Kabla ya kunyonya sehemu za siri za mpenzi wako jiulize maswali haya

Kabla ya kunyonya sehemu za siri za mpenzi wako jiulize maswali haya

Marijali huwa hatunyonyi Uchafu Mkuu.

TUNATUMIA MSHEDEDE.

🤣🤣🤣kumbe ndo hivoo
 
Habari zenu Wakuu wangu,

Kwenye ulimwengu wa sasa kumekuwa na tabia ya wapenzi kunyonyana tupu zao wawapo faragha. Kiukweli hii tabia imekuwa ni kama jambo la kawaida kwa vijana wengi wa hovyo including wazee wa hovyo pia.

Leo Mjanja M1 ninakuletea maswali unayopaswa kujiuliza kabla ya kunyonya tupu ya mpenzi wako. Maswali yenyewe ni haya yafuatayo,

1) Ninaponyonya pameumbwa kwa kazi gani

2) Ninachofanya kina madhara kiafya

3) Ninaponyonya pameingiliwa na watu wangapi

4) Imani yangu inaruhusu ninachofanya

5) Nikipatwa na maradhi itakuaje

6) Hivi nina akili kweli

Ukijiuliza maswali hayo na ukajijibu basi matokeo ya unachofanya yapo juu yako na familia yako.
Nimecheka wazee wa hovyo!
 
Mimi nimeanza kunyonya hizo k nikiwa kijana hasa kwa yule nimpendaye sana ila awe msafi.
Sijaugua ugonjwa wowote pia Mimi sina kinyaa[emoji85]
 
Ukiona mdomo mwekundu kama kaa la moto ujue ni wadudu waliohamia mdomoni. Sio fangasi hata utibu namna gani!! Ukiacha hiyo tabia na kaa la moto linapunguza makali yake.
 
Kwenye hizo anga kuna ukichaa mwingi sana wa mwanadamu..mifumo ya limbic na happy chemicals za mwili humiminika kwa namna ya kipekee. Kuna binamu yangu aling'atwa kifuani na Mtoto baada ya kumfikisha duuuh...alikuwa na kovu la maana
Kuna wangu huyo akifika lazima majirani waje nigongea mlango..sasa iv namkaba na blanket tu saut inaishia mdomon anaishia kiliuma tu
 
Wananyonya au wanalamba lamba kama mmbwa, maziwa ya Mama aliyejifungua hunyonywa na Mtoto na kumezwa na ice cream, mbwembwe zingine ni kujitafutia kufa mapema tu.

Hata hivyo bado Me atapigwa chini tu [emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ila anaacha legacy kama Mzee magu....hapa kwa wale wataalam wa kujua kuinyonya vizur
 
Kama kitu hujui atleat uliza

Kuna watu mnajifnya mnajua TOO MUCH KNOW WHILE NOTHING YOU KNOW!!!

Muwege mnaulza sku zingne kabla kuandka nyuzi humu halafu shule zufunguliwe asee mana sivyo tutaina nyuz za kila rangi.......
Ni nan aliekwambia kuunyonya genitals unapata kansa nan??
Hii kitu haipo kwnza hakuna kansa inayoambukiza kw mtu mmoja kwend kw mwngne haipo hio......!!
Pili oral sex inaeza sbabisha Mtu kupata HPV ambayo kama umekutana na mtu mwnye HPV bashata kuunganisha t makojoleo unaipata hata body contact unaipata......!!

Hyo HPV ukiipata sas ndy inaez accelerate the chance of getting throat cancer....! Wakat huo ukikutana na mtu mwnye HPV bas umeisha inaenezw kw njia almost zote kasoro hewa tu ila ukimgusa tu umeisha sas kwnn tuogope
Kufyonzana em muwege na adabu kwnza munajua how sweet it is....!! And inasgziwa hailet kansa yeyote NARUDIA HAILET....!!

Muwe mnafnya htta dodoso kwa watu wa afya kama tafiti mmeshndwa shida watanzania kla mtu dokta ***** aseee...!!

Asee mm binafsi siachi... Oyaa we mama nanii panua Mdomo.dushe lajaaaaa!!!!

No research no right to talk PERIOD

JIONI NJEMA
Screenshot_20231227-180252.jpg
 
Maswali Yote yanahitaji akili, unfortunately Kwa muda huo akili ni ndogo kuliko hisia
Akili inakuwa imehamia kwenye kichwa cha chini ambacho kwa bahati mbaya hakina ubongo! Sasa jaribu kufikiria maamuzi nyeti yanaamuliwa na kichwa kisichokuwa na ubongo.
 
wanyonya tupu hawana akili

namba 3 na 6 kama ubongo wako haujajaa maji huwezi kufanya ujinga

watu wangapi washamwagamo makamasi yao

na wewe mdada unajua mshedede wake umechomekwa kwa makahaba wangapi
Hapo ni both teams to score
 
Back
Top Bottom