Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huko kote ulimi unafata nini....πππtatizo meno ya konani hayaonekani kirahisi mkuu
Kuwe na mipakaππππππππ jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka uwiiHaya mambo ya madenda haya Huwa tunabeba mengi san Kuna siku nilijikuta mpka na kipunje Cha wali mdomon, na cjala wali cku hyo[emoji855]
Kuoza mijino ni INCONSEQUENTIALPole....
Be selective πππππ
Kuna wamasai wana meno meupe peee. Tutadeal nao ππNa unavopenda wamasai, shauriyoπ
Kwanza achana na meno, hawavai boxer, wanapaka samli, kuna mirungi, ugoro
Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha.
Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi anataka kung'oka nao.La sivyo tuishie kunyonyana lips tu inatosha.
[emoji119]
Sa itakuwaje?[emoji134]
Jamani hahahahMkaka mwenye meno ya Arusha hayo ya chocolate siwezi kubali anipige de.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you have Bad MannersSio kunyanyapaa mkuu!
Siushawahi kuyaona lkn yalivyo na rangi ya dawati....
Kama ndo mume itabidi tukayasafishe kwanza yawe meupe.
NB: Nisameheni wote wenye meno hayo ya Chocolate
Siyo kimakua au kiyaoπHii dento fomula ya kihadzabe...
Ndio hivyoπ³πΆ
Hivi mnawezaje kunyonyana mate?,Aisee wanawake mna roho ngumu sana.Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha.
Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi anataka kung'oka nao.La sivyo tuishie kunyonyana lips tu inatosha.
[emoji119]
Sa itakuwaje?[emoji134]
Na wanaume wana roho ngumu maana tunanyonyana....unashangaa mate watu tunapita hadi na ballsHivi mnawezaje kunyonyana mate?,Aisee wanawake mna roho ngumu sana.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app