Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Achana nao hawa Vyeti feki huwa wana hasira san na mzee Baba tangu awatumbue hajawahi taka hata kumsikiaUnatumia mihemko sana katika hoja zako. Mbona unapenda kuvivua nguo vyombo vyetu kwa uongo wako. Wee unafikiri ingekuwa kweli vyombo vyetu vingeruhusu afikie hatua ile ya uongozi?
Wengine sa hivi wangekuwa wakurugenzi wakuubwa
Ila we, Chuma kikapita nao mazima