Kabla ya kuwapa bandari DP World tumetafakari kuhusu usalama wa nchi yetu?

Kabla ya kuwapa bandari DP World tumetafakari kuhusu usalama wa nchi yetu?

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Watanzania,
Bunge letu,
Bandari ni zaidi ya tunavyofikiria.

Usidhani kwamba ni kupokea containers za mizigo ya kawaida tu.

Yapo mambo mengi mno ya kijasusi ambayo hatujayafanyia upembuzi yakinifu.

1. Asilimia kubwa ya zana zetu za KIVITA hupitia Bandarini. Je, tukiwapa DP kutakuwa Tena na usiri wa uimara wa JESHI LETU katika SILAHA linazo miliki?

2. Mizizi ya makundi mengi ya kigaidi ipo Uarabuni. Je, hatutakaribisha watu wabaya kupitia BANDARI? Nani amezungumzia hili Bungeni?

3. JESHI LETU,mmetafakari kuhusu reconnaissance? Katika mafunzo ya kijeshi hasa katika level ya special force, Operation Thunderbolt au Yonathan hutumika Sana kama case study. Je, mnakumbuka nani aliyeuza ramani ya uwanja wa ndege kwa makomandoo wa ki-Israel?

Wanasiasa wameangalia pesa bila kuangalia hatima ya nchi huko mbeleni. Ukisikia pesa hupofusha basi ndiyo hapa. Wenzetu UAE wapo makini na wana vision kali sisi tumeangalia matumbo yetu tu fasta. Na haya ndiyo makosa ya mwafrika toka precolonial Hadi colonization.

Namsikia katibu mkuu wa chama anavyotumia nguvu kubwa kuwahadaa wananchi huko Iringa najiulliza huyu alisoma wapi. Ilikuwaje akaingia kwenye kitengo? Watanzania. Msifanye masihara na Bandari.

Siandiki Sana ila nawakumbusha Tena, Watanzania msifanye masihara na Bandari.

Jamaa siyo wajinga, wanahesabu kali mno. Hawa wanaopiga mdomo wataondoka TANZANIA itabaki. Wanasiasa huo ufanisi mnao unadi na kuingiza pesa nyingi kupitia BANDARI, wawezesheni Watanzania wanaweza. Jamaa wana hesabu kali, nimekaa pale 👉

Mwisho.mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
 
mnatushosha na threads zenu zisizo na kichwa wala miguu. afu na wewe unajiita mwenye akili
 
Wakati wa zama za USSR yuko yeyote ambaye alifikiri itasambaratika? Yuko yeyote alifikiri kuhusu members kati ya waliyo iuanda USSR kwa maana ya Russia na Ukrain leo wangekuwa vitani.

Vita ambayo inaendrlea kupoteza maisha ya watu wengi wakiwemo wanajeshi wa pande zote mbili. Majenerali wametwaliwa kwenye hii vita. Miundomsingi imeharibiwa sana yako magofu ya kutosha upande wa Ukrain.

Moja ya sababu ya vita hii na sikia ni mambo ya umiliki wa bandari. Watanzania tunalo la kujifunza, hapa?
 
Hili tulishalidokeza muda sana sema wameamua kukaza fuvu, si unajua ukishapokea mahari kurudisha huwa inakuwa mtihani.
 
Watanzania,
Bunge letu,
Bandari ni zaidi ya tunavyofikiria.

Usidhani kwamba ni kupokea containers za mizigo ya kawaida tu.

Yapo mambo mengi mno ya kijasusi ambayo hatujayafanyia upembuzi yakinifu.

1. Asilimia kubwa ya zana zetu za KIVITA hupitia Bandarini. Je, tukiwapa DP kutakuwa Tena na usiri wa uimara wa JESHI LETU katika SILAHA linazo miliki?

2. Mizizi ya makundi mengi ya kigaidi ipo Uarabuni. Je, hatutakaribisha watu wabaya kupitia BANDARI? Nani amezungumzia hili Bungeni?

3. JESHI LETU,mmetafakari kuhusu reconnaissance? Katika mafunzo ya kijeshi hasa katika level ya special force, Operation Thunderbolt au Yonathan hutumika Sana kama case study. Je, mnakumbuka nani aliyeuza ramani ya uwanja wa ndege kwa makomandoo wa ki-Israel?

Wanasiasa wameangalia pesa bila kuangalia hatima ya nchi huko mbeleni. Ukisikia pesa hupofusha basi ndiyo hapa. Wenzetu UAE wapo makini na wana vision kali sisi tumeangalia matumbo yetu tu fasta. Na haya ndiyo makosa ya mwafrika toka precolonial Hadi colonization.

Namsikia katibu mkuu wa chama anavyotumia nguvu kubwa kuwahadaa wananchi huko Iringa najiulliza huyu alisoma wapi. Ilikuwaje akaingia kwenye kitengo? Watanzania. Msifanye masihara na Bandari.

Siandiki Sana ila nawakumbusha Tena, Watanzania msifanye masihara na Bandari.

Jamaa siyo wajinga, wanahesabu kali mno. Hawa wanaopiga mdomo wataondoka TANZANIA itabaki. Wanasiasa huo ufanisi mnao unadi na kuingiza pesa nyingi kupitia BANDARI, wawezesheni Watanzania wanaweza. Jamaa wana hesabu kali, nimekaa pale [emoji117]

Mwisho.mungu ibariki Tanzania [emoji1241]
Kwani nini kazi ya TISS !?
Au na wao ni Kundi Moja pia la wasifiaji na kufuata mkondo??
 
Watanzania,
Bunge letu,
Bandari ni zaidi ya tunavyofikiria.

Usidhani kwamba ni kupokea containers za mizigo ya kawaida tu.

Yapo mambo mengi mno ya kijasusi ambayo hatujayafanyia upembuzi yakinifu.

1. Asilimia kubwa ya zana zetu za KIVITA hupitia Bandarini. Je, tukiwapa DP kutakuwa Tena na usiri wa uimara wa JESHI LETU katika SILAHA linazo miliki?

2. Mizizi ya makundi mengi ya kigaidi ipo Uarabuni. Je, hatutakaribisha watu wabaya kupitia BANDARI? Nani amezungumzia hili Bungeni?

3. JESHI LETU,mmetafakari kuhusu reconnaissance? Katika mafunzo ya kijeshi hasa katika level ya special force, Operation Thunderbolt au Yonathan hutumika Sana kama case study. Je, mnakumbuka nani aliyeuza ramani ya uwanja wa ndege kwa makomandoo wa ki-Israel?

Wanasiasa wameangalia pesa bila kuangalia hatima ya nchi huko mbeleni. Ukisikia pesa hupofusha basi ndiyo hapa. Wenzetu UAE wapo makini na wana vision kali sisi tumeangalia matumbo yetu tu fasta. Na haya ndiyo makosa ya mwafrika toka precolonial Hadi colonization.

Namsikia katibu mkuu wa chama anavyotumia nguvu kubwa kuwahadaa wananchi huko Iringa najiulliza huyu alisoma wapi. Ilikuwaje akaingia kwenye kitengo? Watanzania. Msifanye masihara na Bandari.

Siandiki Sana ila nawakumbusha Tena, Watanzania msifanye masihara na Bandari.

Jamaa siyo wajinga, wanahesabu kali mno. Hawa wanaopiga mdomo wataondoka TANZANIA itabaki. Wanasiasa huo ufanisi mnao unadi na kuingiza pesa nyingi kupitia BANDARI, wawezesheni Watanzania wanaweza. Jamaa wana hesabu kali, nimekaa pale 👉

Mwisho.mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Kikubwa dili lishasainiwa" mengine sio priority mkuu!!!
 
Watanzania,
Bunge letu,
Bandari ni zaidi ya tunavyofikiria.

Usidhani kwamba ni kupokea containers za mizigo ya kawaida tu.

Yapo mambo mengi mno ya kijasusi ambayo hatujayafanyia upembuzi yakinifu.

1. Asilimia kubwa ya zana zetu za KIVITA hupitia Bandarini. Je, tukiwapa DP kutakuwa Tena na usiri wa uimara wa JESHI LETU katika SILAHA linazo miliki?

2. Mizizi ya makundi mengi ya kigaidi ipo Uarabuni. Je, hatutakaribisha watu wabaya kupitia BANDARI? Nani amezungumzia hili Bungeni?

3. JESHI LETU,mmetafakari kuhusu reconnaissance? Katika mafunzo ya kijeshi hasa katika level ya special force, Operation Thunderbolt au Yonathan hutumika Sana kama case study. Je, mnakumbuka nani aliyeuza ramani ya uwanja wa ndege kwa makomandoo wa ki-Israel?

Wanasiasa wameangalia pesa bila kuangalia hatima ya nchi huko mbeleni. Ukisikia pesa hupofusha basi ndiyo hapa. Wenzetu UAE wapo makini na wana vision kali sisi tumeangalia matumbo yetu tu fasta. Na haya ndiyo makosa ya mwafrika toka precolonial Hadi colonization.

Namsikia katibu mkuu wa chama anavyotumia nguvu kubwa kuwahadaa wananchi huko Iringa najiulliza huyu alisoma wapi. Ilikuwaje akaingia kwenye kitengo? Watanzania. Msifanye masihara na Bandari.

Siandiki Sana ila nawakumbusha Tena, Watanzania msifanye masihara na Bandari.

Jamaa siyo wajinga, wanahesabu kali mno. Hawa wanaopiga mdomo wataondoka TANZANIA itabaki. Wanasiasa huo ufanisi mnao unadi na kuingiza pesa nyingi kupitia BANDARI, wawezesheni Watanzania wanaweza. Jamaa wana hesabu kali, nimekaa pale 👉

Mwisho.mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
M23 na makundiki mengine wanachekelea
 
Back
Top Bottom