fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
naunga mkono hojaKabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.
Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.
Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...
Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Kumtoa ndio adhabu?? Niibe bilion alafu unitoe kwenye nafasi yangu, hapo hasara ipo wapi?Uzi upo humu tafuta Kuna bodi ya wakurugenzi vikaa tu walikula mil 600 mwaka Jana fautilia uone mama alimtoa mkurugenzi na wazee wengine kweny bodi
Vipi na Yale magawio ya mashirika Kwa Serikali yameishia wapi ? Au yaliondoka na mwenye kuanzia!Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.
Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.
Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...
Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Si bure! We utakuwa na hang over ya ujamaa.Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.
Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.
Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...
Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Du kumbe akili unazoKabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.
Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.
Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...
Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Najua unastress zako pole sanaAlikuwa hacheki na nyie wanyonge lakini alikuwa jambazi kama majambazi mengine ya fisiemu.
Inahujimiwa kuanzia akina voda tigo .. aitelTTCL inahujumiwa sana...
Nchi hii hakuna uzalendo kila anayewekwa anaangalia pa kupiga. Sema tunatofautiana viwango vya aibu. Kuna wanaopiga 10% wengine wanapiga hadi 50%.Kosa moja haliachi mke!
Tuna vijana wengi wasomi na wazalendo wapewe shirika waliongoze!
Mnufaika wa ttcl na hasara zakeKabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.
Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.
Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...
Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Shida ya TTCL sio wafanyakazi walioajiriwa, ni uongozi hasa kutoka serikalini, TTCL ikiachiwa ijiendeshe yenyewe itafanya vizuri kwa kutumia wafanyakazi haohao ilionao.Kuna siku tulijadili humu kuhusu mchakato mzima wa utumishi katika kuajiri haswa kwa positions na mashirika ambayo yanahitaji watu creative and experienced.
TTCL ilitakiwa iajiri kwa mfumo tofauti na huu wa kuwakalisha watu kwenye halls na kuwauliza maswali ya darasani..
Walitakiwa waangalie Vodacom au Tigo wanaajiri vipi ili wapate watu competent maana huwezi kuingia kwenye soko la biashara na mifumo ya kuserikali na ukategemea survive
Au Plasduce Mbosa wa pale parking ya meli?Uzi upo humu tafuta Kuna bodi ya wakurugenzi vikaa tu walikula mil 600 mwaka Jana fautilia uone mama alimtoa mkurugenzi na wazee wengine kweny bodi
Katiba Iseme mpigaji/mwizi wa mali ya Umma Apigwe Risasi Hadharani!Nchi hii hakuna uzalendo kila anayewekwa anaangalia pa kupiga. Sema tunatofautiana viwango vya aibu. Kuna wanaopiga 10% wengine wanapiga hadi 50%.
Kosa moja haliachi mke!
Tuna vijana wengi wasomi na wazalendo wapewe shirika waliongoze!
Naweza kuwa nafikiria vibaya ila naamini kama wewe. TTCL inahitaji damu changa yenye ubunifu unaoendana na mabadiliko na mahitaji ya sasaKosa moja haliachi mke!
Tuna vijana wengi wasomi na wazalendo wapewe shirika waliongoze!
Tatizo kubwa kwenye shirika la TTCL ni kwamba biashara wanayofanya ina ushindani mkubwa. Mengi ya haya mashirika hayatumii fedha nyingi kujitangaza na kukaba masoko muhimu. Wenzao kikao kimoja tu fedha inatolewa, jambo linafanyika, wenzao fedha inayopatikana kwenye kampuni inadhibitiwa na shirika husika.ubora wa kitu hupimwa kwa matokeo kwa hiyo kama kuna ubora inatakiwa uonekane tunapoenda kupata huduma kwenye mashirika ya serikali lakini performance ya shirika sokoni. Huo ndio ubora
Sikatai kipindi hasa cha Magufuli, kulikuwa na fairness kubwa kwenye amira haswa kupitia utumishi na ni kweli vijana wengi ambao walikuwa book smart waliajiriwa sana bila kuwa na back up
Ila hapa tuzungumzie mchakato wa kupata vijana ambao wapo competent na result oriented kwenye soko, ukiangalia mfumo wa utumishi, unadhani unaegemea katika hivi vitu viwili na kama sio, unategemea wataweza kupambana na vodacom au tigo ambao wanachuja watu wao wakiegemea hapo
Mashirika hayo hayo, akichukua mtu binafsi utaona linaamka na baada ya muda mfupi linaanza kupata faida. Jiulize hapoHaya mashirika yasiyotoa gawio na yanapayata ruzuku kutoka serikalini yapotezwe tu..naungana na Mh Rais