Kabla ya kuvuja TTCL, Serikali ifanye haya kwanza...

Kabla ya kuvuja TTCL, Serikali ifanye haya kwanza...

Huko sahihi sana. Watu wasiojua historia ya ili shirika wataponda blindly lakin ukweli TTCL imefikia hapo sababu ya hujuma za watu binafsi na serikali. Unaweza kuamini nikikwambia kuwa TTCL inaendesha mkongo wa taifa lakini mapato ya mkongo yanaenda serikalini/wizarani. Gharama za kumaintain mkongo wa taifa zinatokana na mapato ya ndani ya shirika lkn wateja wa mkongo kama Voda, airtel na wote unaowajua wanalipa hela wizarani. Hii ndio inayoimaliza TTCL
TTCL inahujumiwa sana...
 
Tatizo kubwa kwenye shirika la TTCL ni kwamba biashara wanayofanya ina ushindani mkubwa. Mengi ya haya mashirika hayatumii fedha nyingi kujitangaza na kukaba masoko muhimu. Wenzao kikao kimoja tu fedha inatolewa, jambo linafanyika, wenzao fedha inayopatikana kwenye kampuni inadhibitiwa na shirika husika.
Hawa wa serikali pesa yote tuna centralize kwa TRA. Tukihitaji huku kwa promotions na matangazo unapewa 20% ya ulichokiomba. Huwezi kushindana
Tuna dhana kwamba Vya serikali ni bora na havihitaji kutangazwa. Kwenye sekta uhifadhi na utalii ni hivyo hivyo, "watalii watakuja tu, hakuna Serengeti nyengine"
Milolongo na ujamaa syndrome.. Nimekusoma mkuu
 
Kamwe serikali haiwezi shindana na Mobile Network Operators. Hawa watu wanatunga sheria wao, kwa kificho sana. Waliambiwa wawe public, hapo hapo kwa kujua Mobile Transactions ndio ela ilipo kwa sasa, sheria ikaibuka toka BOT, Mobile Money ikapewa license yake, ikiitaka iwe kampuni tofauti na Network Operator.

Leo hii watu wamenunua hisa Vodacom, ila mapato yao Mpesa haipo.
 
Naweza kuwa nafikiria vibaya ila naamini kama wewe. TTCL inahitaji damu changa yenye ubunifu unaoendana na mabadiliko na mahitaji ya sasa
Huo ni Ukweli tu Bro!
Serkali Ifanye Hivyo!
 
Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.

Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.

Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...

Serikali ifanye tathmini ya kutosha..


Hivi Kuna mpango wa kuifuta au kuiuza TTCL??
 
Ttcl inaumizwa na madeni, Mikataba ya kimayere

Yule waziri alikuwa ni wakuwekwa ndani

900mil kwa mwezi kwenda tigo

Shirika litaendeleaje?....

Umayere unagharimu Shirika
 
Mkuu hapo kwenye uzalendo umechemka
Bila Uzalendo ni bure tu!
Uanze kufundishwa kuanzia kwenye Familia zetu!
MWIKO WOWOTE UWE MWIKO KUANZIA FAMILIA HADI TAIFA...
 
Huko sahihi sana. Watu wasiojua historia ya ili shirika wataponda blindly lakin ukweli TTCL imefikia hapo sababu ya hujuma za watu binafsi na serikali. Unaweza kuamini nikikwambia kuwa TTCL inaendesha mkongo wa taifa lakini mapato ya mkongo yanaenda serikalini/wizarani. Gharama za kumaintain mkongo wa taifa zinatokana na mapato ya ndani ya shirika lkn wateja wa mkongo kama Voda, airtel na wote unaowajua wanalipa hela wizarani. Hii ndio inayoimaliza TTCL
Bado Wizara ndiyo mmiliki wa mkongo,TTCL bado hajakabidhiwa, ila mchakato waendelea
 
Kuna siku tulijadili humu kuhusu mchakato mzima wa utumishi katika kuajiri haswa kwa positions na mashirika ambayo yanahitaji watu creative and experienced.

TTCL ilitakiwa iajiri kwa mfumo tofauti na huu wa kuwakalisha watu kwenye halls na kuwauliza maswali ya darasani..

Walitakiwa waangalie Vodacom au Tigo wanaajiri vipi ili wapate watu competent maana huwezi kuingia kwenye soko la biashara na mifumo ya kuserikali na ukategemea survive
Umetumia akili sana.

Mtaani huku kuna vichwa.. ila SAHILI za hawa watu PSRS ni upuuzi uliotukukuka na hapo ni TTCL kuna sekta sensitive kama majeshi yetu ni majanga majanga bahati nzuri hatuna VITA.. otherwise...
 
Huko sahihi sana. Watu wasiojua historia ya ili shirika wataponda blindly lakin ukweli TTCL imefikia hapo sababu ya hujuma za watu binafsi na serikali. Unaweza kuamini nikikwambia kuwa TTCL inaendesha mkongo wa taifa lakini mapato ya mkongo yanaenda serikalini/wizarani. Gharama za kumaintain mkongo wa taifa zinatokana na mapato ya ndani ya shirika lkn wateja wa mkongo kama Voda, airtel na wote unaowajua wanalipa hela wizarani. Hii ndio inayoimaliza TTCL
Voda, Tigo, Halotel, Zantel,Airtel hayo mashirika yote hayawezi kukubali kuona TTCL inachukua hatamu, they will loose business...

Wakikutana na watendaji wasiyokua waaminifu kutoka serikalini basi shirika linahujumiwa na kujifia...
Serikali ina kila kitu, watu, pesa, miuondombinu, kwa nini shirika life...
 
Umetumia akili sana.

Mtaani huku kuna vichwa.. ila SAHILI za hawa watu PSRS ni upuuzi uliotukukuka na hapo ni TTCL kuna sekta sensitive kama majeshi yetu ni majanga majanga bahati nzuri hatuna VITA.. otherwise...
Kiufupi tu mifumo ya kuajiri serikalini bado ina walakini, mfano na waalimu wote waliopo mitaani Ila bado wanachaguliwa randomly

Yaani mtu wa customer care kwenye private sector anapitia msoto kupata kazi kuliko waalimu wanaoandaa future za watoto serikalini
 
Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.

Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.

Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...

Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Ushauri mzuri sana.
 
Sikatai kipindi hasa cha Magufuli, kulikuwa na fairness kubwa kwenye amira haswa kupitia utumishi na ni kweli vijana wengi ambao walikuwa book smart waliajiriwa sana bila kuwa na back up
Ajira zipi zilifanyika wakati wa Magufuli? Mbona miaka yake yote hakuajiri?? Ajira zimeanza mwaka jana baada ya Samia kuajiri sekta ya elimu na afya
 
Back
Top Bottom