Wacha kabisa..yani haina mlingano... ππππ sisi wenye meno mng'ao tunapambana na wachumba zetu....mnuka mdogo kawekwa ndani...
Hii dunia hii...haiko fair kabisaπͺ
Tell 'em....usiogope kumnyonya kinywa chake, watu tunanyonya mpaka kwapa
mapenzi sio uchafu, ukiona ni uchafu(kinyaa) jua humpendi huyo mtu wakoπ³ u can't be serious?
Hamna msihalalishe uchafu bana..sio uchafu kama wote mtakua wasafi mtafanya vya kufanya..mapenzi sio uchafu, ukiona ni uchafu(kinyaa) jua humpendi huyo mtu wako
Eeeeh umefikiwaπ€£Mbona tunasingiziana mambo ya hovyo kabisa....sijapenda. thats not nice π€£π€£π€£π€£π€£
hatuhalalishi uchafu ila chochote unafanya ktk mapenziHamna msihalalishe uchafu bana..sio uchafu kama wote mtakua wasafi mtafanya vya kufanya..
Huku mnakoelekea iko siku mtaanzisha mada za kunyonyana kinyeo!!Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha.
Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi anataka kung'oka nao.La sivyo tuishie kunyonyana lips tu inatosha.
π
Sa itakuwaje?π
Usijaribu!meno yaliyooza Yana bakteria,lazima utaozaKwani ukinyonya mwenye meno yameoza na yako yanaoza?
Leo unasingiziwaπ€£π€£π€£Mbona tunasingiziana mambo ya hovyo kabisa....sijapenda. thats not nice π€£π€£π€£π€£π€£