Kabla ya kuingia lebo ya Wasafi, Rayvanny na Harmonize walikua wapi? Walipofikia leo wangeweza bila Wasafi? Label ipi ina karibia WCB hapa Bongo?

THT kilikuwa ni kituo cha kulelea watoto yatima.

Huwezi kupewa ownership ya kazi zako ukiwa ndani ya label kazi zako ndio dhamana yako ya biashara ndio maana WCB ukitoka unalipa pesa unapewa rights zako zote. P Funk ukimaliza mkataba kwenye label yake rights anabaki nazo yeye ndio maana mpaka leo master za album za wasanii wake anazo yeye
 
Hivi jiulize kwanini vijana wengi hawakimbilii kwenda king's Music ya Alikiba ambapo ni bure kabisa wanapenda kwenda Wasafi?
 
Kumbe jibu unalijua sasa kwanini unapingana na wadau hapo juu

Ulichouliza na mada iliyopo mezani ni mbingu na ardhi ila wengi wa WCB fans mmeshaaminishwa kuwa mtu akitoa mawazo against wasafi bhasi anaichukia

Either ways, umeshinda mzee, nilikosea nyie mpo right πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Ulichouliza na mada iliyopo mezani ni mbingu na ardhi ila wengi wa WCB fans mmeshaaminishwa kuwa mtu akitoa mawazo against wasafi bhasi anaichukia

Either ways, umeshinda mzee, nilikosea nyie mpo right πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Against inategemea na kitu gani ila hili label labda uamue kupinga kwani yupo sawa.

Mimi natamani siku Diamond amke aseme sasa mimi label basi, hela yake akanunune frequency TCRA aongeze idadi ya coverage ya mikoa kwa redio yake.
 
Ulichouliza na mada iliyopo mezani ni mbingu na ardhi ila wengi wa WCB fans mmeshaaminishwa kuwa mtu akitoa mawazo against wasafi bhasi anaichukia

Either ways, umeshinda mzee, nilikosea nyie mpo right πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Diamond Unaweza kumpinga kwenye vitu vingine ila kwa upande wangu naona label yake inamchango mkubwa Sana kwenye industry ya mziki wetu na hii ni facts nimejaribu kufuatilia malipo wanayopata wasanii wa nchi tofauti kwenye label mbalimbali hiyo 40 of share ni kubwa Sana hata ningekuwa ni mimi nisingekuwa namlipa hiyo percentage msanii wangu
 
Mimi siyo mpenzi wa hii miziki
Lakini ukweli tu hao sjui rayvany harmo washurukuru maana walitolewa kusiko julikana na wakafanywa wajulikane

Ni sawa,mtu Huna hata 100
Anakuja mtu anakudhirikisha
Deal la mln 200 deal inatiki anakupa mln 40,hapo utashukuru utaishia kusema umedhulumiwa

Ova
 
🀣
 
Kwenye ile label ambaye atajaribu kubaki juu ni Harmonize tu, hao wengine wanakurupuka mwisho watakuwa mateja
 
Hyo lay nn cjui anasahau jins alivokua boya kabla ya kuchukuliwa na wasafi duh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…