Kabla hujakubali kuolewa ama kumuoa mtu, fanya naye maongezi marefu mjadiliane mambo ya msingi Kuhusu Maisha

Kabla hujakubali kuolewa ama kumuoa mtu, fanya naye maongezi marefu mjadiliane mambo ya msingi Kuhusu Maisha

Kweli kabisaaa mtadanganyana

Kabla ya kumpenda mtu tafuta kujua ana malengo gani katika maisha yake, ana mipango gani kuyafanisha malengo, commitment yake ikoje?

Kama mtu hajielewi hata anakotaka kwenda yeye binafsi hakuna sehemu anaweza kukupeleka Wala kukusaidia
Yeah sure
 
Mwanaume kuoa huku unamtarajia mwanamke kwenye kulea familia yani mahitaji ni kufeli maisha kabla haujaanza

Lakini msimamo na malengo ya baba ndiyo malengo ya familia mama anabaki kama mshauri tu
Kumbuka ushauri siyo lazima ufuatwe


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kabisa ukiamua kuoa kila kitu unakibeba.
 
Kabla ya kukubali kuoa ama kuolewa na mtu inapaswa muwe na maongezi marefu kuhusu engo zote za maisha

1. Jadilini kuhusu bilis za maisha atakuwa anazilipa nani na kama mtalipa wote ni kwa mgawanyo gani, usiingie kwenye ndoa kimya kimya ukiwa na expectations za mimi mwanaume nitakuwa nadili na mambo makubwa ya ujenzi wa nyumba ama kununua magari na wewe mwanamke utakuwa unalisha familia. ni lazima mjadiliane mapema kabla hamjafunga ndoa.

2.Mitindo ya malezi, maana kuna watu wanapenda malezi ya kizungu na wengine wanapenda malezi ya ukizingua ni viboko

3. Mtazamo kuhusu mikopo. maana kuna watu wanapenda kukopa na kuna watu hawapendi kukopa lazima mjuane kila mmoja yupo upande gani

4. Madeni ya nyuma mliyonayo. ni vizuri ukajua mwenza wako kama anadaiwa kiasi gani kabla hamjafunga ndoa

5. Jadilini kuhusu imani za kidini, maana mtu anaweza kuwa KKKT ila anapenda mikesha ya manabii. ili kwenye ndoa usishangae atakapokuwa anaenda mikesha hiyo. msigombane

6. Jinsi ya kushughulika na familia zenu yaani wakwe na mawifi na hata kuishi na ndugu .

7. Imani gani itawekwa kwa watoto wenu

8. Trauma za utotoni ambazo umepitia ili mwenza asikushangae kipindi una Anxiety ama uoga wa jambo fulani

9. Matarajio ya Tendo la ndoa ama sex. kama umezoea kula tigo ama kuliwa tigo ni vizuri mwenza wako ajue mapema ili asishangae uwanjani

10. Matarajio kwa mwenzi, vizuri ukamueleza mchumba wako kwamba una expect nini kutoka kwake kwenye ndoa

11. Matarajio ya kifedha. ni vizuri kujadili views zenu kwenye maswala ya utafutaji pesa na hata utumiaji pesa. kuna watu wanapenda simple life na kuna watu wanapenda life lenye heka heka za utumiaji pesa kuanzia harusi tu anataka ya kutrend instagram .

12. Historia ya afya ya familia zenu. msifichane hili lina umuhimu mkubwa.

13. Historia ya afya ya akili. muhimu pia kujadili hili ili mwenza wako akuelewe ajue jinsi ya kudili na wewe ukivurugwa kuepusha mauaji ama divorce

14. Orodha ya ndoto zenu. ni lazima muambiane ndoto zenu mapema. ili mwenza asishangae kipindi unafanya jambo fulani. mfano unaacha kazi Bank na kwenda kujiajiri Sokoni mwenza asipige kelele za ajabu

14. Makazi ya familia yawe wapi ? hii muhimu sana kujua base yenu itakuwa wapi.. maana isije kuwa mke anapenda kuishi dar es salaam na mume anapenda kuishi morogoro ama mwanza. ikaja leta makelele

15. Kazi na elimu zenu ni muhimu muambiane ukweli. isije kuwa mwenza anajua anaolewa na professa mtarajiwa kumbe mume huna malengo hayo ya kielimu na hata ka certificate ka amazon college huna

16. Jadilini kuhusu maoni ya kisiasa na chochote kingine kinachokuja akilini maana Upendo HAUTOSHI.View attachment 2936439
Huu uzi ngoja nikauchapishe....😀🙏🙏🙏
 
Soma zuri sana.
Ila sasa, hutamuona mtu anakwambia mi hivi na vile.
Dunia ya leo, utaambiwa mara ohh mnato,mara ya kihaya,hivyo tu. Mtu akiweka tu,siku hiyo ndoa tayari. Wapangaji wenzako wanamuona mgeni kibarazani,badae mama akipiga simu anauliza nani anaongea hapo,utasikia nipo kwa watu.
 
Wengi wa mademu wa kibongo wanachukulia ndoa kama ukombozi wa dhiki zao na familia zao.

Jitu linaimgia kwenye ndoa akitarajia kufanyiwa kila kitu. Kuongea na kenge kama hiyo kuhusu bills ni wastage of time tu.
 
Kabla ya kukubali kuoa ama kuolewa na mtu inapaswa muwe na maongezi marefu kuhusu engo zote za maisha

1. Jadilini kuhusu bilis za maisha atakuwa anazilipa nani na kama mtalipa wote ni kwa mgawanyo gani, usiingie kwenye ndoa kimya kimya ukiwa na expectations za mimi mwanaume nitakuwa nadili na mambo makubwa ya ujenzi wa nyumba ama kununua magari na wewe mwanamke utakuwa unalisha familia. ni lazima mjadiliane mapema kabla hamjafunga ndoa.

2.Mitindo ya malezi, maana kuna watu wanapenda malezi ya kizungu na wengine wanapenda malezi ya ukizingua ni viboko

3. Mtazamo kuhusu mikopo. maana kuna watu wanapenda kukopa na kuna watu hawapendi kukopa lazima mjuane kila mmoja yupo upande gani

4. Madeni ya nyuma mliyonayo. ni vizuri ukajua mwenza wako kama anadaiwa kiasi gani kabla hamjafunga ndoa

5. Jadilini kuhusu imani za kidini, maana mtu anaweza kuwa KKKT ila anapenda mikesha ya manabii. ili kwenye ndoa usishangae atakapokuwa anaenda mikesha hiyo. msigombane

6. Jinsi ya kushughulika na familia zenu yaani wakwe na mawifi na hata kuishi na ndugu .

7. Imani gani itawekwa kwa watoto wenu

8. Trauma za utotoni ambazo umepitia ili mwenza asikushangae kipindi una Anxiety ama uoga wa jambo fulani

9. Matarajio ya Tendo la ndoa ama sex. kama umezoea kula tigo ama kuliwa tigo ni vizuri mwenza wako ajue mapema ili asishangae uwanjani

10. Matarajio kwa mwenzi, vizuri ukamueleza mchumba wako kwamba una expect nini kutoka kwake kwenye ndoa

11. Matarajio ya kifedha. ni vizuri kujadili views zenu kwenye maswala ya utafutaji pesa na hata utumiaji pesa. kuna watu wanapenda simple life na kuna watu wanapenda life lenye heka heka za utumiaji pesa kuanzia harusi tu anataka ya kutrend instagram .

12. Historia ya afya ya familia zenu. msifichane hili lina umuhimu mkubwa.

13. Historia ya afya ya akili. muhimu pia kujadili hili ili mwenza wako akuelewe ajue jinsi ya kudili na wewe ukivurugwa kuepusha mauaji ama divorce

14. Orodha ya ndoto zenu. ni lazima muambiane ndoto zenu mapema. ili mwenza asishangae kipindi unafanya jambo fulani. mfano unaacha kazi Bank na kwenda kujiajiri Sokoni mwenza asipige kelele za ajabu

14. Makazi ya familia yawe wapi ? hii muhimu sana kujua base yenu itakuwa wapi.. maana isije kuwa mke anapenda kuishi dar es salaam na mume anapenda kuishi morogoro ama mwanza. ikaja leta makelele

15. Kazi na elimu zenu ni muhimu muambiane ukweli. isije kuwa mwenza anajua anaolewa na professa mtarajiwa kumbe mume huna malengo hayo ya kielimu na hata ka certificate ka amazon college huna

16. Jadilini kuhusu maoni ya kisiasa na chochote kingine kinachokuja akilini maana Upendo HAUTOSHI.View attachment 2936439
that one is not marriage then,
it is business marriage or boarding school of marriage...

what is the most requirements to a very stable, healthier and happier marriage, is true love, trust, each other respect, resilience, forgiveness, good sex among other requirements....

hivyo vingine ni kujenga msingi wa mafarakano na matizo kwenye marriage yenu tena with reference...

maana yake mtakacho tofautiana au ambacho hakujatimizwa na muhusika miongoni mwenu itakua ni uhalifu na uvunjufu wa msingi wa marriage yenu...
itaonekana ni dharau, uzembe, kutokujali au hakuna upendo ....

hamtaishia hapo,
vita itaendelea kwenye masuala mengine katika makubaliano yenu with reference...

so,
vigezo na masharti yasiyo husu upendo wa dhati kwenye ndoa, huondoa Neema na Baraka za Mungu

Mpendane, msichokozane, amani ya Mungu iwe ndani yenu..
 
Back
Top Bottom