Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Kwa hiyo wakati wa magufuli ajira portal ilikufa na sekretarieti ya ajira walikuwa wanalipwa kwa kupiga soga ofisini mkuuAjira zipi zilifanyika wakati wa Magufuli? Mbona miaka yake yote hakuajiri?? Ajira zimeanza mwaka jana baada ya Samia kuajiri sekta ya elimu na afya
Na nitashangaa kama kuna mtu anaamini kipindi cha magufuli hakutoa hata ajira moja, yatakuwa ni maajabu ya kuingizwa kwenye Guiness book of records