi huu ni wa kuhakiki kitabu. Kitabu kina mambo mengi sana ambayo yana utata, episodes za pajama, Osama kukaa Zanzibar, Magufuli kuwa responsible kwa mtoto wake kuwa na HIV, Magufuli kumpiga risasi Ben Saanane Ikulu, just to name a few.
Mimi sitayazungumzia yote hayo, nitazungumzia jambo moja tu ambalo halina utata.
Watu wote wanaojua historia wanajua Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alifariki April 12 1984.
Imekuwa vipi Erick Kabendera kaandika tarehe hiyo kama April 12 1983? Tena nilivyoona mara moja tu, nikafikiri hiyo ni typographical error tu, nikakuta karudia mara mbili, katika kurasa mbili zinazofuatana (108 na 109 in the printed book). Inaonekana ndiyo tarehe anayoifahamu.
Kitabu hakikuwa na editor? Hakikuwa na proofreader?
Leo Clubhouse (Watanganyika House) nimemsikia Absalom Kibanda akiomba msamaha kuwa alipewa kitabu kukifanyia proofreading, lakini hakukipitia vizuri, aliharakisha kukipitia, kaona kina makosa fulani ambayo yatasahihishwa katika second edition.
Nimemsikia pia Zitto Kabwe akisema kuwa kuna tatizo la timeline katika narrative ya tukio fulani.
Replays zipo "Watanganyika" Clubhouse.
Na hao ndio wahusika wachache tu waliokuwa tayari kukiongelea kitabu.
Hili linanipa swali, kama kitabu kimekosea mpaka mwaka aliofariki Edward Moringe Sokoine, je, kitabu kimekuwa rushed, hakijafanyiwa proofreading vizuri?
As much as wengine hawakumpenda Magufuli, ku rush kitabu na kufanya makosa kunawapa wanaompenda Magufuli ammunition ya kudismiss mengi yaliyoandikwa kuwa ni ya uongo.
Kabendera muandishi mkubwa kashindwa ku fact check tarehe ya kifo cha Sokoine hata kwenye Google? Proofreaders wake na editor wameshindwa pia?
Kama hili lina mushkeli, hili lililo wazi ambalo halina utata kabisa, tunaachwa tukijiuliza, mangapi yenye utata mwingi yana mushkeli pia?
Kabendera has to get not only the general narrative right, but the detail too.
Hopefully the second edition will correct this and any other inaccuracy.
Naam,
Nasoma kitabu cha Erick Kabendera "In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".
Kwa wanaonijua, mimi si mtetezi wa Magufuli, kwa hiyo uzi huu si wa kumtetea Magufuli.
Uzi huu ni wa kuhakiki kitabu. Kitabu kina mambo mengi sana ambayo yana utata, episodes za pajama, Osama kukaa Zanzibar, Magufuli kuwa responsible kwa mtoto wake kuwa na HIV, Magufuli kumpiga risasi Ben Saanane Ikulu, just to name a few.
Mimi sitayazungumzia yote hayo, nitazungumzia jambo moja tu ambalo halina utata.
Watu wote wanaojua historia wanajua Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alifariki April 12 1984.
Imekuwa vipi Erick Kabendera kaandika tarehe hiyo kama April 12 1983? Tena nilivyoona mara moja tu, nikafikiri hiyo ni typographical error tu, nikakuta karudia mara mbili, katika kurasa mbili zinazofuatana (108 na 109 in the printed book). Inaonekana ndiyo tarehe anayoifahamu.
Kitabu hakikuwa na editor? Hakikuwa na proofreader?
Leo Clubhouse (Watanganyika House) nimemsikia Absalom Kibanda akiomba msamaha kuwa alipewa kitabu kukifanyia proofreading, lakini hakukipitia vizuri, aliharakisha kukipitia, kaona kina makosa fulani ambayo yatasahihishwa katika second edition.
Nimemsikia pia Zitto Kabwe akisema kuwa kuna tatizo la timeline katika narrative ya tukio fulani.
Replays zipo "Watanganyika" Clubhouse.
Na hao ndio wahusika wachache tu waliokuwa tayari kukiongelea kitabu.
Hili linanipa swali, kama kitabu kimekosea mpaka mwaka aliofariki Edward Moringe Sokoine, je, kitabu kimekuwa rushed, hakijafanyiwa proofreading vizuri?
As much as wengine hawakumpenda Magufuli, ku rush kitabu na kufanya makosa kunawapa wanaompenda Magufuli ammunition ya kudismiss mengi yaliyoandikwa kuwa ni ya uongo.
Kabendera muandishi mkubwa kashindwa ku fact check tarehe ya kifo cha Sokoine hata kwenye Google? Proofreaders wake na editor wameshindwa pia?
Kama hili lina mushkeli, hili lililo wazi ambalo halina utata kabisa, tunaachwa tukijiuliza, mangapi yenye utata mwingi yana mushkeli pia?
Kabendera has to get not only the general narrative right, but the detail too.
Hopefully the second edition will correct this and any other inaccuracy.