mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Feb 28, 2024 #41 kwa namna mambo yanavyokwenda ni kama mamlaka imeacha wakopaji na wakopeshaji mmalizane🤣🤣🤣. riba mlima kwa muda mfupi sana na serikali kimyaaa,nawewe mkopeshaji ukipigwa hujui unakwenda wapi kuanza kudai maana ulijiundia utaratibu wako.
kwa namna mambo yanavyokwenda ni kama mamlaka imeacha wakopaji na wakopeshaji mmalizane🤣🤣🤣. riba mlima kwa muda mfupi sana na serikali kimyaaa,nawewe mkopeshaji ukipigwa hujui unakwenda wapi kuanza kudai maana ulijiundia utaratibu wako.