Kabla ya kuja watu weupe waafrika tuliamini uwepo wa Mungu ila hatukuamini uwepo wa shetani

Kabla ya kuja watu weupe waafrika tuliamini uwepo wa Mungu ila hatukuamini uwepo wa shetani

Samahani mkuu.

Unamzungumzia huyu Mungu alieshindwa Kujua walipo Adam na Hawa baada ya kuasi hadi akaita ADAMUUU UPO WAPI???

unamzungumzia huyu Mungu mwenye wivu??

Unamzungumzia huyu Mungu ambae alimtaka Ibrahim amchinje mwanae Isaka Ili ajue kama ana imani thabiti kwake???

Unamzungumzia huyu Mungu alieua wazawa wa kwanza wa Wana wa Israel waliokataa kupaka damu Milangoni???


Kama ndo huyo huyo, basi Mungu wenu ni FARA
Shusha hoja moja moja punguza jazba ndugu
 
Kama unamuamini Mungu wa kweli, sasa kabuli la babu yako nila nini?? unaenda kutafuta nn??
mtu aliyekufa anaweza kukusaidia kitu..? wakati yupo huko na yeye anasubr hukumu yake.


NAONA UNAFANYA OPOTOSHAJI TU
Kaburini kuna nn iwapo mtu kilichompeleka ni kumbukumbu? Hawa kina petro, yohana yakobo n.k waliokufa ndo wanafaa kukumbukwa linapokuja suala la MUNGU?
 
Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.
Kwani sasa hivi hakuna dini zinazo abudu masanamu?
 
Kama unamuamini Mungu wa kweli, sasa kabuli la babu yako nila nini?? unaenda kutafuta nn??
mtu aliyekufa anaweza kukusaidia kitu..? wakati yupo huko na yeye anasubr hukumu yake.


NAONA UNAFANYA OPOTOSHAJI TU
Msabato kazini
 
Jana nilibahatika kufanya maongezi na mzee moja wa zamani sana age inakimbilia kama miaka 90 now.

nilimuuliza maswali mengi sana yanayohusu imani ila tukaenda mpaka miaka ya nyuma kidogo kutokana na maelezo yake niligundua aya.

kuwa waafrika kabla ya kuja waarabu, wareno , waingereza, waberigiji, wafaransa, wahindi na wachina. waliamini uwepo wa mungu ila swala lilikuja pale kumuabudia huyo mungu.

Nini maana halisi ya neno "Mzimu"?

Mzimu ni marehemu, ambapo Kiafrika kiasili tuliamini kuwa wafu wapo karibu na Mungu hivyo tulikuwa tunaomba mizimu utusaidie maana wao wapo karibu na Mungu. Ni sawa na Wakatoliki wanavyoamini katika saints.

lakini kwenye dunia ya leo tunaamini

"Maana ya neno "Mzimu", ni Mashetani ambao ndio humuongoza kufanya maasi, wakati mtu anakata roho hao Mashetani hutoka, hao ndio "Mizimu". Mizimu ni Mashetani walio toka kwa WAFU, kutii Mizimu ni kutii Mashetani, na si kutii WAFU."

ila ukweli wa mambo ni kuwa neno SHETANI sio neno lenye asili ya kiafrica . Concept ya shetani imeletwa afrika. waafrika walikuwa hawaamini uwepo wa shetani.

Mzimu imefananishwa na shetani baada ya dini za kigeni kufika afrika ila
imani ya uwepo wa shetani imeletwa hapo mwanzo haikuwepo.

Waafrika wengi wanaamini mababu zetu hawakuamini Mungu bali mizimu. Kumbe sio kweli Mungu alikuwepo ila tuliamini ndugu zetu waliokufa walikuwa wanatuunganisha sisi na Mungu, hivyo ili maombi yako yafanikiwe unaongea na mizimu (marehemu wa ukoo wenu).

Waafrika tuliamini Mungu, ila tukaamini Mungu yuko karibu na wafu (mizimu/mababu na ndugu walokufa) ambao tuliamini wanaishi katika mibuyu na miti nk. Sio kwamba tuliabudu miti

Ndio maana dini za Kiafrika hazikuwa na wamisionari wa kusambaza kwasababu, kila mtu aliomba Mungu kupitia mizimu ya ukoo wao. Mizimu ya ukoo wa mwezako ulikuwa hakusaidii hivyo hakukuwa haja ya kusambaza dini za asili, kila mtu aliomba kikwao.

Ila watu weupe ndio wakatufunza kuwa Mungu kwa imani zetu sio sahihi. Kwahiyo wasingekuwa wao bado tungeamini Mungu kinamna yetu.

nakualika kaka Mshana Jr katika kutoa mawazo yako katika hili andiko
Ally Nassor Px asante sana kwa mwaliko my apology kama hutojali nitejee hapa baada ya mechi tafadhali[emoji1545][emoji1752]
 
Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.

Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.

Sisi watu wa mataifa baada ya kujua Mungu wa kweli mbona imani zetu zinatofautiana na hao wa israel waliomjua Mungu wa kweli kabla yetu.
 
Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.
mmh mzee bado bado unatope kichwani
 
Ufafanuzi:-
1. Waafrika waliamini katika Mungu mmoja au kila kabila/ukoo ulikuwa na Mungu wake?
Kama Mungu wao alikuwa mmoja kwa Afrika yote, aliitwaje?
2. Waliamini mizimu inakaa katika miti mikubwa kwa mfano, sasa hapo ukaribu na huyo Mungu ukoje? Yaani wao wakiwa katika miti mikubwa, au milima au mapango, Mungu anakuwa wapi?
3. Kila aliyekufa, bila kujali amekufa katika hali gani, anaweza kuombea watu waliopo duniani kwa huyo Mungu?
 
Umepotea ndugu.

Historia uliochimba wewe nichamtoto..

Kuna jamaa kafundisha, video ipo YouTube

kaelezea tangu jinsi gani watu waliingia ardhi ya Tanzania..
Makabila kama wanyamwezi, wahehe, wapare, wahiraki yalianzishwa vipi na kwa maana zipi,.
imani hizo za mizimu zilianza vipi tulizitoa wap...

Shule ya maana.

na Hitimisho ni.. Sisi watu wa mataifa nje na Israel mwanzo wote hatukumjua Mungu wa kweli tulifanya ibada za Sanamu na kuabudu miungu pasipo kujua (Tunaita ni zama za ujinga)

lakini sasa tupo ambao tumeijua kweli, Tunamuabudu Mungu tunae mjua, Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.
Kwahio waliokufa kipindi Dini hii tuliyonayo haijafika wanaenda wapi mkuu??
 
Mambo haya ni magumu sana..Nakumbuka miaka ya 96 hivi ulitokea uhaba wa mvua na sisi ni jamii ya wakulima na tunategemea kilimo kutokna na mvua...Basi bhana kutokana na kuwa Ukristo ulishamili kiasi kwamba watu waliachana kabisa na mambo ya matambiko,Hasa alipofariki yule kiongozi wa matambiko...Baada ya kipindi kirefu bila kupata mvua wanainchi wakabidi watafute mtu mwingine ili arithi mikoba...hivo aliyetakiwa ni mtu mume asiyekuwa na makandokando mfano asiwe mwizi,mzinzi/msherati,asifute sigara wala bangi...Ilikuwa ngumu kumpata mwishowe akapatikana(Ukidanga vigezo ukienda kule hurudi tena unapotelea huko)Basi akapewa maelezo namna ya kufanya kisha akasindikizwa na baadhi ya wazee hadi hiyo sehemu....Tambiko lilianza wala haikuisha siku nakumbuka tulikuwa kwa uwanja tunacheki game mara wingu zito likatokea upande ule ule walipo wale jamaa...basi ilianza kushuka mvua ya maana sana had maeneo jirani na mji wetu...Hili tukio hadi leo huwa sielewi kuwa Mungu alisikia lile tambiko au ilikuwaje
 
Kama hiyo haitoshi pia kuna baadhi ya koo zilikuwa zina transform kuwa simba au chatu...hivo wanakuwa walinzi dhidi ya wanafamilia au ukoo ule jamaa zake..ilikuwa ikitokea msiba au sherehe wazee wanaenda sehemu na mitungi ya pombe kutambika na kusema" Wazee wetu tunaomba mtuondolee aibu hii tuna jambo mbele yetu lakini hatuna kitoweo mtusaidie"Basi asubuhi sana ya siku ya pili watu wanaenda pale mahali unakuta mbogo mmoja au wawili wakiwa na alama ya kung'atwa na meno shingoni tu basi wanachukuliwa na mambo mengine yanaendelea....Sijui kwenye hilo nalo tuseme mizimu ni wabaya ? Ok...Au basi
 
Mambo haya ni magumu sana..Nakumbuka miaka ya 96 hivi ulitokea uhaba wa mvua na sisi ni jamii ya wakulima na tunategemea kilimo kutokna na mvua...Basi bhana kutokana na kuwa Ukristo ulishamili kiasi kwamba watu waliachana kabisa na mambo ya matambiko,Hasa alipofariki yule kiongozi wa matambiko...Baada ya kipindi kirefu bila kupata mvua wanainchi wakabidi watafute mtu mwingine ili arithi mikoba...hivo aliyetakiwa ni mtu mume asiyekuwa na makandokando mfano asiwe mwizi,mzinzi/msherati,asifute sigara wala bangi...Ilikuwa ngumu kumpata mwishowe akapatikana(Ukidanga vigezo ukienda kule hurudi tena unapotelea huko)Basi akapewa maelezo namna ya kufanya kisha akasindikizwa na baadhi ya wazee hadi hiyo sehemu....Tambiko lilianza wala haikuisha siku nakumbuka tulikuwa kwa uwanja tunacheki game mara wingu zito likatokea upande ule ule walipo wale jamaa...basi ilianza kushuka mvua ya maana sana had maeneo jirani na mji wetu...Hili tukio hadi leo huwa sielewi kuwa Mungu alisikia lile tambiko au ilikuwaje
Wazungu walituletea elimu ya darasani ili iwe rahisi kuisambaza dini/uchawi wao kwa lengo la kutupumbaza na kutugombanisha baina yetu. Juhudi za mababu zetu kumiliki koo/familia kubwa tumezifuta, tumekuwa wasomi (wazungu) tunazaa watoto mwisho 3 ili kupunguza gharama za malezi.
Kuna mila nzuri sana za matambiko kwenye makabila yetu tumeziacha kisa tu mungu wa 'iziraeli'...
Wachaga ni haki yao mafanikio, Wakinga ni haki yao utajiri...
Uhuru wa Tanganyika uliambatana na matambiko ya mababu zetu
 
Sisi watu wa mataifa baada ya kujua Mungu wa kweli mbona imani zetu zinatofautiana na hao wa israel waliomjua Mungu wa kweli kabla yetu.
unauhakika na unachokisema..?

Hakuna wakristo Israel?
 
Back
Top Bottom