Kabla haujaoa jaribu kutembelea Unguja, Zanzibar

Kabla haujaoa jaribu kutembelea Unguja, Zanzibar

Bila chura alafu unatushawishi tutembelee kuharibu nauli zetu? Si bira matipwatipwa ya kinyakyusa sasa?
 
Wakishakuona mwanaume una pesa zakutosha Mabinti wa uko wanamtindo wa kula njama na baba, wajomba, kaka zao wanasuka mpango wa kufumania geto ukiwa na kabinti kisha hapo hapo wanakuozesha ndoa ya mkeka
Ndiyo vizuri.Unajilengesha.
NB:Kuwa makini.Ukimuoa atatafuta kisa muachane mgawane mali.
 
Wakishakuona mwanaume una pesa zakutosha Mabinti wa uko wanamtindo wa kula njama na baba, wajomba, kaka zao wanasuka mpango wa kufumania geto ukiwa na kabinti kisha hapo hapo wanakuozesha ndoa ya mkeka
Ntawapa kifinyo hao wajomba mpaka akili ziwakae
 
Hahah mimi comments za wadau tu mbavu sina hahahah
 
Si kushauri uoe zanzibar kwa sababu
1.wanawake wavivu sana huku yaan kama ukimzalisha ndio utakoma baba kama huna hela ya mbekitatu basi utafua mwenyew

2.Halafu mambo ya majini majini kwa wanawake wa zanzibar ni kawaida mara kapandisha leo hataki hiki mara anataka hiki tafarani yaan jau kinoma.

3.Halafu wabinafsi sana, hata ndugu zako sidhan kama atawapenda yaani.
Kama mungu kakujaalia kipato Ukioa mzanzibar jiandae kupokea ndugu wa mkeo na kila siku wanajazana kutoka hamna anayetaka kuondoka yaani wamefika hapo kwako na hawataki ndugu zako waje.
 
Wakishakuona mwanaume una pesa zakutosha Mabinti wa uko wanamtindo wa kula njama na baba, wajomba, kaka zao wanasuka mpango wa kufumania geto ukiwa na kabinti kisha hapo hapo wanakuozesha ndoa ya mkeka
Ile ni pre-planned na watu wanakuwa na shekhe kabisa ukimuita getto tu washajiandaa dogo anatoa signal unashangaa paah😂😂 watu nyomi na unapewa mikwara Ukimuacha huyo utakoma...Mwana kibao washanasa iyo michezo uzinzi mbaya sana.
 
Back
Top Bottom