Kabla ya kuitwa Tanganyika, Tanzania iliitwaje?

Kabla ya kuitwa Tanganyika, Tanzania iliitwaje?

Ila wazungu achana nawo kabisa, walikuja, wakajifanya marafiki na zawadi, wakaingiza dini na mungu wao, kabla hatujatulia wakakamata ardhi, wakaiba, wakatutumisha, wakabaka bibi zetu, wakaua watu kama wakatavyo, wakachota maliasili na rasilimali wakimpelekea mfalme na malkia wao, kama vyao vile, tunataka kujiongoza wakaleta za kuleta, mpaka leo tunaipata fresh, halafu kuna mijitu mijinga inawaona hi mizungu eti ina maana??!!
Mashetani kabisa...
 
Habari wana historia wa Jf na wadau mbalimbali,

Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika lakini pia kulikua na mlima Kilimanjaro ulio mrefu zaidi barani Afrika. Licha ya hivo kulikua na mbuga za wanyama kubwa zaidi Africa mfano Serengeti.

Natumai nitapata majibu.
wanaosema ni German East Africa sio kweli, kwenye kitabu cha Stanley cha kwanza " Finding Dr Livingstone " kilichochapishwa mwaka 1873 ( kabla ya wajeremani kuja) jina Tanganyika lilikuwapo tayari, lilikua na maana ya kutanga nyikani. Ukitaka kujua eneo hili lilikua linaitwaje inatakiwa usome memoirs za explorers na missionaries waliokuja kabla ya ukoloni.
John Speke ana notes nyingi sana, na alikuja kabla ya 1880, tafuta vitabu vyake.
 
Habari wana historia wa Jf na wadau mbalimbali,

Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika lakini pia kulikua na mlima Kilimanjaro ulio mrefu zaidi barani Afrika. Licha ya hivo kulikua na mbuga za wanyama kubwa zaidi Africa mfano Serengeti.

Natumai nitapata majibu.
Tanzagiza
 
Kabisa mkuu,, nyerere mwenyew alisema ivyo.

Lakin kuna makala nilitazama ilieleza kwamba TANGANYIKA imetokana na samaki wa aina mbili yaan NTANGA ni samaki yupo kama perege mjanjajanja na NYIKA imetokana na Samaki mwenye umeme yaan Electric eel. Hao wote wanapatikana Kigoma.
Hmana kitu kama hicho. Tanganyika inatokanana Tanga na Nyika
 
Ila wazungu achana nawo kabisa, walikuja, wakajifanya marafiki na zawadi, wakaingiza dini na mungu wao, kabla hatujatulia wakakamata ardhi, wakaiba, wakatutumisha, wakabaka bibi zetu, wakaua watu kama wakatavyo, wakachota maliasili na rasilimali wakimpelekea mfalme na malkia wao, kama vyao vile, tunataka kujiongoza wakaleta za kuleta, mpaka leo tunaipata fresh, halafu kuna mijitu mijinga inawaona hi mizungu eti ina maana??!!
Mashetani kabisa...
ndio maana namkubali jpm anavyowakazia japo chmoto tunaipata,lakini ni bola ule mlo mmoja kulinda heshima yako bana.kuliko kuzalauliwa na kupelekeshwa ndani ya mji wako mwenyewe.congolee kwa legendary Mugabe,gadafi,mwal jk.na ma legendary wote africa walio wakazia hawa swine.wameifilisi Sana tz yetu.na Africa kiujumla.congolee kwa mawazo ya malegendary mzee wa kifimbo jk,gadafi,waliokuwa wameazimia kuifanya Africa iwe dola moja yaani UNITED STATES OF AFRICA,bila kumsahau kwame nkuruma
 
ndio maana namkubali jpm anavyowakazia japo chmoto tunaipata,lakini ni bola ule mlo mmoja kulinda heshima yako bana.kuliko kuzalauliwa na kupelekeshwa ndani ya mji wako mwenyewe.congolee kwa legendary Mugabe,gadafi,mwal jk.na ma legendary wote africa walio wakazia hawa swine.wameifilisi Sana tz yetu.na Africa kiujumla.congolee kwa mawazo ya malegendary mzee wa kifimbo jk,gadafi,waliokuwa wameazimia kuifanya Africa iwe dola moja yaani UNITED STATES OF AFRICA,bila kumsahau kwame nkuruma
Ila wazungu achana nawo kabisa, walikuja, wakajifanya marafiki na zawadi, wakaingiza dini na mungu wao, kabla hatujatulia wakakamata ardhi, wakaiba, wakatutumisha, wakabaka bibi zetu, wakaua watu kama wakatavyo, wakachota maliasili na rasilimali wakimpelekea mfalme na malkia wao, kama vyao vile, tunataka kujiongoza wakaleta za kuleta, mpaka leo tunaipata fresh, halafu kuna mijitu mijinga inawaona hi mizungu eti ina maana??!!
Mashetani kabisa...
Kama sio hao Wazungu Wala kusingekuwepo na nchi inayoitwa Tanganyika Wala Tanzania, Wala Nyerere asingekuwa hata kiongozi, Wala huyu Magufuli asingekuwa anafahamika

Kama sio Wazungu kuja either ni Waarabu waliokuwepo Pwani wangejipanua na kuitwala bara na Tanzania ingekuwa nchi ya Kiislam,

Au Kama Waarabu wasingejitanua bara, basi kungekua na makabila, kila kabila na kiongozi wake na mpango wake na wala Kiswahili kisingekuwepo

Kama unaijua historian vizuri hebu ni challenge kwa fact, mihemko weka pembeni
 
Kama sio hao Wazungu Wala kusingekuwepo na nchi inayoitwa Tanganyika Wala Tanzania, Wala Nyerere asingekuwa hata kiongozi, Wala huyu Magufuli asingekuwa anafahamika

Kama sio Wazungu kuja either ni Waarabu waliokuwepo Pwani wangejipanua na kuitwala bara na Tanzania ingekuwa nchi ya Kiislam,

Au Kama Waarabu wasingejitanua bara, basi kungekua na makabila, kila kabila na kiongozi wake na mpango wake na wala Kiswahili kisingekuwepo

Kama unaijua historian vizuri hebu ni challenge kwa fact, mihemko weka pembeni
Hakuna positive effect yoyote tuliyo pata kwa uvamiz wa wazungu.kama ni kuunda utaifa tungeuunda tu ulikuwa ni insue ya time,hicho kitu kingetokea tu naturally hata pasipo uvamiz wa wazungu.mfano Kuna nchi hazikitawaliwa kabisa since then lakini leo zina dola moja na taifa moja,japo before zilikuwa na utawala wa makabila.dont be blind u African by cheap logic frm ths frauds white people.get sense u people.
 
Hakuna positive effect yoyote tuliyo pata kwa uvamiz wa wazungu.kama ni kuunda utaifa tungeuunda tu ulikuwa ni insue ya time,hicho kitu kingetokea tu naturally hata pasipo uvamiz wa wazungu.mfano Kuna nchi hazikitawaliwa kabisa since then lakini leo zina dola moja na taifa moja,japo before zilikuwa na utawala wa makabila.dont be blind u African by cheap logic frm ths frauds white people.get sense u people.

Hebu tupe mfano wa nchi wa aina unazozungumzia hapa nasi tuelimike
 
Kabla ya kuja wakoloni ukanda wa Afrika Mashariki uliitwa AZANIA.
Samahani mzee, hakika Azania si jina la eneo la Tanzania. Inawezekana sehemu za pwani za Tanzania ya leo zilihesabiwa kuwa sehemu ya Azania, lakini haina uhakika sana. Hakika ni maeneo makubwa ya tanzania hayakuwa "Azania".

Soma hapa
Azania (kwa Kigiriki Ἀζανία) ni jina la kihistoria kwa ajili ya sehemu mbalimbali za pwani ya Afrika ya Mashariki. Asili yake ni zamani za Waroma na Wagiriki wa kale kwa eneo lililokuwa la watu wa Lugha za Kikushi.

Mapokeo ya Waroma na Wagiriki wa Kale

Mara ya kwanza jina hili limepatikana katika mwandishi Mroma Plinio Mzee (Gaius Plinius Secundus) aliyeishi wakati wa karne ya 1 B.K.
Kufuatana na maelezo yake, Azania ni sehemu zile zilizoanza katika eneo la Adulis (leo: Eritrea) na kuelekea kusini.
Kitabu cha mwongozo kwa ajili ya mabaharia "Periplus ya Bahari ya Eritrea" (karne ya 2 BK) kinatoa maelezo zaidi zinazoonyesha ya kwamba jina la Azania labda lilimaanisha pwani ya Afrika ya Mashariki kutoka Eritrea hadi sehemu za Tanzania ya leo.
Mwandishi Cosmas Indicopleustes wa karne ya 6 B.K. aliandika Azania ni nchi chini ya utawala wa ufalme wa Aksum, basi hapo isingeenea sana kusini kwa pembe la Afrika.

Zanj ya Waarabu

Katika karne zilizofuata umbo la "Azania" halikutumika tena. Inawezekana ya kwamba sababu yake ilikuwa Waarabu Waislamu waliochukua nafasi ya Wagiriki na Waroma wakitawala biashara ya nje ya pwani ya Afrika ya Mashariki. Kuna uwezekano ya kuwa Waarabu walitumia matamshi tofauti ya neno kuwa "Zanj" kwa ajili ya eneo lilelile.
"Zanj" imekuwa asili ya neno Zanzibar.

Matumizi ya neno Azania katika karne ya 20
Kuingi
a katika jina la "Tanzania"
Katika karne ya 20 jina la Azania limefufuka tena. Nchi huru za Tanganyika na Zanzibar ziliungana tarehe 26 Aprili 1964 kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Jina jipya lilitafutwa. Hapo jina lile la kihistoria "Azania" lilikumbukwa tena; kwa kuunganisha maneno ya Tanganyika, Zanzibar na Azania jina la nchi "Tanzania" limepatikana. (Isipokuwa Mohammed Iqbal aliyebuni neno Tanzania hakurejea jina "Azania", lakini wengine walikumbuka)

Kutaja Afrika Kusini
Kwa namna tofauti jina la Azania lilitumika pia Afrika Kusini. Wakati wa siasa ya ubaguzi wa rangi sehemu ya wapinzani wa siasa hii hawakutaka kutumia jina rasmi la "South Africa / Zuid Afrika" tena. Walitafuta jina katika historia iliyotangulia kufika kwa Makaburu wakichukua jina la Azania. Ni hasa vyama vya PAC na Azanian People´s Organization waliotaka kubadilisha jina la Afrika Kusini kuwa Azania. Lakini chama kikubwa cha ANC haikukubali, hivyo mipango ilishindikana.
 
Back
Top Bottom