Tatizo kubwa kwenye shirika la TTCL ni kwamba biashara wanayofanya ina ushindani mkubwa. Mengi ya haya mashirika hayatumii fedha nyingi kujitangaza na kukaba masoko muhimu. Wenzao kikao kimoja tu fedha inatolewa, jambo linafanyika, wenzao fedha inayopatikana kwenye kampuni inadhibitiwa na shirika husika.
Hawa wa serikali pesa yote tuna centralize kwa TRA. Tukihitaji huku kwa promotions na matangazo unapewa 20% ya ulichokiomba. Huwezi kushindana
Tuna dhana kwamba Vya serikali ni bora na havihitaji kutangazwa. Kwenye sekta uhifadhi na utalii ni hivyo hivyo, "watalii watakuja tu, hakuna Serengeti nyengine"