Hizo propaganda eti dem hamuombi hela we nani usiombe hela labda mkuu yupo vijijin uyoJf bwana[emoji1].
Mtu anakuelezea aina ya mwanamke aliyenae yeye halafu wewe unakuja kusema hakuna mwanamke wa aina hiyo duniani, huyo mwanamke wake unamjua??
Shida nu kwamba mnadate na malaya ndomaana kila kitu mnaona hakiwezekani kwa wanawake, eti dunia nzima[emoji1].
Hahahaha wapo mkuu, miaka fulani niliwahi kudate na mwalimu mkuu wa shule moja ya msingi huko kigoma sikuwa naombwa hela kabisa na mpaka leo ni mchepuko wangu baada ta mke wangu, huyo mwanamke nikinyooka hata sasa kulia shida pesa lazima iingie, ana care ya ajabu. INGAWA MIMI PIA AIBU YA KIUME HUNIINGIA nampa pesa bila yeye kuomba.Hizo propaganda eti dem hamuombi hela we nani usiombe hela labda mkuu yupo vijijin uyo
Hata ww ni ndezi tuu kwanza alfurahi ulivyompotezea,unatumaje hela kirahisirahisi hivyo?Demu kajilengesha eti ananipendq nikamwambia sawa kesho yake kanitext tumechat sana siku inayofuata anataka nimtumie 40k nikatuma
Zikapita siku mbili akataka Tena 30k nikatuma dah wiki inayokuja ni sikukuu anataka nguo za sikukuu na mtoko wa maana kwenda viwanja(outing)
Nikamblock paka yule
Mwambie huyo halafu hata mbunye hujaonja imeshaenda 70kUna mblock vipi mkuu bila kumkuna hata kidogo, kibaharia hiyo ni hasara ni bora ungemblock toka day one alivyokuomba 40K, sasa 70K imeenda bure.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha ha, tatizo baharia muoga sana ndio maana.Mwambie huyo halafu hata mbunye hujaonja imeshaenda 70k
Sio pesa mkuu hyo 🤣🤣Hata ww ni ndezi tuu kwanza alfurahi ulivyompotezea,unatumaje hela kirahisirahisi hivyo?
Ndio tuwaulize nyie [emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh huyu ana roho ngumu tu , unaanzaje kumuomba mtu na yupo hospital [emoji848]
We ndio una bahati mbaya ya kukutana na malaya ila wanawake jamaa aliewazungumzia wapoAcha uwongo mkuu dem uyo hayupo dunian hapa
I can't, na huyo ni yeye tu na roho yake haihusiani na kuwa mdada😂Ndio tuwaulize nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeruka viunziI can't, na huyo ni yeye tu na roho yake haihusiani na kuwa mdada[emoji23]
Viunzi gani tena mkuu?Umeruka viunzi
Demu kajilengesha eti ananipendq nikamwambia sawa kesho yake kanitext tumechat sana siku inayofuata anataka nimtumie 40k nikatuma
Zikapita siku mbili akataka Tena 30k nikatuma dah wiki inayokuja ni sikukuu anataka nguo za sikukuu na mtoko wa maana kwenda viwanja(outing)
Nikamblock paka yule
Mm niliwahi kumuacha demu anayependa pesa akaniambia nimpe buku 10 ya mwisho mwisho.
Tayari kakupiga 70,000 kwa ufara wakoDemu kajilengesha eti ananipendq nikamwambia sawa kesho yake kanitext tumechat sana siku inayofuata anataka nimtumie 40k nikatuma
Zikapita siku mbili akataka Tena 30k nikatuma dah wiki inayokuja ni sikukuu anataka nguo za sikukuu na mtoko wa maana kwenda viwanja(outing)
Nikamblock paka yule
Unaishi na Malaya shtuka babuIlinikuta wiki iliyopita niko hospital kufanyiwa operesheni sehemu ya ubavuni halafu na demu anajua chaajabu ananiambia nimtumie kiasi cha hela yuko kwa wakala anataka kutoa kiasi fulani akanunue vitu vyake vya kutumia...nikasema yale yale unatoka jela baby anakuuliza unanipa zawadi gani
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Huu uzi nimejifunza kitu