Kabla hujakopa ama kukopeshwa na app za mitandaoni elewa yafuatayo

Kabla hujakopa ama kukopeshwa na app za mitandaoni elewa yafuatayo

Pamoja na yaliyowakuta TALA na BRANCH bado hizi kampuni zinarudi bongo tena? Sema nn, ukitaka kukopa futa namba zote kwenye phonebook weka namba ambazo hazipo halafu kopa ili kila wakitaka kuanza kusambaza sms kwa ndugu na jamaa ziwe zina bounce.
MIMI ninachokiona hawa bado hawajakutana na watu smart na wenyewe watapigwa.
 
Kabisa Kwan yeye ni mjinga mpka anaenda kukopa akuona watu ache dharau kuna kutigwa..
MAISHA SIO RAHISI... KAMA WEWE UNAO WA KUKUAZIMA HELA TULIA TU HAPO HAPO USITIKISIKE SANA UTAJISAHAU MWISHO UBWAGE CHINI.
 
wanasema vigezo na masharti kuzingatiwa, tuelewe terms and xonditions kabla ya kujilipua, shida wengi mda wa kukopa hawapitii maelezo vizuri, wanasukumwa na shida ya hela ku accept kila kitu, mda wa kulipa ndo akili zinakaa sawa wanaona masharti magumu.
japo generally mamlaka za serikali zinapaswa kuregulate hizi biashara za online loan, zinanufaika na umaskini na ujinga wa wananchi.
 
Haki vs Huruma

Anayekopa alipe, ndiyo haki.

Anayedaiwa kistaarabu asikie na alipe, akileta uchekibobu nao wakaitikia asilaumiwe mtu. Haki ni kufuata sheria walizosainishana wanapokopeshana huko.

Usikope halafu ukategemea kuhurumiwa, sio haki ni dhuluma kutotimiza miadi mlowekeana wenyewe
 
Unaweza kwenda App setting na kuondoa permissions kwa app husika kufikia Phone Book yako..!

So hawataweza kutuma hizo messages....!
 
Nice idea.unasajili lain mpya na fake number tu.

Ni rahisi sana, MSIKOPE.
Alafu sasa ukitaka uone hawa watu ni waajabu huyu mtu alikopa zaidi mara tano kwenye App zao, kwingine amekopa mara mbili mbili, Na nikama walikuwa wanamguide kuwa fanya hivi.

Kwa sababu mwanzo kabisa alijaza taarifa zake sahihi na picha akawapa na kitambulisho. Hivyo akapewa account ama kama wao wanavoita wallet number.

Mikopo iliyofuata unakuta full name Airtel Money, alafu hela inalipwa kwenye wallet yake ya awali.
Sasa unajiuliza anayeomba mkopo ni Airtel Money alafu analipwa Asha. Hapa ndo nasema kwamba wao wenyewe wanamguide kwamba andika vyovyote.

Huyu mpuuzi wangu tangu tarehe 12 Feb mpaka 19 Feb amekopa zaidi kama laki 3 ila anadaiwa kama laki 8 kwa kufuatia huo mfumo hapo, juu.

Shida simu kapigiwa mpka B mkubwa uko kijijini wanamtishia kwenda kumkata na kwa kuwa haelewi maskini hata kumwelewesha ni shida.
 
Nice idea.unasajili lain mpya na fake number tu.
wahuni wataipata tu picha yako, wataenda ku_edit video unapelekewa moto kishenzi haijalishi wewe KE au ME, kama ni KE utapigwa Orgy yaani full double penetration kama ni ME utatambalizwa malinda kwenye hiyo video halafu hiyo video watatumiwa watu wote wanaokujua.
 
Pamoja na yaliyowakuta TALA na BRANCH bado hizi kampuni zinarudi bongo tena? Sema nn, ukitaka kukopa futa namba zote kwenye phonebook weka namba ambazo hazipo halafu kopa ili kila wakitaka kuanza kusambaza sms kwa ndugu na jamaa ziwe zina bounce.
Naam! Na huyu ndio mtanzania
 
Wanajamvi kufuatia mkopo aliyokopa mdogo wangu kwenye APP za mitandaoni nami kujikuta muathiriwa kwa kuwa namba yangu imo kwenye simu yake, hivo basi natamani mfaham yafuatayo:...
Ogopa mkopo Wacha waje wataalam walidadavue zaidi
 
wahuni wataipata tu picha yako, wataenda ku_edit video unapelekewa moto kishenzi haijalishi wewe KE au ME, kama ni KE utapigwa Orgy yaani full double penetration kama ni ME utatambalizwa malinda kwenye hiyo video halafu hiyo video watatumiwa watu wote wanaokujua.
nimecheka kindezii dah maisha hayaaa yaan yote kisa kutokulipaa ebana ee hiyi mikopo mi inanifaa mana kwenye kulipa naripa haswa
 
Habari ndugu mdhamini ama jamaa wakaribu wa ndugu xxxxx. Xxxxxi miaka ( 00)mwenye no, 07xxxxxxxx..Ni tapeli amekopa kiasi cha shillingi.Xxxxxxxxx0.Kutoka kampuni ya pesa m loan.Anataka kutapeli, apokei simu anatoa ahadi za uongo, ukiwa kama mtu wake wa karibu tunaomba umuambie alipe deni lake kabla hatujaanza kumpost yeye na vitambulisho vyake na kuchukua hatua nyingine juu yake tunaomba umfikishie ujumbe huu ndani ya nusu saa atapata taarifa nyingine za kisheria zaidi ya hizi
Sasa huu si usumbufu 😯
 
KIla system ina weakness zake hamjajua tu na ipo siku nitawashangaza hawa wakopeshaji pasi na kusumbuliwa
 
Nice idea.unasajili lain mpya na fake number tu.
Yaani watu wazima kama responsible citizens mpo hapa mnapanga jinsi ya kuiba hela za watu mlizokopa?

Mna tofauti gani na majambazi?

TZ bado concept ya debt ni ngumu sana,ndio maana wengine wanaendelea sisi tunafeli

Yaani unakaa hapa kupanga jinsi ya kuzulumu watu fedha walizokukopesha utatue shida zako uchumi uende

Ndio maana mabenki hayakopeshi kabisa,sababu ya atitude za wizi namna hii

Kama unakopa unashindwa rudisha laki 3 ya watu ili ujijengee uwezo ukopeshwe zaidi ufanye kazi kubwa zaidi uchumi uende,utakaa ufanye nini dunia hii?

Watu wetu bado ni hovyo
 
Back
Top Bottom