Haya mashirika yasiyotoa gawio na yanapayata ruzuku kutoka serikalini yapotezwe tu..naungana na Mh Rais
TTCL inahujumiwa sana...
Milolongo na ujamaa syndrome.. Nimekusoma mkuuTatizo kubwa kwenye shirika la TTCL ni kwamba biashara wanayofanya ina ushindani mkubwa. Mengi ya haya mashirika hayatumii fedha nyingi kujitangaza na kukaba masoko muhimu. Wenzao kikao kimoja tu fedha inatolewa, jambo linafanyika, wenzao fedha inayopatikana kwenye kampuni inadhibitiwa na shirika husika.
Hawa wa serikali pesa yote tuna centralize kwa TRA. Tukihitaji huku kwa promotions na matangazo unapewa 20% ya ulichokiomba. Huwezi kushindana
Tuna dhana kwamba Vya serikali ni bora na havihitaji kutangazwa. Kwenye sekta uhifadhi na utalii ni hivyo hivyo, "watalii watakuja tu, hakuna Serengeti nyengine"
Huo ni Ukweli tu Bro!Naweza kuwa nafikiria vibaya ila naamini kama wewe. TTCL inahitaji damu changa yenye ubunifu unaoendana na mabadiliko na mahitaji ya sasa
Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.
Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.
Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...
Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Bila Uzalendo ni bure tu!Mkuu hapo kwenye uzalendo umechemka
Bado Wizara ndiyo mmiliki wa mkongo,TTCL bado hajakabidhiwa, ila mchakato waendeleaHuko sahihi sana. Watu wasiojua historia ya ili shirika wataponda blindly lakin ukweli TTCL imefikia hapo sababu ya hujuma za watu binafsi na serikali. Unaweza kuamini nikikwambia kuwa TTCL inaendesha mkongo wa taifa lakini mapato ya mkongo yanaenda serikalini/wizarani. Gharama za kumaintain mkongo wa taifa zinatokana na mapato ya ndani ya shirika lkn wateja wa mkongo kama Voda, airtel na wote unaowajua wanalipa hela wizarani. Hii ndio inayoimaliza TTCL
Umetumia akili sana.Kuna siku tulijadili humu kuhusu mchakato mzima wa utumishi katika kuajiri haswa kwa positions na mashirika ambayo yanahitaji watu creative and experienced.
TTCL ilitakiwa iajiri kwa mfumo tofauti na huu wa kuwakalisha watu kwenye halls na kuwauliza maswali ya darasani..
Walitakiwa waangalie Vodacom au Tigo wanaajiri vipi ili wapate watu competent maana huwezi kuingia kwenye soko la biashara na mifumo ya kuserikali na ukategemea survive
Voda, Tigo, Halotel, Zantel,Airtel hayo mashirika yote hayawezi kukubali kuona TTCL inachukua hatamu, they will loose business...Huko sahihi sana. Watu wasiojua historia ya ili shirika wataponda blindly lakin ukweli TTCL imefikia hapo sababu ya hujuma za watu binafsi na serikali. Unaweza kuamini nikikwambia kuwa TTCL inaendesha mkongo wa taifa lakini mapato ya mkongo yanaenda serikalini/wizarani. Gharama za kumaintain mkongo wa taifa zinatokana na mapato ya ndani ya shirika lkn wateja wa mkongo kama Voda, airtel na wote unaowajua wanalipa hela wizarani. Hii ndio inayoimaliza TTCL
Kiufupi tu mifumo ya kuajiri serikalini bado ina walakini, mfano na waalimu wote waliopo mitaani Ila bado wanachaguliwa randomlyUmetumia akili sana.
Mtaani huku kuna vichwa.. ila SAHILI za hawa watu PSRS ni upuuzi uliotukukuka na hapo ni TTCL kuna sekta sensitive kama majeshi yetu ni majanga majanga bahati nzuri hatuna VITA.. otherwise...
Nikajua ulishaacha ushoga....We choko kweli hivi kuna awamu ambayo matajiri uchwara na wezi serikalini walikufa na presha kama awamu ya 5?π
Siwezi kuacha kuwapelekea moto machoko π vipi nawewe unataka? Maana mgeni kashaleta container la vilainishi kazi iendelee.Nikajua ulishaacha ushoga....
Jibu swali basi wewe ni shoga au umeshaacha?Siwezi kuacha kuwapelekea moto machoko π vipi nawewe unataka? Maana mgeni kashaleta container la vilainishi kazi iendelee.
Unaujua ukweli jinsi navyokushughulikia.Jibu swali basi wewe ni shoga au umeshaacha?
Ushauri mzuri sana.Kabla ya kuvunja TTCL serikali ingefanya haya kwanza.
Kuhakikisha zoezi la kampuni zote za simu zinauza hisa Kwa wananchi kama ambavyo sheria inataka na iwapo wananchi wakishindwa kununua hisa hizo basi serikali inunue hisa hizo Kwa niaba ya wananchi...kama ambavyo serikali ina hisa NMB, puma n.k.
Kuiondoa TTCL Kwa sababu haileti faida na kuacha industry yote imilikiwe na watu wachache ni hatari sana...
Serikali ifanye tathmini ya kutosha..
Ajira zipi zilifanyika wakati wa Magufuli? Mbona miaka yake yote hakuajiri?? Ajira zimeanza mwaka jana baada ya Samia kuajiri sekta ya elimu na afyaSikatai kipindi hasa cha Magufuli, kulikuwa na fairness kubwa kwenye amira haswa kupitia utumishi na ni kweli vijana wengi ambao walikuwa book smart waliajiriwa sana bila kuwa na back up
Kwanini hujibu swali sasa? Wewe ni shoga au umeshaacha?Unaujua ukweli jinsi navyokushughulikia.