version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
na nyingine nyingi nyingi..hawaamini katika kuishi bila hivyo vitu.Unamaanisha Limbwata???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na nyingine nyingi nyingi..hawaamini katika kuishi bila hivyo vitu.Unamaanisha Limbwata???
😃😃yoko ni teke hilo likifika kwenye shingo unalazwa na mwezi mzima unakunywa uji tu maana vyakula vingine havipiti.🤔Ngumi ya kijapani
Nimeaga vizuri kutoka milima ya KINDOROKO wajipange.na nyingine nyingi nyingi..hawaamini katika kuishi bila hivyo vitu.
Ndizi utumbo[emoji23][emoji23]wengi wanavaa diapers, akijamba tu, uharo huu hapa
Kama ndizi tu wamegoma kuzipokea,je,tukipeleka ndizi watazipokea?Elewa swali.Makamanda nipo unguja muda huu,,,
Ushauri kwa vijana.
Kabla haujaoa jaribu kuzunguka kipande hiki utanishukuru though maflat screen ila wapenda sura nzuri kama mimi panatufaa
Ndiyo vizuri.Unajilengesha.Wakishakuona mwanaume una pesa zakutosha Mabinti wa uko wanamtindo wa kula njama na baba, wajomba, kaka zao wanasuka mpango wa kufumania geto ukiwa na kabinti kisha hapo hapo wanakuozesha ndoa ya mkeka
Ntawapa kifinyo hao wajomba mpaka akili ziwakaeWakishakuona mwanaume una pesa zakutosha Mabinti wa uko wanamtindo wa kula njama na baba, wajomba, kaka zao wanasuka mpango wa kufumania geto ukiwa na kabinti kisha hapo hapo wanakuozesha ndoa ya mkeka
visit singidaMakamanda nipo unguja muda huu,,,
Ushauri kwa vijana.
Kabla haujaoa jaribu kuzunguka kipande hiki utanishukuru though maflat screen ila wapenda sura nzuri kama mimi panatufaa
Kuna wazo unalo.Lakini,kuandika neno "uchafu" umekwama kimtazamo.Unamaanisha hadi@HAYALAND wapo hao wachafu?Binafsi Mimi nachofahamu maadili Zanzibar ni 💯% kuoa uchafu wa Tz Ni Bora kwenda zenji nimekaa zenji nafahamu uo mchakato.
😂😂😂😂Nchi nzima wapo vema.Ni chaguo la mtu hadi mtu.visit singida
Ukiwa na nyumba watakuja ukoo mzima Watajazana hapo nyumbani kwako na watakutegemea kwa kila kitu, wale watu vichwa vyao kukosa machogo basi hata akili hazipoNdiyo vizuri.Unajilengesha.
NB:Kuwa makini.Ukimuoa atatafuta kisa muachane mgawane mali.
Tunza ukweni usifiwe.😂😂😂😂Ukiwa na nyumba watakuja ukoo mzima Watajazana hapo nyumbani kwako na watakutegemea kwa kila kitu, wale watu vichwa vyao kukosa machogo basi hata akili hazipo
Ile ni pre-planned na watu wanakuwa na shekhe kabisa ukimuita getto tu washajiandaa dogo anatoa signal unashangaa paah😂😂 watu nyomi na unapewa mikwara Ukimuacha huyo utakoma...Mwana kibao washanasa iyo michezo uzinzi mbaya sana.Wakishakuona mwanaume una pesa zakutosha Mabinti wa uko wanamtindo wa kula njama na baba, wajomba, kaka zao wanasuka mpango wa kufumania geto ukiwa na kabinti kisha hapo hapo wanakuozesha ndoa ya mkeka
Nimeaga vizuri kutoka milima ya KINDOROKO wajipange.