kwa namna mambo yanavyokwenda ni kama mamlaka imeacha wakopaji na wakopeshaji mmalizane🤣🤣🤣.
riba mlima kwa muda mfupi sana na serikali kimyaaa,nawewe mkopeshaji ukipigwa hujui unakwenda wapi kuanza kudai maana ulijiundia utaratibu wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.