Kabla ya kuja watu weupe waafrika tuliamini uwepo wa Mungu ila hatukuamini uwepo wa shetani

Kabla ya kuja watu weupe waafrika tuliamini uwepo wa Mungu ila hatukuamini uwepo wa shetani

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Jana nilibahatika kufanya maongezi na mzee moja wa zamani sana age inakimbilia kama miaka 90 now.

nilimuuliza maswali mengi sana yanayohusu imani ila tukaenda mpaka miaka ya nyuma kidogo kutokana na maelezo yake niligundua aya.

kuwa waafrika kabla ya kuja waarabu, wareno , waingereza, waberigiji, wafaransa, wahindi na wachina. waliamini uwepo wa mungu ila swala lilikuja pale kumuabudia huyo mungu.

Nini maana halisi ya neno "Mzimu"?

Mzimu ni marehemu, ambapo Kiafrika kiasili tuliamini kuwa wafu wapo karibu na Mungu hivyo tulikuwa tunaomba mizimu utusaidie maana wao wapo karibu na Mungu. Ni sawa na Wakatoliki wanavyoamini katika saints.

lakini kwenye dunia ya leo tunaamini

"Maana ya neno "Mzimu", ni Mashetani ambao ndio humuongoza kufanya maasi, wakati mtu anakata roho hao Mashetani hutoka, hao ndio "Mizimu". Mizimu ni Mashetani walio toka kwa WAFU, kutii Mizimu ni kutii Mashetani, na si kutii WAFU."

ila ukweli wa mambo ni kuwa neno SHETANI sio neno lenye asili ya kiafrica . Concept ya shetani imeletwa afrika. waafrika walikuwa hawaamini uwepo wa shetani.

Mzimu imefananishwa na shetani baada ya dini za kigeni kufika afrika ila
imani ya uwepo wa shetani imeletwa hapo mwanzo haikuwepo.

Waafrika wengi wanaamini mababu zetu hawakuamini Mungu bali mizimu. Kumbe sio kweli Mungu alikuwepo ila tuliamini ndugu zetu waliokufa walikuwa wanatuunganisha sisi na Mungu, hivyo ili maombi yako yafanikiwe unaongea na mizimu (marehemu wa ukoo wenu).

Waafrika tuliamini Mungu, ila tukaamini Mungu yuko karibu na wafu (mizimu/mababu na ndugu walokufa) ambao tuliamini wanaishi katika mibuyu na miti nk. Sio kwamba tuliabudu miti

Ndio maana dini za Kiafrika hazikuwa na wamisionari wa kusambaza kwasababu, kila mtu aliomba Mungu kupitia mizimu ya ukoo wao. Mizimu ya ukoo wa mwezako ulikuwa hakusaidii hivyo hakukuwa haja ya kusambaza dini za asili, kila mtu aliomba kikwao.

Ila watu weupe ndio wakatufunza kuwa Mungu kwa imani zetu sio sahihi. Kwahiyo wasingekuwa wao bado tungeamini Mungu kinamna yetu.

nakualika kaka Mshana Jr katika kutoa mawazo yako katika hili andiko
 
mleta mada sijua wewe unasimama upande gani, katika tafsiri ya Neno Mizimu..??

Unasimama na maana ya zamani ya wazee wetu au unasimama na Hiyo mpya kwamba mizimu mi Majini tu au ni miungu midogo midogo)
 
Kwahyo tunajadili dhana za kufikirika?
Kwenye ulimwengu wa mambo ya kufikirika hakuna ukweli au uongo...inategemea na aliyefikiria.
 
nasimama kwenye maana ya zaman ya wazee wetu.
Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.
 
Usiw
FB_IMG_16652308678061536.jpg
 
Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.
chief, sijapotea hata kidogo uwenda ww ndo haujanielwa sina maana simuamin mungu ... ila tafsir iliyoletw na tuliyotenengezewa kuwa mizimu ni mashetan haipo sawa . na mpaka leo tunaogopa kwenda kwenye makabuli ya wazee wetu tukiamini ni sehem ya hatari wakati wenzetu wao wanapapambana na wanasema waliolala ni watukufu
 
chief, sijapotea hata kidogo uwenda ww ndo haujanielwa sina maana simuamin mungu ... ila tafsir iliyoletw na tuliyotenengezewa kuwa mizimu ni mashetan haipo sawa . na mpaka leo tunaogopa kwenda kwenye makabuli ya wazee wetu tukiamini ni sehem ya hatari wakati wenzetu wao wanapapambana na wanasema waliolala ni watukufu
Kama unamuamini Mungu wa kweli, sasa kabuli la babu yako nila nini?? unaenda kutafuta nn??
mtu aliyekufa anaweza kukusaidia kitu..? wakati yupo huko na yeye anasubr hukumu yake.


NAONA UNAFANYA OPOTOSHAJI TU
 
Kama unamuamini Mungu wa kweli, sasa kabuli la babu yako nila nini?? unaenda kutafuta nn??
mtu aliyekufa anaweza kukusaidia kitu..? wakati yupo huko na yeye anasubr hukumu yake.


NAONA UNAFANYA OPOTOSHAJI TU
Mungu wa isaka mungu wa yakobo sijui mungu wanani wengine uko utamalizia vipi hao watajwa wapo hai kama wamekufa how mim kwangu iwe vibaya kumuomba mungu kupitia watu wangu walio tangulia
 
Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.

Samahani mkuu.

Unamzungumzia huyu Mungu alieshindwa Kujua walipo Adam na Hawa baada ya kuasi hadi akaita ADAMUUU UPO WAPI???

unamzungumzia huyu Mungu mwenye wivu??

Unamzungumzia huyu Mungu ambae alimtaka Ibrahim amchinje mwanae Isaka Ili ajue kama ana imani thabiti kwake???

Unamzungumzia huyu Mungu alieua wazawa wa kwanza wa Wana wa Israel waliokataa kupaka damu Milangoni???


Kama ndo huyo huyo, basi Mungu wenu ni FARA
 
Kama unamuamini Mungu wa kweli, sasa kabuli la babu yako nila nini?? unaenda kutafuta nn??
mtu aliyekufa anaweza kukusaidia kitu..? wakati yupo huko na yeye anasubr hukumu yake.


NAONA UNAFANYA OPOTOSHAJI TU


Bikra maria bado yupo hai au sio???

Halafu anakuwaje bikra wakati alikwisha zaa???
 
Back
Top Bottom