Kabla dini za kigeni kuletwa Afrika, wazee wetu waliabudu nini?

Kabla dini za kigeni kuletwa Afrika, wazee wetu waliabudu nini?

Kama ilivyo hii leo.
Roho ya Kuabudu ipo katika kila mwanadamu.

Mababu zetu kama ilivyo hii leo wengine waliabudu miungu mingine, wengine walimwabudu Mungu kama kawaida.

Hapa nasema
Wengine walikuwa wachawi walimwabudu Shetani na washirika wake.
Wengine walimwabudu Mungu muumba mbingu na nchi.

Ndio maana utaona Amri Kumi za kwenye Torati ya Musa zilikuwa zikitekelezwa na baadhi ya Jamii hizo.
Amri kama Usiue, Usiibe, Usiseme uwongo, heshimu wazazi na jirani, usitamani mali au mke wa mtu nk.
Zilikuwa zikitekelezwa katika Jamii hizo.

Hapa namaanisha Kuna baadhi ya watu katika hizo jamii walikuwa wakipokea Unabii au wenzetu wanaita Wahayi kama kawaida na kuiambia jamii yao kutii kwa vitendo.
Tatizo la jamii hizo walikuwa hawaweki hayo mafundisho katika format ya maandishi Written.

Utasikia tu Babu zetu walikuwa wanaabudu Mizimu.
Kwakuwa hawakujua kutofautisha jina kati ya mfano Malaika na Mizimu.

Wao wakitokewa na Malaika okiwafundisha jambo flani wanaita Mizimu.
Wakitokewa na Majini wao waliita Mizimu tu.

Hivyo wachawi waliona wanapata nguvu toka kwa Mizimu
Pia watu waliofundishwa na Mungu wakitokewa na Malaika wanaita Mizimu pia.
Ndio maana Leo wengi wetu wanaojua Babu zetu waliabudu Mizimu.

Kama wangeweza kuchapisha mafundisho yao hasa Yale ya Kinabii basi Kuna uwezekano mkubwa Kitabu chao kingevishinda vitabu vingi tu vya baadhi ya Dini za Leo kwa kuelezea mambo mazuri na yenye faida kwa jamii.

Wengine walikuwa hawana Dini kama ilivyo hivi Leo.
 
Nothing new here.
Mimi nafikiri sasa tungekuwa tunaulizana kwamba hizo imani walizokuwa nazo mababu zetu(iwe kuabudu mizimu au dini za asili) kabla ya ujio wa uislamu na ukristo je wao walizitoa wapi hizo imani? Yani walipata wapi hiyo imani ya kuabudu mizimu?
 
Hakuna dini mpya iliyoletwa Afrika, zimeletwa imani za kikristo.

Walikuta wazee Waislam na historia ipo wazi kwa hilo. Labda ujigfanye huelewi tu.
Unaweza kuthibitisha hili?

Kwamba ni kwa namna gani wazee wetu waliongea kiarabu bila kuingiliana na waarabu?

Na walijuaje kuna mzee wa kiarabu alizikwa Saud Arabia bila kufika au kuambiwa chochote na mtu toka huko?
 
Unaweza kuthibitisha hili?

Kwamba ni kwa namna gani wazee wetu waliongea kiarabu bila kuingiliana na waarabu?

Na walijuaje kuna mzee wa kiarabu alizikwa Saud Arabia bila kufika au kuambiwa chochote na mtu toka huko?
Kwanza sijakuekewa maswali yako. Tulizana uulize moja moja.

Pili, Saudi Arabia unaitolea mfano upi na ni nchi changa sana? Hata Tanganyika ilikuwepo kabla ya Saudi Arabia.

Tatu. Kama unaongelea "kufika Saudi Arabia" , kwa kukujuza tu, nimefika mara nyingi sana.
 
Hakuna dini mpya iliyoletwa Afrika, zimeletwa imani za kikristo.

Walikuta wazee Waislam na historia ipo wazi kwa hilo. Labda ujigfanye huelewi tu.
Uislamu ni dini ya juzi tu, Enock ni Muethiopia, soma book of Enock ndio utajuwa hujui.
 
Kwanza sijakuekewa maswali yako. Tulizana uulize moja moja.

Pili, Saudi Arabia unaitolea mfano upi na ni nchi changa sana? Hata Tanganyika ilikuwepo kabla ya Saudi Arabia.

Tatu. Kama unaongelea "kufika Saudi Arabia" , kwa kukujuza tu, nimefika mara nyingi sana.
Hujui Historia, kabla ya Tanganyika kulikuwa na German Ostafricaz na kabla yake zilikuwepo kingdom mbalimbali.
 
Hujui Historia, kabla ya Tanganyika kulikuwa na German Ostafricaz na kabla yake zilikuwepo kingdom mbalimbali.
Katikahizo unazoziita "kingdom", Zenjbar ilikuwa wapi hapo?

Kilwa ilikuwa wapi hapo? Sofala ilikuwa wapi hapo? Kimayu iko wapiu hapo. Mvita iko wapi hapo. Mwana Mkisi yuko wapi hapo?

Raptha ilikuwepo kabla ya hicho kihistoria chako uchwara. Na hivi ninavyoandika mabaki yake yamepatikana karibu ya Kilwa kwa zaidi ya miaka kumi sasa, ma diver wa kizungu wanajichotea hazina tu huko, sisi tumezubaa kwa ujuwaji msionao kama wako.

Tatizo la Watanzania ni ujinga, ujinga wa kujifanya wanajuwa kumbe hawajuwi.

Piga goti watoto wa madrasa tukupe elimu ambayo hujawahi kuisikia wala kuitegemea. Tena wewe sikupeleki mbali sana, Raptha huko kutakuchanganya, tu, pengine ndiyo leo unapasikia kwa mara ya kwanza, rudi nyumba kidogotu, kamsome Ibn Batua ujuwe alikuta nini pwani hii ya mashariki ya Afrika, ukimuelewa, rudi hapa upige goti.
 
Katikahizo unazoziita "kingdom", Zenjbar ilikuwa wapi hapo?

Kilwa ilikuwa wapi hapo? Sofala ilikuwa wapi hapo? Kimayu iko wapiu hapo. Mvita iko wapi hapo. Mwana Mkisi yuko wapi hapo?

Raptha ilikuwepo kabla ya hicho kihistoria chako uchwara. Na hivi ninavyoandika mabaki yake yamepatikana karibu ya Kilwa kwa zaidi ya miaka kumi sasa, ma diver wa kizungu wanajichotea hazina tu huko, sisi tumezubaa kwa ujuwaji msionao kama wako.

Tatizo la Watanzania ni ujinga, ujinga wa kujifanya wanajuwa kumbe hawajuwi.

Piga goti watoto wa madrasa tukupe elimu ambayo hujawahi kuisikia wala kuitegemea. Tena wewe sikupeleki mbali sana, Raptha huko kutakuchanganya, tu, pengine ndiyo leo unapasikia kwa mara ya kwanza, rudi nyumba kidogotu, kamsome Ibn Batua ujuwe alikuta nini pwani hii ya mashariki ya Afrika, ukimuelewa, rudi hapa upige goti.
Hizi kweli ni akili za madrasa, rudia upya kusoma nilichoandika naona umejaza omo mdomoni uku unacheza kibao kata.

Halafu Zenjbar inahusikaje na bara?

Hoja Tanganyika ni jina juzi tu, kabla yake tulikuwa tunaitwa German Ostafrica fullstop.
 
Hizi kweli ni akili za madrasa, rudia upya kusoma nilichoandika naona umejaza omo mdomoni uku unacheza kibao kata.

Halafu Zenjbar inahusikaje na bara?

Hoja Tanganyika ni jina juzi tu, kabla yake tulikuwa tunaitwa German Ostafrica fullstop.
Sikushangai. huelewi unachokiongea. Ni kweli kabisa usilolijuwa ni usiku wa kiza. Madrasa huiwezi wewe, nimekupa rejea kidogo uzirejee kisha urudi kupiga goti, utajuwa ni nini maana ya madrasa.
 
Sikushangai. huelewi unachokiongea. Ni kweli kabisa usilolijuwa ni usiku wa kiza. Madrasa huiwezi wewe, nimekupa rejea kidogo uzirejee kisha urudi kupiga goti, utajuwa ni nini maana ya madrasa.
Rejea za nini wakati hoja ni Tanganyika na German Ostafrica ipi ni ya kwanza?

Hapo unahitaji rejea gani? ndio maana mnadhalilisha sana Madrasa.
 
Rejea za nini wakati hoja ni Tanganyika na German Ostafrica ipi ni ya kwanza?

Hapo unahitaji rejea gani? ndio maana mnadhalilisha sana Madrasa.
Nimekupa rehea ukajisomee, nimekuuliza maswali hujajibu hata moja.

Kaa chini ujisomee tu ,wacha ujinga wa Kitanzania wa kujifanya unajuwa kumbe hujuwi lolote.
 
Nimekupa rehea ukajisomee, nimekuuliza maswali hujajibu hata moja.

Kaa chini ujisomee tu ,wacha ujinga wa Kitanzania wa kujifanya unajuwa kumbe hujuwi lolote.
"Rehea" ndio kitu gani? nijibu nini wakati nimekupa elimu tayari kati ya Tanganyika na German Ostafrica ipi ni ya kwanza.

Kubali kwanza umeteleza halafu ndio ulete hoja zako tuzijadili.
 
Waliabudu na tena dini za kiafrika zina nguvu zaidi Kwa kuwa zilimuhusisha Mungu,Mizimu(watu wema waliofariki wanaohusiana na mlengwa moja Kwa moja ambao waliishi maisha ya kumpendeza Mungu) na Muhusika mwenyewe mtoaji wa ibada! Kwa hiyo kuna vigezo vya MTU kuwa mizimu( ancestor) ikiwa ni pamoja na maisha ya kumpendeza Mungu.
Kitu ambacho wazungu au waanzilishi walifanikiwa ni kuaminisha ulimwengu kuwa waafrika dini zao hazina nguvu Kwa kuwa wanaabudu miungu kitu ambacho si kweli ukweli ni kwamba Mungu hafanyi kazi peke yake na si kwamba kitendo cha hizo nguvu zingine kuwepo basi ni kumshirikisha Mungu Mkuu kitu ambacho si kweli,baada ya Mungu kuumba ulimwengu uumbaji unaendelea kupitia nguvu zingine mfano uwepo wa miungu ambayo hakuna inacho Fanya bila idhini ya Mungu mkuu,ina nguvu na mamlaka ya moja Kwa moja ya kuwasiliana na Mungu mkuu,mfano Mungu wa misitu,Mungu wa anga,Mungu wa ardhi NK yeye anahusika kila mmoja kwenye kitengo chake anafanya Mambo yanatakiwa Kwa mujibu wa matakwa ya Mungu mkuu na mahitaji ya Sisi wahitaji! Na ukiwa kama kiumbe mdogo yaani akina sisi tunaweza kupewa zawadi na Mizimu yetu au kuadhibiwa endapo tumeenda Kwa mujibu WA vile Mungu anataka!
Pia dini za kiafrika zinatambua uwepo wa ulimwengu wa roho yaani sio sayansi kama wazungu wanavyotuaminisha,kwamba Kwa kuwa kitu hakionekani basi hakipo,Afrika Sisi ni idealist au spiritual yaani sio kwamba hakionekani basi hakipo ndio maana ibada zilifanyika hadi kwenye miti tukiwa tunaamini kuna miti yenye nguvu yenye nguvu kubwa ya kuwasiliana kiroho,mfano miti ya mibuyu,iroko,mikuyu na jamii zake,na si kweli unapoabudu mtini basi wewe umeabudu miungu! Ukweli ni kwamba dini zote za kisasa ni copy and paste ya dini za kiafrika! Kwenye hili nna uhakika 80% walichokifanya wazungu na kufanikiwa ni kukufanya wewe usitambue hata kama Una dini yako ya asili na kwamba huo ni ushirikiano au ni kuabudu Miungu
 
Hakuna dini mpya iliyoletwa Afrika, zimeletwa imani za kikristo.

Walikuta wazee Waislam na historia ipo wazi kwa hilo. Labda ujigfanye huelewi tu.
Nyie waislamu na wakristo ndugu zenu hamna ufahamu wowote juu ya dini za kiafrika (African religion)
 
Waliabudu na tena dini za kiafrika zina nguvu zaidi Kwa kuwa zilimuhusisha Mungu,Mizimu(watu wema waliofariki wanaohusiana na mlengwa moja Kwa moja ambao waliishi maisha ya kumpendeza Mungu) na Muhusika mwenyewe mtoaji wa ibada! Kwa hiyo kuna vigezo vya MTU kuwa mizimu( ancestor) ikiwa ni pamoja na maisha ya kumpendeza Mungu.
Kitu ambacho wazungu au waanzilishi walifanikiwa ni kuaminisha ulimwengu kuwa waafrika dini zao hazina nguvu Kwa kuwa wanaabudu miungu kitu ambacho si kweli ukweli ni kwamba Mungu hafanyi kazi peke yake na si kwamba kitendo cha hizo nguvu zingine kuwepo basi ni kumshirikisha Mungu Mkuu kitu ambacho si kweli,baada ya Mungu kuumba ulimwengu uumbaji unaendelea kupitia nguvu zingine mfano uwepo wa miungu ambayo hakuna inacho Fanya bila idhini ya Mungu mkuu,ina nguvu na mamlaka ya moja Kwa moja ya kuwasiliana na Mungu mkuu,mfano Mungu wa misitu,Mungu wa anga,Mungu wa ardhi NK yeye anahusika kila mmoja kwenye kitengo chake anafanya Mambo yanatakiwa Kwa mujibu wa matakwa ya Mungu mkuu na mahitaji ya Sisi wahitaji! Na ukiwa kama kiumbe mdogo yaani akina sisi tunaweza kupewa zawadi na Mizimu yetu au kuadhibiwa endapo tumeenda Kwa mujibu WA vile Mungu anataka!
Pia dini za kiafrika zinatambua uwepo wa ulimwengu wa roho yaani sio sayansi kama wazungu wanavyotuaminisha,kwamba Kwa kuwa kitu hakionekani basi hakipo,Afrika Sisi ni idealist au spiritual yaani sio kwamba hakionekani basi hakipo ndio maana ibada zilifanyika hadi kwenye miti tukiwa tunaamini kuna miti yenye nguvu yenye nguvu kubwa ya kuwasiliana kiroho,mfano miti ya mibuyu,iroko,mikuyu na jamii zake,na si kweli unapoabudu mtini basi wewe umeabudu miungu! Ukweli ni kwamba dini zote za kisasa ni copy and paste ya dini za kiafrika! Kwenye hili nna uhakika 80% walichokifanya wazungu na kufanikiwa ni kukufanya wewe usitambue hata kama Una dini yako ya asili na kwamba huo ni ushirikiano au ni kuabudu Miungu
Upo sahihi kaka,unajua watu hawalijui hili,,rejea agano la kale unaona imani ya waisrael ilikuwa inafanana na waafrika wengine,mfano kuamin katka MUNGU(God),roho(spirits) ambapo Kuna roho wema na roho wachafu(evil spirits) kutokana na kazi wanazozitenda ,na mwisho mababu(ancestors)
 
Na Uislamu pamoja na Quran vinatambuwa na kukiri Yesu yupo mbinguni na Allah na Muhammad amezikwa Madina.

Hivi nani alikupa hiyo Phd ?? Hivi Unaongelea Yesu yupi wa mathayo au Yesu wa Luka ??
 
Upo sahihi kaka,unajua watu hawalijui hili,,rejea agano la kale unaona imani ya waisrael ilikuwa inafanana na waafrika wengine,mfano kuamin katka MUNGU(God),roho(spirits) ambapo Kuna roho wema na roho wachafu(evil spirits) kutokana na kazi wanazozitenda ,na mwisho mababu(ancestors)
Ujinga ndio unatugharimu lakini nakwambia kweli Afrika na mwafrika ndio MTU mwenye devine priority dunia hii,maadili na utu WA kweli uko Kwa waafrika na ndio mwenye kila kitu, zamani kabla haijaitwa Africa ilikuwa ikiitwa Alkibulan( the mother of races au garden of eden) yaani RANGI zote chimbuko lake ni Afrika! Middle East yote ni part of Africa yaani north east Afrika tofauti imekuwa ni baada ya kuchimbwa mfereji wa suezi! Mimi ni MTU wa mwisho mkiani kabisa kuamini mwafrika ni MTU mwenye dini duni na mwafrika ndio the truest care taker of this world!
 
Ujinga ndio unatugharimu lakini nakwambia kweli Afrika na mwafrika ndio MTU mwenye devine priority dunia hii,maadili na utu WA kweli uko Kwa waafrika na ndio mwenye kila kitu, zamani kabla haijaitwa Africa ilikuwa ikiitwa Alkibulan( the mother of races au garden of eden) yaani RANGI zote chimbuko lake ni Afrika! Middle East yote ni part of Africa yaani north east Afrika tofauti imekuwa ni baada ya kuchimbwa mfereji wa suezi! Mimi ni MTU wa mwisho mkiani kabisa kuamini mwafrika ni MTU mwenye dini duni na mwafrika ndio the truest care taker of this world!
Alkibulani umelitoa kitabu kipi ?
 
Kwanza sijakuekewa maswali yako. Tulizana uulize moja moja.

Pili, Saudi Arabia unaitolea mfano upi na ni nchi changa sana? Hata Tanganyika ilikuwepo kabla ya Saudi Arabia.

Tatu. Kama unaongelea "kufika Saudi Arabia" , kwa kukujuza tu, nimefika mara nyingi sana.
Linapokuja swala la hizi dini zenu, wote huwa mnalingana. Hata msomi unakuwa kama hukwenda hata chekechea.

Swala la uislamu kuletwa na waarabu nalo mpaka ulishupazie shingo?
 
Back
Top Bottom