Kwanza, ningependa kutoa pongeza kwa mleta mada na wachangiaji wote.
Pili na heshimu mchango na mawazo ya wachangiaji wote kuna msemo waswahili wanasema "muwamba ngozi uvutia kwake" nimeona wachangiaji wengi wanavutia kwenye MIZIMU kwa sababu ni asili kutoka kwao
ila naomba wanajamvi muangalie hii point yangu , KIUPANDE WANGU NAONA MZUNGU NI MTU ALIYE BARIKIWA SANA NA MUNGU .sisi wa afrika kuna muda tunakaa mpaka tunasema kwa nini yeye karusha ndege, kapitsha chuma ( meli) kwenye maji na vitu vingi sana
NIRUDI KWENYE MADA TAJWA HAPO JUU, kabla kuja kwa wageni tulikuwa na IMANI zetu za MIZIMU , MATAMBIKO na nk na tulikuwa na imani inafanya kazi LAKINI tangu aje mzungu ya dini zake tumezipokea na kuzifata tukaachana kabisa na MIZIMU
mu AFRIKA hasa MBONGO sio FARA kiasi icho aone pirau ale ugali kizembe ( wengi wape) , KWA BARAKA ALIZO PEWA MZUNGU NDIO IMETUFIKIA NA SISI KUPITIA WAO NA SISI TUMEKOMBOLEWA
MIMI NIMEMCHAGUA YESU NA NITANG'ANG'A NAYE HADI MAUTI ( KUTWALIWA ) KWANGU ....AMEN.
Asanteni.