Kabla hujakubali kuolewa ama kumuoa mtu, fanya naye maongezi marefu mjadiliane mambo ya msingi Kuhusu Maisha

Kabla hujakubali kuolewa ama kumuoa mtu, fanya naye maongezi marefu mjadiliane mambo ya msingi Kuhusu Maisha

Yani umehangaika kuenda kutafuta mada ambayo niliyeiandika najua nilichokiandika ila wewe ndiye ambaye umeshindwa kukielewa halafu unasema eti nimejikanyaga, msimamo wangu ni ule ule wala sijabadili maneno na wala hakuna sehemu niliyojikanyaga, ila wewe ni either umeamua kujitoa ufahamu au una kichwa kigumu

Huyo niliyemquote anaonesha wazi yeye ni wale wa mfumo dume na kwenye mfumo dume siku zote ni jukumu la mwanaume kutafuta pesa na kuhudumia familia, lakini cha ajabu analalamikia hilo jukumu ndio maana nikamuuliza alitaka jukumu la mwanaume liwe lipi, kwenye 50/50 tu ndio inatakiwa wanaume na wanawake wasaidiane kwenye majukumu na si vinginevyo

Sasa wewe umetoka from nowhere umevamia mada kwa ujasiri wote nikajua utakuwa na la maana la kuandika, kumbe unarudia yale yale ambayo nilishakufafanulia hoja ni kwamba kama unataka mfumo dume basi tafuta pesa hudumia familia, kama unataka 50/50 basi saidiana majukumu yote na mkeo ikiwemo kazi za ndani na usidai mamlaka ya kumtawala mkeo
Nimeleta huu uzi kuonyesha unafaiki wako.Ndio maana siku zile ulikuwa unabisha nilikuacha nikajua kuna siku utajikanyaga,leo nimekukumbisha.

Yaani mpaka ulicho ongea jana umekisahau, leo unarudi kule kwenye mfumo dume.Yaani ww mwenye unashindwa kutunza kumbukumbu ya ulicho kiandika ndio unieleweshe mimi.
 
Nimeleta huu uzi kuonyesha unafaiki wako.Ndio maana siku zile ulikuwa unabisha nilikuacha nikajua kuna siku utajikanyaga,leo nimekukumbisha.

Yaani mpaka ulicho ongea jana umekisahau, leo unarudi kule kwenye mfumo dume.
Wewe hukusoma uzi wangu wote ulisoma kichwa cha habari tu hebu kasome uzi ndio urudi hapa, ungesoma uzi wangu wote usingekuja na hizi pumba maana waliouelewa uzi wangu wakisoma unachoandika hapa watakushangaa, hakuna unafiki hapo msimamo wangu wa siku zote ni huo huo kwamba kama mmeikubali 50/50, basi saidianeni majukumu yote msichague na kama mnataka mfumo dume basi timizeni majukumu yenu, sijawahi kubadili huo msimamo na sitakaa nibadili
 
Wewe hukusoma uzi wangu wote ulisoma kichwa cha habari tu hebu kasome uzi ndio urudi hapa, ungesoma uzi wangu wote usingekuja na hizi pumba maana waliouelewa uzi wangu wakisoma unachoandika hapa watakushangaa, hakuna unafiki hapo msimamo wangu wa siku zote ni huo huo kwamba kama mmeikubali 50/50, basi saidianeni majukumu yote msichague na kama mnataka mfumo dume basi timizeni majukumu, yenu sijawahi kubadili huo msimamo na sitakaa nibadili
Yaani ww mwenye unashindwa kutunza kumbukumbu ya ulicho kiandika ndio unieleweshe mimi.Hapo sijascreenshot ya comment zako ulizokuwa unanijibu.
 
Yaani ww mwenye unashindwa kutunza kumbukumbu ya ulicho kiandika ndio unieleweshe mimi.Hapo sijascreenshot ya comment zako ulizokuwa unanijibu.
Wewe sema tu kwamba hukubaliani na mada yangu ila siyo unisingizie mimi kwamba nimebadili maneno, usilazimishe kwamba mimi sikumbuki nilichokiandika kumbe ni wewe tu ndio hutaki kukubaliana na ukweli, na mimi nasubiri ulete screenshots za comments zangu ili uzidi kuumbuka maana huko ndio nakumbuka nilikufafanulia vizuri kabisa hoja yangu wewe zilete hapa
 
Wewe sema tu kwamba hukubaliani na mada yangu ila siyo unisingizie mimi kwamba nimebadili maneno, usilazimishe kwamba mimi sikumbuki nilichokiandika kumbe ni wewe tu ndio hutaki kukubaliana na ukweli, na mimi nasubiri ulete screenshots za comments zangu ili uzidi kuumbuka maana huko ndio nakumbuka nilikufafanulia vizuri kabisa hoja yangu wewe zilete hapa
Huji helewi ndio maana nilikuacha,ila leo umejikanyaga.
 
Vijana mkifuata ushauri wa mleta mada, ndoa zenu zitakuwa kama jehanam! Huwezi kujadiliana na mtu ambaye ni emotionally driven, non-logical! Sisi ambao tupo kundi la dronedrake hatuna habari na huu Uzi.
 
Ushauri mzuri mkuu.. sema ndoa saiv zinafeli ata kama ayo yooot yakizingatiwa
 
Huji helewi ndio maana nilikuacha,ila leo umejikanyaga.
Hata kuandika kwenyewe mtihani "huji helewi" ndio nini lete hizo screenshots vipi mbona ghafla umepunguza spidi ya kuleta ushahidi, zilete hapa ili tuone kati ya mimi na wewe nani kajikanyaga wewe itakuwa umenifahamu juzi, wanaonifahamu tangu najiunga jf wanaijua misimamo yangu sijawahi kupindisha maneno wala kubadilika
 
Hata kama mkifanya maongezi ya siku saba bila ukweli kati yenu na Mungu kazi ni bure pyeee,,,,uongo ni mwingi siku hizi na acting ni nyingi piaa
 
Hii ni topic nzuri sana. Napenda sana watu ambao wanataka kuwaona watu wengine wafanikiwe kwenye mahusiano.

Naomba niongeze vitu viwili tu:

1) Kuna wataalamu wa ndoa na mapenzi ambao wanafanya pre-marital counseling kwa bei nafuu -- in some cases, chini ya laki moja kwa session moja. Ni muhimu kuwe na mtu neutral kabisa kwenye kuongelea na kujadili vitu vigumu ambavyo watu watakutana navyo kwenye ndoa. Wanafamilia na marafiki watakupa ushauri, lakini, hao ni watu ambao hawako 100% neutral kwenye mahusiano yenu. It's important kutafuta mtaalam - msomi kabisa na sio mtu feki atakayewadanganya na kuwaibia hela zenu - ambaye atawasikiliza wote wawili na kuwaeleza ukweli wote wa maisha ya ndoa.

2) Kama kuna utofauti mkubwa wa umri, ni muhimu sana kuelewa tofauti zakiumri zilizopo kwenye mahusiano yenu. Mahusiano yenye age gap (10years+) yanazidi kuwa kitu cha kawaida, kwahiyo umri na mambo yanayohusu umri yanazidi kuwa muhimu kuzingatia. Kwa mfano, kama wewe una miaka 40 na mke wako ana miaka 25, ni muhimu wewe kama mwanaume uelewe kwamba generation yake ni watumiaji wa simu siku nzima. Matumizi ya simu masaa yote ni kitu cha kawaida kwa mke wako. Na kama wewe ndiyo mke, ni muhimu uelewe kwamba matumizi ya simu masaa yote siyo kitu cha kawaida kwa mume wako unless kazi yake inahitaji awe macho kwenye matime zone tofauti. Mfano mwingine, kama wewe umemzidi mke wako sana kiumri, ni muhimu uelewe kwamba kwenye mazoezi na vyakula, yeye anaweza kuwa more relaxed kuliko wewe kwa sababu ya umri wake mdogo. Ukishafika umri mkubwa, mwili wako umeshapitia mambo mengi. Kwahiyo ni lazima uzingatie afya yako differently ili kuepuka matatizo ya uzeeni (e.g., ili kuepuka matatizo ya magoti, mabega, na mgongo, ni muhimu usiinue vyuma vyenye uzito wakutisha.) Na wewe kama mke mwenye umri mdogo, zingatia mabega na mahipsi ya mume wako. Kama mtaenda kwenye masherehe sherehe basi uelewe hawezi kukatika kwenye dancefloor sherehe nzima, so ukishamwona anasweti sweti kaa chini muenjoy mziki.

Hii ni topic nzuri sana, asante OP!
Acha kucomplicate ndoa wewe... wewe ni aina ya mwanaume dhaifu
 
Ngoja nikukumbusha naona memory yako ujazo wa kisoda.
View attachment 2939300

Tatizo lako hujihelewi unakaza fuvu kama sanamu la Posta. Leo ndio unajua mwanaume hatakiwi kudiscuss maswala ya bili na mwanamke. Ila kwenye uzi wako umeandika tofauti.
View attachment 2939317
Leo eti unataka kujua jukumu la mwanaume ni lipi wakati juzi umekazania 50-50.Husikiongee kile husicho weza kukiishi hawa ww mwenyewe, kwani huna tofauti na mnafiki.
Mkuu mbona unapoteza muda kwa huyu Jadda binti mwenye sonona? Huyu alipigwa tukio na sharobaro aliyempenda akili yake imekuwa kama imewehuka hivi.
 
Wengi wanafunga ndoa kwa kuendeshwa na mihemko ya tamaa za kukidhi haja za kimwili(Hasa me) na mwingine kuhudumiwa na kuringishia mashosti instagram.
 
Uzi mzuri sana huu ila sasa,
Asilimia kubwa ya vijana wanaotegemea kuoana hawapo hapa JF na hata kama wapo haya hayana nafasi kwao, sababu wanaendeshwa na rika la hamsha hamsha la u_teenage maji ya moto.

Wakiwa ni watu wazima basi wataendeshana ndoto zao, although haya uliyoandika huwa yanatokea pale ambapo mmeshapatana kitambo humo humo ndani ya ndoa.
 
Nakuhakikishia kiasi kikubwa utakacho ambiwa kwenye hayo majadiliano na utakacho shuhudia kwenye ndoa ni vitu kumi tofauti kabisaaaaaa, kuna vitu mtu hawezi kusema lakini utaviona kwa vitendo
 
Kabla ya kukubali kuoa ama kuolewa na mtu inapaswa muwe na maongezi marefu kuhusu engo zote za maisha

1. Jadilini kuhusu bilis za maisha atakuwa anazilipa nani na kama mtalipa wote ni kwa mgawanyo gani, usiingie kwenye ndoa kimya kimya ukiwa na silent expectations

2.Mitindo ya malezi, maana kuna watu wanapenda malezi ya kizungu na wengine wanapenda malezi ya ukizingua ni viboko

3. Mtazamo kuhusu mikopo. maana kuna watu wanapenda kukopa na kuna watu hawapendi kukopa lazima mjuane kila mmoja yupo upande gani

4. Madeni ya nyuma mliyonayo. ni vizuri ukajua mwenza wako kama anadaiwa kiasi gani kabla hamjafunga ndoa

5. Jadilini kuhusu imani za kidini, maana mtu anaweza kuwa KKKT ila anapenda mikesha ya manabii. ili kwenye ndoa usishangae atakapokuwa anaenda mikesha hiyo. msigombane

6. Jinsi ya kushughulika na familia zenu yaani wakwe na mawifi na hata kuishi na ndugu .

7. Imani gani itawekwa kwa watoto wenu

8. Trauma za utotoni ambazo umepitia ili mwenza asikushangae kipindi una Anxiety ama uoga wa jambo fulani

9. Matarajio ya Tendo la ndoa ama sex. kama umezoea mechi kali. Sex drive yako ipo juu ni vizuri kumueleza mwenza wako mapema. Pia kama mzee wa mapenzi ni uchafu unapenda chumvini na oral sex zote. Mwenza wako akujue. maana unaweza kuwa wewe mpenda kunyonywa huku mwenza wako hapendi anaona kinyaa


10. Matarajio kwa mwenzi, vizuri ukamueleza mchumba wako kwamba una expect nini kutoka kwake kwenye ndoa

11. Matarajio ya kifedha. ni vizuri kujadili views zenu kwenye maswala ya utafutaji pesa na hata utumiaji pesa. kuna watu wanapenda simple life na kuna watu wanapenda life lenye heka heka za utumiaji pesa kuanzia harusi tu anataka ya kutrend instagram .

12. Historia ya afya ya familia zenu. msifichane hili lina umuhimu mkubwa.

13. Historia ya afya ya akili. muhimu pia kujadili hili ili mwenza wako akuelewe ajue jinsi ya kudili na wewe ukivurugwa kuepusha mauaji ama divorce

14. Orodha ya ndoto zenu. ni lazima muambiane ndoto zenu mapema. ili mwenza asishangae kipindi unafanya jambo fulani. mfano unaacha kazi Bank na kwenda kujiajiri Sokoni mwenza asipige kelele za ajabu

14. Makazi ya familia yawe wapi ? hii muhimu sana kujua base yenu itakuwa wapi.. maana isije kuwa mke anapenda kuishi dar es salaam na mume anapenda kuishi morogoro ama mwanza. ikaja leta makelele

15. Kazi na elimu zenu ni muhimu muambiane ukweli. isije kuwa mwenza anajua anaolewa na professa mtarajiwa kumbe mume huna malengo hayo ya kielimu na hata ka certificate ka amazon college huna

16. Jadilini kuhusu maoni ya kisiasa na chochote kingine kinachokuja akilini maana Upendo HAUTOSHI.View attachment 2936439
Hii imeenda ila sio kwa wanawake mambwa wa kitanzania akili mavi tupu na funza juu
 
Back
Top Bottom