Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
Hilo ziwa Victoria ni jina la mabeberu, kibantu tuita ziwa Nyanza! Kwa hiyo ulitaka Tanganyika iitwe Nyanza?Habari wana historia wa JF na wadau mbalimbali,
Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika lakini pia kulikua na mlima Kilimanjaro ulio mrefu zaidi barani Afrika. Licha ya hivo kulikua na mbuga za wanyama kubwa zaidi Africa mfano Serengeti.
Natumai nitapata majibu.
Ndiyo Mr jebs2002 . Wazungu si wazuri lakini wa Africa ni wabaya zaidi. Na wasiposimamiwa ni wabaya na wanyama kuliko wazungu. Na ukweli upo wamegeuka kuwa ma dictator wabaya zaidi ulimwenguni.Ila wazungu achana nawo kabisa, walikuja, wakajifanya marafiki na zawadi, wakaingiza dini na mungu wao, kabla hatujatulia wakakamata ardhi, wakaiba, wakatutumisha, wakabaka bibi zetu, wakaua watu kama wakatavyo, wakachota maliasili na rasilimali wakimpelekea mfalme na malkia wao, kama vyao vile, tunataka kujiongoza wakaleta za kuleta, mpaka leo tunaipata fresh, halafu kuna mijitu mijinga inawaona hi mizungu eti ina maana??!!
Mashetani kabisa...
Nishasoma vyanzo vingi,na hiki nilikielewa zaidi. Unajua unaposoma chanzo lazima ujue na falsafa ya mwandishi juu ya hicho anachokiandika.Bado hilo sio jibu
Soma vyanzo vingi zaidi.
Mrima si nchi bali neno lingine la kumaanisha bara (naweza kusahihishwa)Iliitwa Mriama,
Ukitoka Zanzibar , ukaja bara unaambiwa unakwenda Mrima
Kwasasa Nchi ina Changamoto ya upungufu wa Madarasa, upatikanaji wa maji upungufu wa Matundu ya vyoo na Changamoto hii ni yamiaka ming sanaa miaka60 ya Uhuru bado tunaongelea hizo changamoto Halafu Anatokea Mjinga Mmoja Anasema eti Rais aongezewe muda hata kama hatak Alazimishwe!Ila wazungu achana nawo kabisa, walikuja, wakajifanya marafiki na zawadi, wakaingiza dini na mungu wao, kabla hatujatulia wakakamata ardhi, wakaiba, wakatutumisha, wakabaka bibi zetu, wakaua watu kama wakatavyo, wakachota maliasili na rasilimali wakimpelekea mfalme na malkia wao, kama vyao vile, tunataka kujiongoza wakaleta za kuleta, mpaka leo tunaipata fresh, halafu kuna mijitu mijinga inawaona hi mizungu eti ina maana??!!
Mashetani kabisa...
Tatizo letu hasa wa Tanganyika ni kutoikubali jina letu halisi "Tanganyika". Tunapeรฑda na kujitambulisha kama waTz na kuliona jina Tanganyika kama lilikosewa ilhali siyo. Kuna nchi ziliitwa kutokana na KABILA moja kuwa kubwa. Na zikatambulika kwa majina ya makabila hayo eg. Uganda , Malawi kabla haijabadilishwa, Sudan , Botswana, Somalia, Lesotho nk.Habari wana historia wa JF na wadau mbalimbali,
Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika lakini pia kulikua na mlima Kilimanjaro ulio mrefu zaidi barani Afrika. Licha ya hivo kulikua na mbuga za wanyama kubwa zaidi Africa mfano Serengeti.
Natumai nitapata majibu.
Uko sahihi kabisa mkuuTatizo letu hasa wa Tanganyika ni kutoikubali jina letu halisi "Tanganyika". Tunapeรฑda na kujitambulisha kama waTz na kuliona jina Tanganyika kama lilikosewa ilhali siyo. Kuna nchi ziliitwa kutokana na KABILA moja kuwa kubwa. Na zikatambulika kwa majina ya makabila hayo eg. Uganda , Malawi kabla haijabadilishwa, Sudan , Botswana, Somalia, Lesotho nk.
Pia kuna nchi zilitambulika kwa maliasili zilizokuepo kipindi hicho eg Milima, Maziwa, Pwani na hizo ni kama Ivory coast, Tanganyika, Kenya, Niger etc.
So Tanganyika kwa kukosa kuwa na kabila kubwa iliyameza makabila mengine, tuliitwa kwa rasilimali iliyokuepo ambayo ni ziwa letu pendwa ndefu na yenye kina kirefu . Lakini bahati mbaya uongozi wetu wa mwanzo uliwa brain wash wananchi na kutokulithamini jina letu la asili.
Hasa hasa Mrima ilimaanisha maeneo ya Bara ya ufukwe wa pwani yanayotazamana na Zanzibar!! Lindi hadi Tanga huko juu pwani ya Mombasa hadi somalia palijulikana kama Benadir.Mrima si nchi bali neno lingine la kumaanisha bara (naweza kusahihishwa)
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Hasa hasa Mrima ilimaanisha maeneo ya Bara ya ufukwe wa pwani yanayotazamana na Zanzibar!! Lindi hadi Tanga huko juu pwani ya Mombasa hadi somalia palijulikana kama Benadir.
Point yangu ni kuwa mrima ilimaanisha maeneo ya Bara hasa yanayotazamana na zanzibar yaan yaliyopo ufukweni ,lakini haikumaanisha wala kuyaunganisha maeneo ya interior
Rwanda-UrundiGerman East Africa colony together with Rwanda Burundi
ni kweli kabisaKabisa mkuu,, nyerere mwenyew alisema ivyo.
Lakin kuna makala nilitazama ilieleza kwamba TANGANYIKA imetokana na samaki wa aina mbili yaan NTANGA ni samaki yupo kama perege mjanjajanja na NYIKA imetokana na Samaki mwenye umeme yaan Electric eel. Hao wote wanapatikana Kigoma.
Ingeitwa Nyanzaland ingekua poa sana.Iitwe Nyanza???
Kwa sababu zipi??