πππππππHii historia ni uwongo wa kubuni tu. Jina Tanganyika halina uhusiano kabisa na maneno ya Tanga na Nyika, bali ni neno la kimanyema linalotokea huko Kigoma, Ujiji likiwa na maana inayokaribiana na ama "..wanaotoka Magharibi" au "...wanaochangangika." Ziwa Tanganyika lilipewa jina hilo zamani sana hata kabla ya nchi hii kukwa maana hiyo kuwa watu wa kutoka Kongo walikuwa wakiiangia Ujiji kutokea magharabi kwa kutumia ziwa hilo na kuchanganyika na watu wa ujiji.
Angalia ramani ya sehemu hiyo zamani sana kabla hakujawa nc nchi inyoitwa Tanganyika."
View attachment 1690316
HATA NYERERE ALIWAHI KUSEMA KUWA HAJUI JINA 'Tanganyika' LILITOKA WAPI
Waarabu walitumia hilo jina mkuu soma asili ya kiswahiliπππππ
Hapana Azania sio jibu la kweli mkuu
MrimaHabari wana historia wa JF na wadau mbalimbali,
Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika lakini pia kulikua na mlima Kilimanjaro ulio mrefu zaidi barani Afrika. Licha ya hivo kulikua na mbuga za wanyama kubwa zaidi Africa mfano Serengeti.
Natumai nitapata majibu.
Jina la Tanganyika likianzishwa 1909 baada ya League of Nation kuanzishwa kudhibiti matokeo ya First World War
Waingereza walibadilisha toka jina la kabla ikiitwa Azania
Hii ni history na kwa kuwa hakuna aliethibitisha kwa uhalisi basi na ukweli nilioeleza una base kwny ukweli wa chanzo cha habari husika
Correction;
First world war ilianza 1914 mpaka 1918
Takriban miaka kumi iliyopita niliweka hapa historia hiyo kutoka Royal Historical Society kulingana na records za Dr Livingstone na Henry Morton Stanley. Nikiipata tena nitaileta.πππππππ
Safi sana lakini rejea vyanzo mbalimbali mkuu
Wewe mwaga madini yako, siyo lazima mtu aku challenge ndugu, hatuko kushindana hapa...Kama sio hao Wazungu Wala kusingekuwepo na nchi inayoitwa Tanganyika Wala Tanzania, Wala Nyerere asingekuwa hata kiongozi, Wala huyu Magufuli asingekuwa anafahamika
Kama sio Wazungu kuja either ni Waarabu waliokuwepo Pwani wangejipanua na kuitwala bara na Tanzania ingekuwa nchi ya Kiislam,
Au Kama Waarabu wasingejitanua bara, basi kungekua na makabila, kila kabila na kiongozi wake na mpango wake na wala Kiswahili kisingekuwepo
Kama unaijua historian vizuri hebu ni challenge kwa fact, mihemko weka pembeni
Aisee! Hili ndilo jibu la uhakika kabisa 100% ila wengi hawalifahamu. Fact kabisaaaHii historia ni uwongo wa kubuni tu. Jina Tanganyika halina uhusiano kabisa na maneno ya Tanga na Nyika, bali ni neno la kimanyema linalotokea huko Kigoma, Ujiji likiwa na maana inayokaribiana na ama "..wanaotoka Magharibi" au "...wanaochangangika." Ziwa Tanganyika lilipewa jina hilo zamani sana hata kabla ya nchi hii kukwa maana hiyo kuwa watu wa kutoka Kongo walikuwa wakiiangia Ujiji kutokea magharabi kwa kutumia ziwa hilo na kuchanganyika na watu wa ujiji.
Angalia ramani ya sehemu hiyo zamani sana kabla hakujawa nc nchi inyoitwa Tanganyika."
View attachment 1690316
Kama kule chatoKulikua na kabila na falme tuu