Kabla ya kuvuja TTCL, Serikali ifanye haya kwanza...

Kabla ya kuvuja TTCL, Serikali ifanye haya kwanza...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.

Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.

Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...

Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
 
Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.

Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.

Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...

Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Au hiyo hiyo TTCL iwauzie wenye uwezo wao na serikali ibakie na hisa zake kadhaa...
 
Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.

Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.

Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...

Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Upo sahihi kabisa.
Nahisi leo katibuka....ila hii ni nzuri...
Itafanya watu waelewe kwa nini JPM alikuwa hacheki na kima yoyote...
 
Mama anapigana vita na watu wa karibu yake na wanamjua wanacheka nae na kuna wengine ni marafiki zake,walio haribu TTCL wana fahamika ,TRC wabunge na wafanya biashara wakubwa wanao miliki biashara ya mizigo na mabasi ambao ni wachangiaji kwenye kampeni wana fahamika,hawawezi kukubali TRC isimame.

Hii nchi kuendelea inahitaji kauzu haswa ambaye hacheki na kima.
 
Kosa moja haliachi mke!
Tuna vijana wengi wasomi na wazalendo wapewe shirika waliongoze

Kuna siku tulijadili humu kuhusu mchakato mzima wa utumishi katika kuajiri haswa kwa positions na mashirika ambayo yanahitaji watu creative and experienced.

TTCL ilitakiwa iajiri kwa mfumo tofauti na huu wa kuwakalisha watu kwenye halls na kuwauliza maswali ya darasani..

Walitakiwa waangalie Vodacom au Tigo wanaajiri vipi ili wapate watu competent maana huwezi kuingia kwenye soko la biashara na mifumo ya kuserikali na ukategemea survive
 
Mama anapigana vita na watu wa karibu yake na wanamjua wanacheka nae na kuna wengine ni marafiki zake,walio haribu TTCL wana fahamika ,TRC wabunge na wafanya biashara wakubwa wanao miliki biashara ya mizigo na mabasi ambao ni wachangiaji kwenye kampeni wana fahamika,hawawezi kukubali TRC isimame.

Hii kuendelea inahitaji kauzu haswa ambaye hacheki na kima.
Tutateseka tu aisee
 
Kuna siku tulijadili humu kuhusu mchakato mzima wa utumishi katika kuajiri haswa kwa positions na mashirika ambayo yanahitaji watu creative and experienced.

TTCL ilitakiwa iajiri kwa mfumo tofauti na huu wa kuwakalisha watu kwenye halls na kuwauliza maswali ya darasani..

Walitakiwa waangalie Vodacom au Tigo wanaajiri vipi ili wapate watu competent maana huwezi kuingia kwenye soko la biashara na mifumo ya kuserikali na ukategemea survive
Brother mchakato wa ajira kupitia Utumishi ndio leo hii umefanya serikali kupata watu bora kuliko wa zamani, tatizo zamani kamletee wapo kibao wewe unazani hata hawa bora ambao wapo wachache hawawezi kuonekana sababu kamletee wapo wengi kuliko walio pitia utumishi.

Utumishi ya sasa kama kilaza hutoboi.
 
Bila ya kufanya overhaul ni ngumu sana tukubali tu wazee sasa mambo ya kisasa yanawapiga chenga akili zimelala...wengi wamekuwa watoa offer tu bar hamna Ubunifu...

Kutafuta vijana matata kuwaweka Kuna taasisi mwaka Jana ilikuwa na madudu kawekwa kijana mwaka huu naona mambo safi .Hii mbinu ni smart sana
 
Bila ya kufanya overhaul ni ngumu sana tukubali tu wazee sasa mambo ya kisasa yanawapiga chenga akili zimelala...wengi wamekuwa watoa offer tu bar hamna Ubunifu...

Kutafuta vijana matata kuwaweka Kuna taasisi mwaka Jana ilikuwa na madudu kawekwa kijana mwaka huu naona mambo safi .Hii mbinu ni smart sana

Taasisi gani?
 
Brother mchakato wa ajira kupitia Utumishi ndio leo hii umefanya serikali kupata watu bora kuliko wa zamani, tatizo zamani kamletee wapo kibao wewe unazani hata hawa bora ambao wapo wachache hawawezi kuonekana sababu kamletee wapo wengi kuliko walio pitia utumishi.

Utumishi ya sasa kama kilaza hutoboi.
ubora wa kitu hupimwa kwa matokeo kwa hiyo kama kuna ubora inatakiwa uonekane tunapoenda kupata huduma kwenye mashirika ya serikali lakini performance ya shirika sokoni. Huo ndio ubora

Sikatai kipindi hasa cha Magufuli, kulikuwa na fairness kubwa kwenye amira haswa kupitia utumishi na ni kweli vijana wengi ambao walikuwa book smart waliajiriwa sana bila kuwa na back up

Ila hapa tuzungumzie mchakato wa kupata vijana ambao wapo competent na result oriented kwenye soko, ukiangalia mfumo wa utumishi, unadhani unaegemea katika hivi vitu viwili na kama sio, unategemea wataweza kupambana na vodacom au tigo ambao wanachuja watu wao wakiegemea hapo
 
Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.

Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.

Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...

Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Mkono wa serikali ukishaingia tu kwenye hayo makampuni basi tunekwisha
 
Bila ya kufanya overhaul ni ngumu sana tukubali tu wazee sasa mambo ya kisasa yanawapiga chenga akili zimelala...wengi wamekuwa watoa offer tu bar hamna Ubunifu...

Kutafuta vijana matata kuwaweka Kuna taasisi mwaka Jana ilikuwa na madudu kawekwa kijana mwaka huu naona mambo safi .Hii mbinu ni smart sana
Taasisi ipi hiyo?
 
Back
Top Bottom