Kabendera, unakoseaje kwenye kitabu mwaka aliofariki Sokoine, tena mara mbili kwa mpigo?

Kabendera, unakoseaje kwenye kitabu mwaka aliofariki Sokoine, tena mara mbili kwa mpigo?

Naunga mkono hoja, sometimes, even the greatest magicians runs out of tricks!, kwa level ya ubobezi wa EK, no proof reader would have doubted the dates!.
P
Mkuu,

Kuna matatizo hapa.

1. Inaonekana Kabendera kaandika akiwa nje na kategemea sana editors na proofreaders wa nje kwa muda mrefu. Hawa wamekuwa wazuri sana kumsaidia kunyoosha Kiingereza, lakini mambo ya Tanzania hawajui. Nimeona kuna sehemu jina la jaji Mnzavas limeandikwa Mnavas. Hapo inaonekana waliopitia wengi ni watu wa nje ambao hawajui tarehe ya kufariki Sokoine wala spellings za jina la Jaji Mnzavas.

2. Labda kwa sababu ya sensitivity ya kitabu, inaonekana proofreaders wa Tanzania wametumiwa kitabu mwishoni kabisa. Absalom Kibanda kasema alikuwa na muda mfupi sana wa kukipitia kitabu na kuna makosa kaya miss.

3. Kabendera ana umri gani? Mbona hii tarehe ya kufariki Sokoine tuliimba sana Tanzania

"kumi na mbili tarehe, Aprili nane nne, ilikuwa si sherehe, kufariki Sokoine".

Hawa kina Kabendera na Kibanda ni wadogo sana hawakuwepo siku zile? If so, that is even more reason to double check dates. They are supposed to be top notch journalists.
 
Mkuu,

Kuna matatizo hapa.

1. Inaonekana Kabendera kaandika akiwa nje na kategemea sana editors na proofreaders wa nje kwa muda mrefu. Hawa wamekuwa wazuri sana kumsaidia kunyoosha Kiingereza, lakini mambo ya Tanzania hawajui. Nimeona kuna sehemu jina la jaji Mnzavas limeandikwa Mnavas. Hapo inaonekana waliopitia wengi ni watu wa nje ambao hawajui tarehe ya kufariki Sokoine wala spellings za jina la Jaji Mnzavas.

2. Labda kwa sababu ya sensitivity ya kitabu, inaonekana proofreaders wa Tanzania wametumiwa kitabu mwishoni kabisa. Absalom Kibanda kasema alikuwa na muda mfupi sana wa kukipitia kitabu na kuna makosa kaya miss.

3. Kabendera ana umri gani? Mbona hii tarehe ya kufariki Sokoine tuliimba sana Tanzania

"kumi na mbili tarehe, Aprili nane nne, ilikuwa si sherehe, kufariki Sokoine".

Hawa kina Kabendera na Kibanda ni wadogo sana hawakuwepo siku zile? If so, that is even more reason to double check dates. They are supposed to be top notch journalists.
Home boy babu yangu Ali play part kubwa kwenye mazishi ya sokoine,tena kwa kuchaguliwa na mzee mchonga mwenyewe
Na wakati wa uhujumu uchumi sokoine alimchaguaga babu yangu kuwa custodian mali zote zilizokuwa zinakamatwa zilikuwa chini yake,alikuwa na ukaribu sana na sokoine
Hata wakati wa vita ya kagera washalala handaki moja
Nishapiga sana stori na babu kuhusu mambo ya sokoine na nmekula madini ya kutosha
Nikisomaga waandishi wanavyoandika kuhusu sokoine historia huwa nachekaga tu

Ova
 
Home boy babu yangu Ali play part kubwa kwenye mazishi ya sokoine,tena kwa kuchaguliwa na mzee mchonga mwenyewe
Na wakati wa uhujumu uchumi sokoine alimchaguaga babu yangu kuwa custodian mali zote zilizokuwa zinakamatwa zilikuwa chini yake,alikuwa na ukaribu sana na sokoine
Hata wakati wa vita ya kagera washalala handaki moja
Nishapiga sana stori na babu kuhusu mambo ya sokoine na nmekula madini ya kutosha
Nikisomaga waandishi wanavyoandika kuhusu sokoine historia huwa nachekaga tu

Ova
Nishakaa na balozi Lukindo akanipa za ndani walivyokuwa wanafanya kazi na Sokoine, we acha tu.
 
Mwinyi yupo hai? Mkapa yupo hai? nawewe marehem mtarajiwa endelea kumwagilia mti kwa ajiri ya jeneza lako.
Hamna hoja kabisa. Ambao hamtaki kusahau ndo nyinyi mmeamua muweke kumbukumbu za milele namna alivyo wafirimba.

Ningefurahi sana ukanitajia japo binadamu mmoja tu duniani acha na Tz pekee ambae ana access ya kuishi milele
Mwinyi kafa na miaka 98+, Mkapa kafa na 80+ na wote walikuwa wamestaafu. Ni uzembe wa hali ya juu Rais kufa madarakani bila kupigwa risasi. Unakufa kwa COVID-19 wakati una madaktari wote wa nchi na vifaa vyote at your disposal. Uunakufa na miaka 61, ni UHAYAWANI
Uandishi unatakiwa kuwa na balance. Unadishi wa Kabendera umejaa maumivu na hisia kuliko uhalisia
Na wewe andika kitabu chako halafu u-balance
 
Raphael lukondo nlikuwa nafahamiana sana si ashakuwaga Japan miaka ile
Alikuwa anaishi ada Estate

Ova
Naam,

Mshua alikuwa balozi Italy, akamuomba Nyerere amrudishe Tanzania kwa sababu alikuwa mzalendo anataka kutumikia wananchi Tanzania.

Kuna siku Nyerere alikuwa anatembea ndanindani vijijini, akatania kuwa huku labda tunahitaji kuwapatia wakuu wa wilaya farasi ili wafike, magari hayafiki.

Nyerere was just joking.

Siku ya pili Sokoine akaitisha kikao cha kutafuta farasi haraka sana, kama alivyoagiza Nyerere.

Balozi Raphael Lukindo akawaasa kina Sokoine kuwa wasinunue farasi kwa pupa, wafanye uchunguzi vizuri kabla ya kununua farasi. Farasi wanataka matunzo na matayarisho, wakinunua kwa pupa, farasi wanaweza kukosa matunzo na kufa.

Sokoine akamu overrule balozi Lukindo kwa kumuambia lazima wafanye haraka kununua farasi.

Basi, Sokoine alikuwa senior kwa Balozi Lukindo. Wakanunua farasi haraka. Kutoka Argentina.

Kilichotokea ni kile kile alichotabiri Balozi Lukindo. Farasi wakafa.

Mzee mwingine aliyejua story za Sokoine alikuwa Mzee Accadoga Chiledi, huyu alikuwa muandishi wake.
 
Hiko kitabu kina personal issues nyingi kuliko kuelezea yale ya muhimu kwa Taifa letu na mustakabali wake kwa miaka mingi ijayo.

Kama nia ni kutibu, basi maandishi lazima yawe balanced. Ukiandika kama unaandika udaku, ina maana credibility nzima ya kusudio lake inapotea.

Kabendera ana maumivu makubwa na amesahau kuacha nyuma emotions zake. Ameziweka zote ndani ya kitabu, na kama ulivyosema, kinakosa nguvu ya moja kwa moja ya watu kuamini kama anayosema ni kweli
Andika na wewe kitabu chako halafu usiweke emotions. How can you control an act of nature??

Bado hamjasema na mtasema sana
 
Mimi pia nimejaribu kupitia kitabu. Kuna matukio kadhaa ambayo Kabendera ameyakosea tarehe. Kwa mfano, anaelezea tukio la kukamatwa kwake na kutaja tarehe ambayo hailingani na tarehe halisi ya kukamatwa kwake kulingana na rekodi za mahakama alikamatwa tarehe 29 Julai, 2019
As long as alikamatwa hayo ya tarehe ni immaterial and insignificant
 
Yale yale anayoyakataa Kiranga una uhakika Magu alikufa tarehe hiyo uliyoitaja.

Pamoja na kwamba uko hai nakuhakikishia wewe hata ukifa 2100 utasahaulika mapema kuliko yeye aliyekufa 2021 na hutamfikia hata 1/1000 ya mazuri aliyoyafanya.
Soma kwa kuelewa siyo unsoma kama bata mwenye kideri anaharisha harisha tu.

Mimi nimeweka tarehe aliyoanza kuliwa na sisismizi na minyoo. Siyo akiwa mortuary
 
Iyo dp apo alinifurahishaga san uyo mwamba 🤣 pmj na ukichaa aliokuwa nao jiwe bado mwamba hakumuogopa ata kdg 🤣
Absolutely huyo Afande Mwasifiga ni kati ya watu Magufuli hatowasahau hadi huko kuzimu
 
Disclaimer: This thread will contain some spoilers from the book ""In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".

Naam,

Nasoma kitabu cha Erick Kabendera "In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".

Kwa wanaonijua, mimi si mtetezi wa Magufuli, kwa hiyo uzi huu si wa kumtetea Magufuli.

Uzi huu ni wa kuhakiki kitabu. Kitabu kina mambo mengi sana ambayo yana utata, episodes za pajama, Osama kukaa Zanzibar, Magufuli kuwa responsible kwa mtoto wake kuwa na HIV, Magufuli kumpiga risasi Ben Saanane Ikulu, just to name a few.

Mimi sitayazungumzia yote hayo, nitazungumzia jambo moja tu ambalo halina utata.

Watu wote wanaojua historia wanajua Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alifariki April 12 1984.

Imekuwa vipi Erick Kabendera kaandika tarehe hiyo kama April 12 1983? Tena nilivyoona mara moja tu, nikafikiri hiyo ni typographical error tu, nikakuta karudia mara mbili, katika kurasa mbili zinazofuatana (108 na 109 in the printed book). Inaonekana ndiyo tarehe anayoifahamu.

Kitabu hakikuwa na editor? Hakikuwa na proofreader?

Leo Clubhouse (Watanganyika House) nimemsikia Absalom Kibanda akiomba msamaha kuwa alipewa kitabu kukifanyia proofreading, lakini hakukipitia vizuri, aliharakisha kukipitia, kaona kina makosa fulani ambayo yatasahihishwa katika second edition.

Nimemsikia pia Zitto Kabwe akisema kuwa kuna tatizo la timeline katika narrative ya tukio fulani.

Replays zipo "Watanganyika" Clubhouse.

Na hao ndio wahusika wachache tu waliokuwa tayari kukiongelea kitabu.

Hili linanipa swali, kama kitabu kimekosea mpaka mwaka aliofariki Edward Moringe Sokoine, je, kitabu kimekuwa rushed, hakijafanyiwa proofreading vizuri?

As much as wengine hawakumpenda Magufuli, ku rush kitabu na kufanya makosa kunawapa wanaompenda Magufuli ammunition ya kudismiss mengi yaliyoandikwa kuwa ni ya uongo.

Kabendera muandishi mkubwa kashindwa ku fact check tarehe ya kifo cha Sokoine hata kwenye Google? Proofreaders wake na editor wameshindwa pia?

Kama hili lina mushkeli, hili lililo wazi ambalo halina utata kabisa, tunaachwa tukijiuliza, mangapi yenye utata mwingi yana mushkeli pia?

Kabendera has to get not only the general narrative right, but the detail too.

Hopefully the second edition will correct this and any other inaccuracy.
Kilichotokea ni kile waswahili husema: Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Ndugu Kabendera kaamua kuwa muongo asiye na kumbukumbu!
 
Watz bhana mtu ambaye ni correct minded hawezi akapoteza muda kusoma hiyo takataka kama ilivyo tu kwa vitabu vya yericko nyerere
Tunakisoma sana!! Usitupangie. Nyinyi mnaomuabudu Magufuli kama mungu wenu hatuwalazimishi. Hela za kununua ni zetu na muda ni wetu
 
Hiyo ndiyo maana ya uandishi. Hilo kosa kidogo halibatilishi kwamba Sokoine alikufa. Tubaki kwenye reli,

Tanzania ilitawaliwa na Kichaa kuanzia mwaka 2015 hadi 2021. Asante Mungu kwa kumtupa Magufuli jehanam
Hakika ww utaishi milele
 
Hiyo ndiyo maana ya uandishi. Hilo kosa kidogo halibatilishi kwamba Sokoine alikufa. Tubaki kwenye reli,

Tanzania ilitawaliwa na Kichaa kuanzia mwaka 2015 hadi 2021. Asante Mungu kwa kumtupa Magufuli jehanam
Magufuli alikuwa kichaa ndiyo. Lakini mimi naona kuna wengi wenye ukichaa kama Magufuli. Aliwezaje kufanya yote yale yasiyosimuliwa bila mihimili ya ya dola kuingilia kati? Mbona baada ya kufariki watu wale wale waliotekeleza haya madudu wapo kwenye uongozi? Mbona watu bado wanauawa? Ina maana Samia naye ni kichaa? Mmi naona kuna matatizo makubwa zaidi ya ukichaa wa Magufuli.
 
Unajibu hoja ukiwa umejitoa akili kwa vile ulimchukulia Magufuli kama mungu wako, kumbe ulikuwa unamuabudu muuaji na mbakaji.

Kwa taarifa yako hata binti yake aliye commit suicide mwaka 2012 ilikuwa ni baada ya kubakwa na baba yake mzazi Magufuli. Binti alishindwa kuishi na ile trauma
Kwahiyo wewe ndio mkewe Magu?
 
Magufuli alikuwa kichaa ndiyo. Lakini mimi naona kuna wengi wenye ukichaa kama Magufuli. Aliwezaje kufanya yote yale yasiyosimuliwa bila mihimili ya ya dola kuingilia kati? Mbona baada ya kufariki watu wale wale waliotekeleza haya madudu wapo kwenye uongozi? Mbona watu bado wanauawa? Ina maana Samia naye ni kichaa? Mmi naona kuna matatizo makubwa zaidi ya ukichaa wa Magufuli.
Tunapenda kumuangalia mtu mmoja badala ya kuangalia matatizo ya mfumo.

Tanzania ingekuwa na mifumo mizuri ya kuwaweka vichaa hospitali na kuwatibu wala tusingeishia kuwa na rais kichaa.
 
Magufuli alikuwa kichaa ndiyo. Lakini mimi naona kuna wengi wenye ukichaa kama Magufuli. Aliwezaje kufanya yote yale yasiyosimuliwa bila mihimili ya ya dola kuingilia kati? Mbona baada ya kufariki watu wale wale waliotekeleza haya madudu wapo kwenye uongozi? Mbona watu bado wanauawa? Ina maana Samia naye ni kichaa? Mmi naona kuna matatizo makubwa zaidi ya ukichaa wa Magufuli.

..Magufuli alikuwa kichaa ndio maana unasikia na yeye alishiriki kuua kwa mikono yake.

..Mkapa, Kikwete, Samia, sio vichaa ndio maana husikii wameua kwa mikono yao.

..mkuu wa nchi kuua kwa mikono yake, wakati anaweza kutuma watu kumfanyia kazi hiyo, ndio ukichaa wenyewe.
 
Back
Top Bottom