Kabla ya kuitwa Tanganyika, Tanzania iliitwaje?

Kabla ya kuitwa Tanganyika, Tanzania iliitwaje?

Hii historia ni uwongo wa kubuni tu. Jina Tanganyika halina uhusiano kabisa na maneno ya Tanga na Nyika, bali ni neno la kimanyema linalotokea huko Kigoma, Ujiji likiwa na maana inayokaribiana na ama "..wanaotoka Magharibi" au "...wanaochangangika." Ziwa Tanganyika lilipewa jina hilo zamani sana hata kabla ya nchi hii kukwa maana hiyo kuwa watu wa kutoka Kongo walikuwa wakiiangia Ujiji kutokea magharabi kwa kutumia ziwa hilo na kuchanganyika na watu wa ujiji.

Angalia ramani ya sehemu hiyo zamani sana kabla hakujawa nc nchi inyoitwa Tanganyika."
Nakubali maelezo ya Wikipedia ya Kiingereza si sahihi.
Kuhusu asili ya jina TANGANYIKA kwa ajili ya ziwa kuna taarifa iliyotungwa na mpelelezi wa Marekani HM Stanley aliyeandika majibu ya wenyeji wa wakati wake, ila ni tofauti na yale uliyosikia. Angalia Tanganyika (ziwa) - Wikipedia, kamusi elezo huru

Jina la ziwa limepokewa na Wazungu wapelelezi wa kwanza kutoka kwa wenyeji wa Ujiji. Henry Morton Stanley aliyetembelea ziwa mnamo mwaka 1876 aliandika ya kwamba watu wa Ujiji hawakuwa na uhakika kuhusu maana ya jina, ila tu ilimaanisha ziwa kubwa[1]. Maana waliita maziwa madogo "Kitanga", na waliita pia "ziwa la Usukuma" yaani Viktoria Nyanza kwa jina hili "Tanganika". Wajiji walimwambia Stanley ya kwamba labda neno "nika" ilitoka kwa aina ya samaki walioitwa vile. Baadaye Stanley alikumbuka neno "nika" katika lugha nyingine za Kiafrika kwa maana ya "tambarare, eneo kubwa bapa" akahisi ya kwamba waliita ziwa kama "tambarare kubwa iliyotanda" [2].

Stanley alishika pia majina ya ziwa kwa makabila mengine: watu wa Marungu walisema "Kimana", wale wa Urungu "Iemba" na Wakawendi "Nsaga" kwa maana "ziwa lenye dhoruba". Alichoshika na watu wa Urungu, yaani "Iemba", inalingana na taarifa ya David Livingstone aliyekuta jina "Liemba" kuwa jina la sehemu ya kusini ya ziwa na jina hili linaendelea kutumiwa kwa meli ya MV Liemba inayosafirisha watu na bidhaa ziwani tangu mwaka 1914.
 
Kimsingi ni vile: Hapakuwa jina kwa ajili ya Tanzania kabla ya ukoloni. Maana maeneo ya Tanzania hayakuwa pamoja.
Unaweza kutaja Mrima (pwani la kaskazini), na maeneo mengi mengine; tungeweza kuyaita kufuatana na makabila (Unyamwezi, na kadhalika) ila makabila yalibadilikabadilika ukienda nyuma zaidi.
Tanzania ni nchi iliyoanzishwa na wakoloni, sawa na Kenya na nchi nyingi za Afrika.
Kwanza na Wajerumani waliopatana na Waingereza, Wabelgiji na Wareno kuhusu mipaka, halafu kuwalazimisha watu ndani ya mipaka hii kukubali -angalau kutii au kutopinga mno- serikali yao.
Pili na Waingereza walioamua kuwaachia Wabelgiji sehemu za Rwanda na Burundi kuwa gawio lao kwa kushiriki Vita Kuu ya Kwanza. Halafu Waingereza walichagua jina la "Tanganyika" (katika majadiliano yao waliangalia majina kama Smutsland, Eburnea, Azania, New Maryland, Windsorland, Victoria, Kilimanjaro na Tabora - linganisha Tanganyika - Wikipedia, kamusi elezo huru)
Tatu na watu wake wenyewe waliopokea koloni ya awali mikononi mwao na kundesha maendeleo yake.
 
Hii historia ni uwongo wa kubuni tu. Jina Tanganyika halina uhusiano kabisa na maneno ya Tanga na Nyika, bali ni neno la kimanyema linalotokea huko Kigoma, Ujiji likiwa na maana inayokaribiana na ama "..wanaotoka Magharibi" au "...wanaochangangika." Ziwa Tanganyika lilipewa jina hilo zamani sana hata kabla ya nchi hii kukwa maana hiyo kuwa watu wa kutoka Kongo walikuwa wakiiangia Ujiji kutokea magharabi kwa kutumia ziwa hilo na kuchanganyika na watu wa ujiji.

Angalia ramani ya sehemu hiyo zamani sana kabla hakujawa nc nchi inyoitwa Tanganyika."
View attachment 1690316
ohh
 
Samahani mzee, hakika Azania si jina la eneo la Tanzania. Inawezekana sehemu za pwani za Tanzania ya leo zilihesabiwa kuwa sehemu ya Azania, lakini haina uhakika sana. Hakika ni maeneo makubwa ya tanzania hayakuwa "Azania".

Soma hapa
Azania (kwa Kigiriki Ἀζανία) ni jina la kihistoria kwa ajili ya sehemu mbalimbali za pwani ya Afrika ya Mashariki. Asili yake ni zamani za Waroma na Wagiriki wa kale kwa eneo lililokuwa la watu wa Lugha za Kikushi.

Mapokeo ya Waroma na Wagiriki wa Kale

Mara ya kwanza jina hili limepatikana katika mwandishi Mroma Plinio Mzee (Gaius Plinius Secundus) aliyeishi wakati wa karne ya 1 B.K.
Kufuatana na maelezo yake, Azania ni sehemu zile zilizoanza katika eneo la Adulis (leo: Eritrea) na kuelekea kusini.
Kitabu cha mwongozo kwa ajili ya mabaharia "Periplus ya Bahari ya Eritrea" (karne ya 2 BK) kinatoa maelezo zaidi zinazoonyesha ya kwamba jina la Azania labda lilimaanisha pwani ya Afrika ya Mashariki kutoka Eritrea hadi sehemu za Tanzania ya leo.
Mwandishi Cosmas Indicopleustes wa karne ya 6 B.K. aliandika Azania ni nchi chini ya utawala wa ufalme wa Aksum, basi hapo isingeenea sana kusini kwa pembe la Afrika.

Zanj ya Waarabu

Katika karne zilizofuata umbo la "Azania" halikutumika tena. Inawezekana ya kwamba sababu yake ilikuwa Waarabu Waislamu waliochukua nafasi ya Wagiriki na Waroma wakitawala biashara ya nje ya pwani ya Afrika ya Mashariki. Kuna uwezekano ya kuwa Waarabu walitumia matamshi tofauti ya neno kuwa "Zanj" kwa ajili ya eneo lilelile.
"Zanj" imekuwa asili ya neno Zanzibar.

Matumizi ya neno Azania katika karne ya 20
Kuingi
a katika jina la "Tanzania"
Katika karne ya 20 jina la Azania limefufuka tena. Nchi huru za Tanganyika na Zanzibar ziliungana tarehe 26 Aprili 1964 kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Jina jipya lilitafutwa. Hapo jina lile la kihistoria "Azania" lilikumbukwa tena; kwa kuunganisha maneno ya Tanganyika, Zanzibar na Azania jina la nchi "Tanzania" limepatikana. (Isipokuwa Mohammed Iqbal aliyebuni neno Tanzania hakurejea jina "Azania", lakini wengine walikumbuka)

Kutaja Afrika Kusini
Kwa namna tofauti jina la Azania lilitumika pia Afrika Kusini. Wakati wa siasa ya ubaguzi wa rangi sehemu ya wapinzani wa siasa hii hawakutaka kutumia jina rasmi la "South Africa / Zuid Afrika" tena. Walitafuta jina katika historia iliyotangulia kufika kwa Makaburu wakichukua jina la Azania. Ni hasa vyama vya PAC na Azanian People´s Organization waliotaka kubadilisha jina la Afrika Kusini kuwa Azania. Lakini chama kikubwa cha ANC haikukubali, hivyo mipango ilishindikana.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

Ahsante sana kwa ufafanuzi zaidi
 
Kimsingi ni vile: Hapakuwa jina kwa ajili ya Tanzania kabla ya ukoloni. Maana maeneo ya Tanzania hayakuwa pamoja.
Unaweza kutaja Mrima (pwani la kaskazini), na maeneo mengi mengine; tungeweza kuyaita kufuatana na makabila (Unyamwezi, na kadhalika) ila makabila yalibadilikabadilika ukienda nyuma zaidi.
Tanzania ni nchi iliyoanzishwa na wakoloni, sawa na Kenya na nchi nyingi za Afrika.
Kwanza na Wajerumani waliopatana na Waingereza, Wabelgiji na Wareno kuhusu mipaka, halafu kuwalazimisha watu ndani ya mipaka hii kukubali -angalau kutii au kutopinga mno- serikali yao.
Pili na Waingereza walioamua kuwaachia Wabelgiji sehemu za Rwanda na Burundi kuwa gawio lao kwa kushiriki Vita Kuu ya Kwanza. Halafu Waingereza walichagua jina la "Tanganyika" (katika majadiliano yao waliangalia majina kama Smutsland, Eburnea, Azania, New Maryland, Windsorland, Victoria, Kilimanjaro na Tabora - linganisha Tanganyika - Wikipedia, kamusi elezo huru)
Tatu na watu wake wenyewe waliopokea koloni ya awali mikononi mwao na kundesha maendeleo yake.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏

Ahsante kwa ufafanuzi ila inabidi usome historia ya Tanzania kutokea vyanzo mbalimbali
 
Nakubali maelezo ya Wikipedia ya Kiingereza si sahihi.
Kuhusu asili ya jina TANGANYIKA kwa ajili ya ziwa kuna taarifa iliyotungwa na mpelelezi wa Marekani HM Stanley aliyeandika majibu ya wenyeji wa wakati wake, ila ni tofauti na yale uliyosikia. Angalia Tanganyika (ziwa) - Wikipedia, kamusi elezo huru

Jina la ziwa limepokewa na Wazungu wapelelezi wa kwanza kutoka kwa wenyeji wa Ujiji. Henry Morton Stanley aliyetembelea ziwa mnamo mwaka 1876 aliandika ya kwamba watu wa Ujiji hawakuwa na uhakika kuhusu maana ya jina, ila tu ilimaanisha ziwa kubwa[1]. Maana waliita maziwa madogo "Kitanga", na waliita pia "ziwa la Usukuma" yaani Viktoria Nyanza kwa jina hili "Tanganika". Wajiji walimwambia Stanley ya kwamba labda neno "nika" ilitoka kwa aina ya samaki walioitwa vile. Baadaye Stanley alikumbuka neno "nika" katika lugha nyingine za Kiafrika kwa maana ya "tambarare, eneo kubwa bapa" akahisi ya kwamba waliita ziwa kama "tambarare kubwa iliyotanda" [2].

Stanley alishika pia majina ya ziwa kwa makabila mengine: watu wa Marungu walisema "Kimana", wale wa Urungu "Iemba" na Wakawendi "Nsaga" kwa maana "ziwa lenye dhoruba". Alichoshika na watu wa Urungu, yaani "Iemba", inalingana na taarifa ya David Livingstone aliyekuta jina "Liemba" kuwa jina la sehemu ya kusini ya ziwa na jina hili linaendelea kutumiwa kwa meli ya MV Liemba inayosafirisha watu na bidhaa ziwani tangu mwaka 1914.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏

Ahsante kwa ufafanuzi zaidi lakini inabidi tupate maelezo zaidi kutoka vyanzo mbalimbali
 
Samahani mzee, hakika Azania si jina la eneo la Tanzania. Inawezekana sehemu za pwani za Tanzania ya leo zilihesabiwa kuwa sehemu ya Azania, lakini haina uhakika sana. Hakika ni maeneo makubwa ya tanzania hayakuwa "Azania".

Soma hapa
Azania (kwa Kigiriki Ἀζανία) ni jina la kihistoria kwa ajili ya sehemu mbalimbali za pwani ya Afrika ya Mashariki. Asili yake ni zamani za Waroma na Wagiriki wa kale kwa eneo lililokuwa la watu wa Lugha za Kikushi.

Mapokeo ya Waroma na Wagiriki wa Kale

Mara ya kwanza jina hili limepatikana katika mwandishi Mroma Plinio Mzee (Gaius Plinius Secundus) aliyeishi wakati wa karne ya 1 B.K.
Kufuatana na maelezo yake, Azania ni sehemu zile zilizoanza katika eneo la Adulis (leo: Eritrea) na kuelekea kusini.
Kitabu cha mwongozo kwa ajili ya mabaharia "Periplus ya Bahari ya Eritrea" (karne ya 2 BK) kinatoa maelezo zaidi zinazoonyesha ya kwamba jina la Azania labda lilimaanisha pwani ya Afrika ya Mashariki kutoka Eritrea hadi sehemu za Tanzania ya leo.
Mwandishi Cosmas Indicopleustes wa karne ya 6 B.K. aliandika Azania ni nchi chini ya utawala wa ufalme wa Aksum, basi hapo isingeenea sana kusini kwa pembe la Afrika.

Zanj ya Waarabu

Katika karne zilizofuata umbo la "Azania" halikutumika tena. Inawezekana ya kwamba sababu yake ilikuwa Waarabu Waislamu waliochukua nafasi ya Wagiriki na Waroma wakitawala biashara ya nje ya pwani ya Afrika ya Mashariki. Kuna uwezekano ya kuwa Waarabu walitumia matamshi tofauti ya neno kuwa "Zanj" kwa ajili ya eneo lilelile.
"Zanj" imekuwa asili ya neno Zanzibar.

Matumizi ya neno Azania katika karne ya 20
Kuingi
a katika jina la "Tanzania"
Katika karne ya 20 jina la Azania limefufuka tena. Nchi huru za Tanganyika na Zanzibar ziliungana tarehe 26 Aprili 1964 kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Jina jipya lilitafutwa. Hapo jina lile la kihistoria "Azania" lilikumbukwa tena; kwa kuunganisha maneno ya Tanganyika, Zanzibar na Azania jina la nchi "Tanzania" limepatikana. (Isipokuwa Mohammed Iqbal aliyebuni neno Tanzania hakurejea jina "Azania", lakini wengine walikumbuka)

Kutaja Afrika Kusini
Kwa namna tofauti jina la Azania lilitumika pia Afrika Kusini. Wakati wa siasa ya ubaguzi wa rangi sehemu ya wapinzani wa siasa hii hawakutaka kutumia jina rasmi la "South Africa / Zuid Afrika" tena. Walitafuta jina katika historia iliyotangulia kufika kwa Makaburu wakichukua jina la Azania. Ni hasa vyama vya PAC na Azanian People´s Organization waliotaka kubadilisha jina la Afrika Kusini kuwa Azania. Lakini chama kikubwa cha ANC haikukubali, hivyo mipango ilishindikana.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏

Ahsante sana kwa maelezo
 
Ila wazungu achana nawo kabisa, walikuja, wakajifanya marafiki na zawadi, wakaingiza dini na mungu wao, kabla hatujatulia wakakamata ardhi, wakaiba, wakatutumisha, wakabaka bibi zetu, wakaua watu kama wakatavyo, wakachota maliasili na rasilimali wakimpelekea mfalme na malkia wao, kama vyao vile, tunataka kujiongoza wakaleta za kuleta, mpaka leo tunaipata fresh, halafu kuna mijitu mijinga inawaona hi mizungu eti ina maana??!!
Mashetani kabisa...
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
kabla ya wezi kuja africa(mabeberu)hapakuwa na nchi,inayoitwa Tanganyika au tanzania.kulikuwa na vipande vya maeneo vilivyokuwa na utawala unaojitegemea.
😀😀😀😀😀😀
 
wanaosema ni German East Africa sio kweli, kwenye kitabu cha Stanley cha kwanza " Finding Dr Livingstone " kilichochapishwa mwaka 1873 ( kabla ya wajeremani kuja) jina Tanganyika lilikuwapo tayari, lilikua na maana ya kutanga nyikani. Ukitaka kujua eneo hili lilikua linaitwaje inatakiwa usome memoirs za explorers na missionaries waliokuja kabla ya ukoloni.
John Speke ana notes nyingi sana, na alikuja kabla ya 1880, tafuta vitabu vyake.
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom