Kabla ya kuingia lebo ya Wasafi, Rayvanny na Harmonize walikua wapi? Walipofikia leo wangeweza bila Wasafi? Label ipi ina karibia WCB hapa Bongo?

Kabla ya kuingia lebo ya Wasafi, Rayvanny na Harmonize walikua wapi? Walipofikia leo wangeweza bila Wasafi? Label ipi ina karibia WCB hapa Bongo?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hakuna kitu kinaitwa "Unyonyaji" kwenye dunia ya mabepari. Umepewa mkataba, unapewa muda ukausoma na kutafakari, ukaona unafaa, ukatia saini. Hakuna la ziada hapo.

Nitaamini Wasafi ni wanyonyaji siku akitokea mtu akatae mkataba wao mwanzoni kabisa kabla ya kupata umaarufu.

Kama unaona ni gharama nenda nje upambane kivyako ,mwenyewe, Shida iko wapi kwani? ila ujipange sasa...

  • Kajitaftie maneneja wenye uzoefu kama babu tale, salam na mkubwa fela
  • kajilipie shooting mwenyewe kwa milioni 50 hivi,
  • Tafuta mpiga picha wako wa social media
  • Jenga connection zako mwenyewe ziwe za radio, wanasiasa, n.k.
  • Anza kujivalisha nguo kali kwa pesa zako.
  • Kodisha mwenyewe ndege za kusafiri.
  • Andaa mwenyewe matamasha yako.
  • Ukizinguana na media kubwa, anzisha radio yako

Sio mtu unatolewa manzese huko, watu wanakubrand, wanakupambania unahit mpaka nje ya nchi, alafu wakichukua gawio lao la uwekezaji wao walofanya kwako unasema eti wanyonyaji. Hakuna free lunch dadek!

Msanii akipata jina kawa mkubwa na akishaona hela nyingi zinaingia kwenye label anaingia tamaa anatamani hela yote angekuwa anapata yeye, yaani anasahau kabisa alikotolewa na gharama zilizotumika kumfanya mpaka awe sehemu alipo.

Msanii kaitwa kupiga show kwa milioni 20, Lebo inachukua gawio lake 60% sawa na milioni 12 na wanamwachia msanii gawio lake 40% sawa na milioni 8, msanii anaanza kulalamika ohh nanyonywa !! anashindwa kujua hii ni biashara ambayo lebo imewekeza hela nyingi kwake takribani milioni 500, pesa hizi si zawadi jamani, Ni uwekezaji

Kumbuka sio kila msanii anarudisha pesa waliyotumia kumuwekezea, kuna kina lava lava sidhani kama pesa ya uwekezaji imerudi
 
Ukiwasikiliza wabongo watakuchelewesha na kukutoa kwenye reli cha msingi fanya yako.Kitu ambacho nina uhakika hata kikitokea chombo cha serikali cha kugagua label zote za Tanzania bado WCB wataonekana kuwa bora.

Manake wengine label zipo kama vijiwe vya kahawa mchana stori jioni kulala na nyingine zipo kwa ajili ya kumbeba mwenye label, label haina vison kwa msanii mmoja mmoja ipo ipo tu ili mradi msanii fulani ana label.
 
Unashangaa mtu kukubali mkataba wa kinyonyaji na kuna watu wana degree zao na bado wanafanya intern au volunteering hata mwaka bila malipo.

Hata serikali wana_control bei za bidhaa kama mafuta na nauli za daladala na ma_bus ya mkoani ili wanyonge msinyonywe.

Sasa watu wakitaka kuweka control ili wasanii waamke na wafaidike mnachukulia ni uadui

Asee Ruge angekuwa hai angecheka sana maana waliomsema ni mnyonyaji nao leo wanashutumiwa kwa kitu kile kile.
 
Unashangaa mtu kukubali mkataba wa kinyonyaji na kuna watu wana degree zao na bado wanafanya intern au volunteering hata mwaka bila malipo

Hata serikali wana_control bei za bidhaa kama mafuta na nauli za daladala na ma_bus ya mkoani ili wanyonge msinyonywe

Sasa watu wakitaka kuweka control ili wasanii waamke na wafaidike mnachukulia ni uadui

Asee Ruge angekuwa hai angecheka sana maana waliomsema ni mnyonyaji nao leo wanashutumiwa kwa kitu kile kile
Bongo hata wakiweka control label itakayo baki ni WCB peke yake,tena natamani hata leo serikali iweke control.

Halafu Ruge alikuwa na label?
 
Bongo hata wakiweka control label itakayo baki ni WCB peke yake,tena natamani hata leo serikali iweke control.

Halafu Ruge alikuwa na label?

Yeap smooth vibes bro na ile THT ilikuwa ni chuo cha muziki lakini bado kilisimamia wasanii

Kuhusu issue ya diamond kuchukua 60/40 ni sawa kama biashara kutokana na investment aliyoweka ila kama suala la P funk ni ni kweli, yaani producers na wasanii wake wananyang'anywa total ownership ya kazi zao sidhani kama ni haki
 
Yeap smooth vibes bro na ile THT ilikuwa ni chuo cha muziki lakini bado kilisimamia wasanii

Kuhusu issue ya diamond kuchukua 60/40 ni sawa kama biashara kutokana na investment aliyoweka ila kama suala la P funk ni ni kweli, yaani producers na wasanii wake wananyang'anywa total ownership ya kazi zao sidhani kama ni haki
Label ina hisa 60% msanii ana 40% ,sasa msanii akitaka kuondoka wakati akiwa na mkataba hizi 60% zinarudi vipi?
 
Ruge alikuwa ni mafia aisee, Makampuni yanatoa mamia ya mamilioni kudhamini festival, ila wasanii wanalipwa elf 40
Yeah na yeye angepewa nafasi pengine angesema, hao wasanii kawekeza sana pesa yake kuwafundisha lakini pia atatumia hiyo pesa labda kwenye videos 🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️.. Uzuri zaidi hajachukua exclusive ownership ya kazi za wasanii wake, Jide na bifu zao lakini bado albums ni zake

Case ya Diamond alivyoiwasilisha majani ni sawa na saida karoli na muta, alichukua exclusive right za kazi zote na yeye anajitetea vile vile kuwa saida alisaini mkataba.. Unadhani ni fair

Sio kila sheria ni haki brother
 
Yeah na yeye angepewa nafasi pengine angesema, hao wasanii kawekeza sana pesa yake kuwafundisha lakini pia atatumia hiyo pesa labda kwenye videos 🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️.. Uzuri zaidi hajachukua exclusive ownership ya kazi za wasanii wake, Jide na bifu zao lakini bado albums ni zake

Case ya Diamond alivyoiwasilisha majani ni sawa na saida karoli na muta, alichukua exclusive right za kazi zote na yeye anajitetea vile vile kuwa saida alisaini mkataba.. Unadhani ni fair

Sio kila sheria ni haki brother
Sasa ushasema 60% kwa 40%,manake kila kitakacho patikana ratio 3:2,sasa label inachukua vipi asilimia 100% ya ownership? Hizi hesabu tu za msingi hamna Calculus humu wala trigonometric ratio au Complex Number.

Ila hujakatazwa kama unataka kuondoka it's okay basi lipia hizi 60%,umiliki kila kitu kwa 100%.
 
Hakuna kitu kinaitwa "Unyonyaji" kwenye dunia ya mabepari. Umepewa mkataba, unapewa muda ukausoma na kutafakari, ukaona unafaa, ukatia saini. Hakuna la ziada hapo.

Nitaamini Wasafi ni wanyonyaji siku akitokea mtu akatae mkataba wao mwanzoni kabisa kabla ya kupata umaarufu.

Kama unaona ni gharama nenda nje upambane kivyako ,wemyewe, Shida iko wapi ? ila ujipange sasa...

-Kajitaftie maneneja wenye uzoefu kama babu tale, salam na mkubwa fela
-kajilipie shooting mwenyewe kwa milioni 50 hivi,
-Tafuta mpiga picha wako wa social media
-Jenga connection zako mwenyewe ziwe za radio, wanasiasa, n.k.
-Anza kujivalisha nguo kali kwa pesa zako.
-Ishi maisha ya kistaa kwa jasho lako


Sio mtu unatolewa manzese huko, watu wanakubrand, wanakupambania unahit mpaka nje ya nchi, alafu wakichukua return ya uwekezaji wao ambayo ni asilimia 60 unasema eti wanyonyaji. Hakuna free lunch dadek!

kumbuka sio kila msanii anarudisha pesa waliyotumia kumuwekezea, kuna kina lava lava sidhani kama pesa ya uwekezaji imerudi,
Ni mwehu tuu anayedai jamaa ni mnyonyaji
 
Yeah na yeye angepewa nafasi pengine angesema, hao wasanii kawekeza sana pesa yake kuwafundisha lakini pia atatumia hiyo pesa labda kwenye videos 🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️.. Uzuri zaidi hajachukua exclusive ownership ya kazi za wasanii wake, Jide na bifu zao lakini bado albums ni zake

Case ya Diamond alivyoiwasilisha majani ni sawa na saida karoli na muta, alichukua exclusive right za kazi zote na yeye anajitetea vile vile kuwa saida alisaini mkataba.. Unadhani ni fair

Sio kila sheria ni haki brother
Kasajiliwe Konde gang, hamna cha bure hapa
 
Sasa ushasema 60% kwa 40%,manake kila kitakacho patina ratio 3:2,sasa label inachukua vipi asilimia 100% ya ownership?

Ila hujakatazwa kaa unataka kuondoka it's okay basi lipia hizi 60%,umiliki kila kitu kwa 100%.

Kuna mgawanyo wa faida na kuna umiliki,

Leo wewe unaweza kupiga show na ukapata 40% lakini haimaanishi hati miliki ya kazi yako ya sanaa kama mshairi na muimbaji au producer ni yako kwa 40%...

Au labda mimi sijaelewa fresh unijuze mkuu kwa wewe ulivyoelewa
 
Kuna mgawanyo wa faida na kuna umiliki,

Leo wewe unaweza kupiga show na ukapata 40% lakini haimaanishi hati miliki ya kazi yako ya sanaa kama mshairi na muimbaji au producer ni yako kwa 40%...

Au labda mimi sijaelewa fresh unijuze mkuu kwa wewe ulivyoelewa
Nyimbo ikienda hewani inafahamika ni ya msanii ambaye yupo chini ya Label fulani.

Makato yatapokatwa,kwenye mgao pale utagawanya kwa Producer kama kuna mpiga kinanda,gitaa,drum,mwandishi nk nao wana mgao wao,then msanii analipwa 40% na label huku label ikichukua 60% kwa kitakacho bakia.
 
Lakini msanii atafanyaje kama amekuja kufunguka macho baada ya kuhit? Hii mikataba hatuioni lakini niya kinyonyaji pia na hiyo ndo protocol ya maisha hakuna anayefanya biashara bila faida.

Wakati msanii hajatoka kimziki anaona hata kupata show ngumu ,akiingia mkataba na label anaanza kusikika,promo ,wanambrand ,sasa inafika kipindi anaona uchungu hata show anajaza mwenyewe ila hela inakatika nyingi kwa ajili ya mkataba.

Ila mikataba ikiwa siyo ya kinyonyaji hata lebel yenyewe inakufa.
 
Nishasajiliwa na kwaya ya mtakatifu kizito na ninaimba sauti ya nne mkuu.. Nimeridhika kiufupi
Since day one hujawahi muongelea Diamond Kwa lolote zuri , kwako ni mbaya tuu , labda umesajiliwa kwaya ya mtakafujo kizito ....yaani apambane bitter battle ya kubaniwa na media zote giant mjini , Kwa taabu ajikongoje akiwa amewabeba mgongoni hao vijana kuwavusha, kuwabrand na kuwang'risha , mda wa Kula matunda watokee wahuni kama nyie kuwaambia mnanyonywa alaf wachoropoke kizembe ,

Still mwamba ana huruma kuwacharge 600m Kwa 800, ilitakiwa awagonge 2billion per piece
 
Since day one hujawahi muongelea Diamond Kwa lolote zuri , kwako ni mbaya tuu , labda umesajiliwa kwaya ya mtakafujo kizito ....yaani apambane bitter battle ya kubaniwa na media zote giant mjini , Kwa taabu ajikongoje akiwa amewabeba mgongoni hao vijana kuwavusha, kuwabrand na kuwang'risha , mda wa Kula matunda watokee wahuni kama nyie kuwaambia mnanyonywa alaf wachoropoke kizembe ,

Still mwamba ana huruma kuwacharge 600m Kwa 800, ilitakiwa awagonge 2billion per piece

Ahsante kwa kunifuatilia toka day one lakini laiti ungenielewa nilivyo, usingepoteza nguvu zako kuandika hiyo long text,

Either ways, tuishi tu, shukrani mkuu 🙏
 
Back
Top Bottom