Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo hoja namba moja hiyo, inaweza kusababisha mahusiano hayo kuvunjika kabla ya kudiscuss.
Japo wanatupigia kelele za 50-50 ila 50 yao wanaijua wenye wanaifanyia nini. Kama umeamua kuoa oa ukijua majukumu ni yako haijalishi mwanamke anafanya kazi au laah,kama vip oa tu atakaye shinda nyumbani. Kwani mwanamke kiasilia ni mbinafsi.