Kabla ya kunyonya sehemu za siri za mpenzi wako jiulize maswali haya

Kabla ya kunyonya sehemu za siri za mpenzi wako jiulize maswali haya

Kwani nyie watu ambao hamnyonyi tupu mna matatizo gani?[emoji38]

Mbona mnaweweseka sana kila saa mnaanzisha nyuzi za kukandia. We kama hunyonyi ni sawa hakuna anaekuuliza. Tuache sisi tunaonyonya tuendelee.
Yaan kwa kweli kila mtu afanye yake, tusichoshane[emoji23]
 
Una Mungu wako, Imani yako, taratibu zako na mipango yako, mambo ya chumbani sio ya kumpangia mtu mzima...kama wewe kupendi kunyonya/kunyonywa mwambie mwenza wako hupendi muelewane nyie wenyewe..mambo ya mtu mmoja kutuambia tusizini afu yeye ana wake 11 wazee kwa watoto na bado mbinguni anataka apewe bikra 72 hatutaki
 
Kuna wakati watu wakiwa kwenye maeneo "rational decisions hudhibitiwa vikali, passion huamka kwa nguvu mithili ya nguvu inayosukuma mbegu kuota ardhini...Mkuu acha utawalaumu watu bure kuna ukichaa mwingi maeneo hayo. Ila niliyoandika hayaondoi ukweli kuwa tupo tunapenda kuigaiga mambo.
 
Habari zenu Wakuu wangu,

Kwenye ulimwengu wa sasa kumekuwa na tabia ya wapenzi kunyonyana tupu zao wawapo faragha. Kiukweli hii tabia imekuwa ni kama jambo la kawaida kwa vijana wengi wa hovyo including wazee wa hovyo pia.

Leo Mjanja M1 ninakuletea maswali unayopaswa kujiuliza kabla ya kunyonya tupu ya mpenzi wako. Maswali yenyewe ni haya yafuatayo,

1) Ninaponyonya pameumbwa kwa kazi gani

2) Ninachofanya kina madhara kiafya

3) Ninaponyonya pameingiliwa na watu wangapi

4) Imani yangu inaruhusu ninachofanya

5) Nikipatwa na maradhi itakuaje

6) Hivi nina akili kweli

Ukijiuliza maswali hayo na ukajijibu basi matokeo ya unachofanya yapo juu yako na familia yako.
Kwa hio nanii hakua na akilil?, kuna Uzi wa Hadith 12645 eti alikua ananyonya.
 
Kwenye hizo anga kuna ukichaa mwingi sana wa mwanadamu..mifumo ya limbic na happy chemicals za mwili humiminika kwa namna ya kipekee. Kuna binamu yangu aling'atwa kifuani na Mtoto baada ya kumfikisha duuuh...alikuwa na kovu la maana
 
Yaan hapo unampigia mbuzi gitaa watu wataendelea kunyonyana tu ,PONOGRAPHY SIDE EFFECTS hizo zinaitwa
 
Ongea kwanza na wavuta sigara ndio utuambie na ss wanyonyaji
 
Habari zenu Wakuu wangu,

Kwenye ulimwengu wa sasa kumekuwa na tabia ya wapenzi kunyonyana tupu zao wawapo faragha. Kiukweli hii tabia imekuwa ni kama jambo la kawaida kwa vijana wengi wa hovyo including wazee wa hovyo pia.

Leo Mjanja M1 ninakuletea maswali unayopaswa kujiuliza kabla ya kunyonya tupu ya mpenzi wako. Maswali yenyewe ni haya yafuatayo,

1) Ninaponyonya pameumbwa kwa kazi gani

2) Ninachofanya kina madhara kiafya

3) Ninaponyonya pameingiliwa na watu wangapi

4) Imani yangu inaruhusu ninachofanya

5) Nikipatwa na maradhi itakuaje

6) Hivi nina akili kweli

Ukijiuliza maswali hayo na ukajijibu basi matokeo ya unachofanya yapo juu yako na familia yako.
Pameumbwa Kwa Ajili Ya Kuzaa Na Starehe Pasipo Zaa Basi Panyonywe,pakitumika Panatakiwa Paoshwe Ili Kutumika Kwingine Imani Yangu Inaruhusu Hakuna Andiko Kuwa Ni Dhambi,kama Ni Maradhi Unaweza Pata Hata Usiponyonya Kwa Kupachika Tu Dushe,akili Ninazo Muhimu Usafi
 
wanyonya tupu hawana akili

namba 3 na 6 kama ubongo wako haujajaa maji huwezi kufanya ujinga

watu wangapi washamwagamo makamasi yao

na wewe mdada unajua mshedede wake umechomekwa kwa makahaba wangapi
mwanaume Kunyonya Pussy Ni Uhaini Ila Dushe Lina Haki Zote Za Kulambwa.Dushe Ni Koni Kama Koni Zingine
 
Kuna wakati watu wakiwa kwenye maeneo "rational decisions hudhibitiwa vikali, passion huamka kwa nguvu mithili ya nguvu inayosukuma mbegu kuota ardhini...Mkuu acha utawalaumu watu bure kuna ukichaa mwingi maeneo hayo. Ila niliyoandika hayaondoi ukweli kuwa tupo tunapenda kuigaiga mambo.
Hapo ndipo power of lust inajidhihirisha waziwazi. Mtu anakuwa under total submission .
 
haya mambo achana nayo, ukute na ____ wanachama. ndo utaona familia nzima namba 6
 
Back
Top Bottom