Kwamba kabla ya huu uzi hukuwahi kujifunza kuwa kuhonga ni njia moja ya kudumisha umaskini? Sema nini kuhonga mpaka Bakhresa anahonga[emoji23][emoji23]
You’ll never walk alone men, kifupi huwez tumia ela zako we mwenyewe lazima awepo mtu wa kula nae[emoji1787][emoji1787]