Kabla hujenda kulala pitia hapa.

Umesahau mmoja JPM naye yupo humu humu
Isije kuwa panya rd huyu anataka achore ramani.
 
Wewe kwenu kwani wapi?? Mbona hujataja ulipo au umeanzisha uzi ukiwa wapi..
Mimi nimecoment nikiwa huku umburukushkush..
 
pole sana na uzi wako ma mods washa ukata na kichinjio chao
 
nipo tarafa ya mfyoza kata ya bwembwela kijiji cha bupu kitongoji cha dwandwa.......karibu......
 
kwangu kunfukoikoikoi.. unapanda kulia tena kushoto unashuka chini halafu unakaa katikati hapo ndiyo kwangu
 
Inaonekana raia hawajaelewa lengo la uzi huu Nimezoea mitandao ming mathalan Facebook, kunakua na full profile detail lakin humu sijaona inamaana umu watu hawana Kwao Naona apo pameeleweka
OK zipo ila hujui jinsi ya kuzipata yako hii hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…