Kabla ya kumwacha demu mpenda pesa namuuliza maswali haya

Yeah wacha tujaribu kubalance ila mwanawane kuto..mbaaa raha sana wacha tuwagegede tuu. Hela kitu gani bwana mbele ya utelezi
Kweli mkuu. Akikatiza mbele kwenye 18 zako lazima auchezee.
 
Kuhonga mzee ni umaskin sana ila kama una kazi ya uhakika sawa unaweza onga ila sio kwa kaz zetu hiz boss akicharuka huna kaz,
Kuna demu nilimpata before alikuwa ananipenda sana na nilikuwa nampa sana pesa nilimkuta anatumia kitoch maic mbovu, muhun nikajitosa nikaenda china plaza nikamchulia spark 4, alifurah.... baada ya muda kazin kikanuka kaz cna nikafirisika, demu baada ya kusikia cna kaz akaanza dharau nikimuomba game ananiambia ninapenda sana kufanya ngono, hataki ngono zembe mpk root za kuja geto zikakata. Mpk leo hali ni mbaya madem wote wamekimbia hamna anayenitafuta, maisha yamebadilika sahiv nikiokota buku 5 nachukua mmoja napoa napita hiviii.
All in all hali ni ngumuuu😂😂😂😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…