Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
- Thread starter
-
- #21
MIMI ninachokiona hawa bado hawajakutana na watu smart na wenyewe watapigwa.Pamoja na yaliyowakuta TALA na BRANCH bado hizi kampuni zinarudi bongo tena? Sema nn, ukitaka kukopa futa namba zote kwenye phonebook weka namba ambazo hazipo halafu kopa ili kila wakitaka kuanza kusambaza sms kwa ndugu na jamaa ziwe zina bounce.
Halika, ujinga ni kosa kubwa na upumbavu ndo dhambi kabisa!Mkuu, There is no such thing as a Free Lunch.
NJAA na Umasikini ndio vinapelekea matatizo yote hayo. Japo kubwa zaidi ni UJINGA.
Nilitaka kuweka nilichowajibu, nikaona nipotezeee Tu ila nadhani wataambizanaNasikia unavo install unatakiwa accept phonebook yako waisome ndohapo wanapata namba za simu yako..
MAISHA SIO RAHISI... KAMA WEWE UNAO WA KUKUAZIMA HELA TULIA TU HAPO HAPO USITIKISIKE SANA UTAJISAHAU MWISHO UBWAGE CHINI.
Share tu mkuuNilitaka kuweka nilichowajibu, nikaona nipotezeee Tu ila nadhani wataambizana
Nilitaka kuweka nilichowajibu, nikaona nipotezeee Tu ila nadhani wataambizana
Nice idea.unasajili lain mpya na fake number tu.
Alafu sasa ukitaka uone hawa watu ni waajabu huyu mtu alikopa zaidi mara tano kwenye App zao, kwingine amekopa mara mbili mbili, Na nikama walikuwa wanamguide kuwa fanya hivi.Ni rahisi sana, MSIKOPE.
wahuni wataipata tu picha yako, wataenda ku_edit video unapelekewa moto kishenzi haijalishi wewe KE au ME, kama ni KE utapigwa Orgy yaani full double penetration kama ni ME utatambalizwa malinda kwenye hiyo video halafu hiyo video watatumiwa watu wote wanaokujua.Nice idea.unasajili lain mpya na fake number tu.
Naam! Na huyu ndio mtanzaniaPamoja na yaliyowakuta TALA na BRANCH bado hizi kampuni zinarudi bongo tena? Sema nn, ukitaka kukopa futa namba zote kwenye phonebook weka namba ambazo hazipo halafu kopa ili kila wakitaka kuanza kusambaza sms kwa ndugu na jamaa ziwe zina bounce.
Ogopa mkopo Wacha waje wataalam walidadavue zaidiWanajamvi kufuatia mkopo aliyokopa mdogo wangu kwenye APP za mitandaoni nami kujikuta muathiriwa kwa kuwa namba yangu imo kwenye simu yake, hivo basi natamani mfaham yafuatayo:...
nimecheka kindezii dah maisha hayaaa yaan yote kisa kutokulipaa ebana ee hiyi mikopo mi inanifaa mana kwenye kulipa naripa haswawahuni wataipata tu picha yako, wataenda ku_edit video unapelekewa moto kishenzi haijalishi wewe KE au ME, kama ni KE utapigwa Orgy yaani full double penetration kama ni ME utatambalizwa malinda kwenye hiyo video halafu hiyo video watatumiwa watu wote wanaokujua.
Sasa huu si usumbufu 😯Habari ndugu mdhamini ama jamaa wakaribu wa ndugu xxxxx. Xxxxxi miaka ( 00)mwenye no, 07xxxxxxxx..Ni tapeli amekopa kiasi cha shillingi.Xxxxxxxxx0.Kutoka kampuni ya pesa m loan.Anataka kutapeli, apokei simu anatoa ahadi za uongo, ukiwa kama mtu wake wa karibu tunaomba umuambie alipe deni lake kabla hatujaanza kumpost yeye na vitambulisho vyake na kuchukua hatua nyingine juu yake tunaomba umfikishie ujumbe huu ndani ya nusu saa atapata taarifa nyingine za kisheria zaidi ya hizi
Naamini hata mimi wahuni wenzao watawapiga ni suala la mudaKIla system ina weakness zake hamjajua tu na ipo siku nitawashangaza hawa wakopeshaji pasi na kusumbuliwa
Yaani watu wazima kama responsible citizens mpo hapa mnapanga jinsi ya kuiba hela za watu mlizokopa?Nice idea.unasajili lain mpya na fake number tu.