Kabendera, unakoseaje kwenye kitabu mwaka aliofariki Sokoine, tena mara mbili kwa mpigo?

Kabendera, unakoseaje kwenye kitabu mwaka aliofariki Sokoine, tena mara mbili kwa mpigo?

Ac
Sijasema kitabu hakina tija.

Kwa nini tunapenda kufanya "all or nothing at all" false dichotomy fallacy?

Kwani kitabu hakiwezi kuwa na tija ya kusomwa, halafu pia Kabendera akawa kuna vitu kakosea, ka rush kuchapisha kitabu bila ku proofread vizuri?

Typing error inakuwa sehemu moja, hairudiwi.

Kabendera karudia kosa la kuandika mwaka 1983 badala ya 1984 mara mbili, ukurasa wa 108 na 109.

Hii si typing error, hii ni timeline error, lack of editing, lack of proofreading na kuna wengine wameingiza mpaka lack of credibility.
Jamaa alitaka kuuza kitabu kwa umaarufu mwingi nankiki nyingi. Au, kwa makusudi amepotoshwa ili kitabu kizima kionekane fake news. Au alishauriwa akakaza shingo kwa sababu hao aliowapelekea wamefanya kazi ngapi za vitabu. Mbona watu vyuoni wanapitia thesis zinapahe 500 + ila unakuwa na editors wa2 au 3 inachukua miezi kadhaa lakini unapata kitu bora.
Nilisoma kazi ya Ben Carson, katk shukrani nyingi alizotoa ilikuwa ni editor wake mama mmoja hivi yaani alimsifu sana. Maana yake ni kuwa ktk publishing editor ndiye kiungo wa kila kitu. Anaibeba na kuibomoa kazi.
Acha unaa soma kitabu kielewe endelea na mambo mengine mkuu, kama kitabu chote hicho umeona palipokosewa ni hapo kwenye mwaka tu mpongeze
 
Kwa unavyofikiri ni sawa kabisaa no 1 kwenda kumbaka no 2? Yaani akili yako haikwambii kwba hapa kuna tatizo? Maana makazi Yao ynalindwa na vyombo mbali mbali vya uslama. Tena ilikuwa usiku! Kuna mawili amepotoshwa au kafanya makusudi ili auze. Sasa shida siyo kwake, shida ipo kwa editors na proofreaders. Je waliona, wakamwambia, akakataa au hawakuona maana kuna vitu vinakosa mtiririko sawa wa mawazo kama kweli havikuonwa.
 
JokaKuu, Nguruvi3 , Nyani Ngabu, Pascal Mayalla hebu njooni mtoe maoni yenu hapa wakuu.
Ni kosa lakini si tatizo linaloathiri habari ya kitabu.
Ni kosa kwasababu wanaotafuta sababu wamepata!

Sokoine alikufa, ni Kweli. Tarehe 12, ni kweli. Mwezi April, ni kweli. Mwaka 1983 si kweli, na imerudiwa page zinazofuatana kwasababu mwandishi na ''reviewers'' walikuwa ''fixated' kwamba ni kweli
Laiti ingalikuwa 1983 na page inayofuata 1984 waliopitia kitabu wangehoji mbona kuna tarehe tofauti?

Someni kitabu kwa maudhui yake kuna mengi sana ya kuelewa.
 
Copy tushanunua tayari zipo kwa watu, atazikusanya vipi?
Ilikuwa tuu ni sababu ya kuki promote tuu, ila hakuna lolote!! Absalom kibanda kapewa kakaa nacho wiki nzima na hakufanya chochote,

Paskali mayala naye kapewa na hakugundua lolote!!

Meena naye alipewa na hakuona shida!

Balile, to mention the few, Hawa wote hawajaona chochote, inabidi tutajiwe angalau wanasheria wawili waliopitia hiki kitabu
 
Ni kosa lakini si tatizo linaloathiri habari ya kitabu.
Ni kosa kwasababu wanaotafuta sababu wamepata!

Sokoine alikufa, ni Kweli. Tarehe 12, ni kweli. Mwezi April, ni kweli. Mwaka 1983 si kweli, na imerudiwa page zinazofuatana kwasababu mwandishi na ''reviewers'' walikuwa ''fixated' kwamba ni kweli
Laiti ingalikuwa 1983 na page inayofuata 1984 waliopitia kitabu wangehoji mbona kuna tarehe tofauti?

Someni kitabu kwa maudhui yake kuna mengi sana ya kuelewa.
Nguruvi,

Kuna tatizo la "all or nothing" false dichotomy fallacy.

Kitabu ni muhimu, kina habari nyingi, kina tija sana, kilihitajika sana.

At the same time, hilo halimaanishi kuwa Kabendera hana room for improvement katika kufanyia editing na proofreading.

Of course kuna watu watakaotaka kutumia any small mistake ku discredit kitabu kizima.

Lakini pia, kuna watu tunaopenda Kabendera awe makini zaidi, tunataka kuweka constructive criticism, tunachambua kitabu pamoja na makosa yake, ili second edition isirudie makosa haya, au kitabu cha pili cha Kabendera (amesema kamaliza kuandika vitabu viwili) kisiwe na makosa haya unayoweza kuyaondoa kwa Google search.

Kuondoa makosa haya kutaondolea msemo hata wale watu wanaotafuta makosa kisiasa ili kuondoa credibility tu.
 
Ilikuwa tuu ni sababu ya kuki promote tuu, ila hakuna lolote!! Absalom kibanda kapewa kakaa nacho wiki nzima na hakufanya chochote,

Paskali mayala naye kapewa na hakugundua lolote!!

Meena naye alipewa na hakuona shida!

Balile, to mention the few, Hawa wote hawajaona chochote, inabidi tutajiwe angalau wanasheria wawili waliopitia hiki kitabu
Bongo unaweza kumpa mtu kazi ya kupitia kitabu yeye anapiga bia bar tu, anakwambia kapitia kiko poa tu.
 
Ni kosa dogo! Hilo haliondoi maudhui ya Kitabu.
Hakuna niliposema linaondoa maudhui ya kitabu, kosa kama dogo ndiyo linawez akuwa baya kabisa kwa sababu ni dogo na linaepukika kirahisi.

Hilo lilikuwa ni kosa ambalo Google search moja tu ingelifuta.

Jamani, tuache this all or nothing false dichotomy.

Ninaweza kukipenda kitabu na kuona uzuri wake halafu pia nikaona makosa aliyoyafanya Kabendera kwenye editing na proofreading strategy, na nikataka Kabendera na timu yake wafanye kazi nzuri zaidi hapo.

It's not like nasema kitabu kimekosea mwaka, hivyo mambo yote yaliyosemwa kuhusu Magufuli ni uongo.

Nuance please, tuwe na perspective, context na sophistication kidogo.
 
Mimi pia nimejaribu kupitia kitabu. Kuna matukio kadhaa ambayo Kabendera ameyakosea tarehe. Kwa mfano, anaelezea tukio la kukamatwa kwake na kutaja tarehe ambayo hailingani na tarehe halisi ya kukamatwa kwake kulingana na rekodi za mahakama alikamatwa tarehe 29 Julai, 2019
Yeye kaandika amekamatwa lini??!
 
Huyu Magu kamvuruga itakuwa, nguli mpaka kashindwa ku Google tarehe ya kufariki Sokoine?
Bora hata hilo, hili la kusahau kuwa kakamatwa lini sio mchezo, ikiwa lake mwenyewe binafsi anasahau, vipi hao watu 250, waliompa taarifa??!!

Ila mkuu kwenye maandishi nmeona sehem kuwa alipewa taarifa na opposition leaders kuhusu kupigwa risasi za kichwa Ben, (Kuna kitu najiuliza hapa, ingawa ni nje ya mada kidogo)
 
Naunga mkono hoja, sometimes, even the greatest magicians runs out of tricks!, kwa level ya ubobezi wa EK, no proof reader would have doubted the dates!.
P
Mpaka za matukio yaliyomhusu yeye binafsi??? Hatari sana!!
Utetezi wake kule X pia haueleweki!!

Kajifichia sehem ya "majina Yao nitaenda nayo kaburini"
 
Back
Top Bottom