Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Either,
Sera mbovu, rushwa, siasa uchwara, elimu ndogo na mengine mengi uliyotaja kama sababu za kuzuia mafanikio, ni matokeo ya taifa kuwa na kundi kubwa la watu wasiokuwa na hofu ya Mungu.
Hivi kati ya wazungu na waafrika kina nani hawana hofu ya Mungu?



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Wazungu na waarabu kuteka babu zako, kuwaua na kuwapeleka utumwani kinguvu na kimabavu sio uovu mkubwa huo?

Mbona wao wana maendeleo makubwa kushinda sisi?

Halafu wewe mwafrika unayejifanya kumjua sana huyo Mungu umebaki maskini choka mbaya, serikali yako inanuka madeni na mikopo.

Kama kweli " maovu" hufanya taifa fulani lisifanikiwe, nieleze ni maovu yapi waafrika walifanya yakasababisha tushindwe kuwa na maendeleo?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hata definition ya mafanikio ni tofauti kati Yako wewe na sisi timwombao Mungu kila siku.
Kwa hiyo utuache.
Wenzio twajiona tumefanikiwa.
 
Hata definition ya mafanikio ni tofauti kati Yako wewe na sisi timwombao Mungu kila siku.
Kwa hiyo utuache.
Wenzio twajiona tumefanikiwa.
Hamjafanikiwa ila mnajifariji na umaskini wenu.

Yani unaishi kwenye taifa ambalo umeme shida, maji shida, sukari shida, miundombinu mibovu ya kuunga unga halafu unasema mmefanikiwa..!!

Ndio maana Faiza foxy anasema watanzania wengi mlienda shule kusomea ujinga...


Hali halisi ya maisha ya watanzania wengi ni Hohehae maskini choka mbaya.

Endeleeni kupotoshwa na imani za dini zenu hizo kwamba kuna maisha bora ya kufikirika mbinguni.




Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Umeweza kugusa na kusadifu huu msamiati ama methali. Làkini yote kwa yote ni kutenda mema. Màana hata hao wavivu wasio na sifa walioko humu bado hawajafika. Namaanisha anytime wanaweza kupatwa na lolote (siwaombei) mpk pale watapolipa gharama.
Haya maisha wote hatuepuki future uncertainities ila cha msingi ni kuishi vyema katika kila siku ambayo Mungu anayokubariki nayo
 



Umasikini unajua maana yake , ikiwa bakhressa anaswali swala tano Mimi nisipige goti
 
Hata kukopa ni mtihani yaani ukope mkpo wa miaka 6 mbele kwa ajili ya kujenga nyumba tu nalo ni tatizo.
 
Mbona watu wanoishi dunia ya kwanza wanatimiza hayo malengo Kama nyumba ,gari na kuwa na familia nzuri under 30 yrs.


Mimi naamini katika MUNGU Ila pia naamini MTU kuishi below the average hutokana na mindset na mifumo ya nchi husika.
Hizi ni nchi za watu waliolaaniwa. Third world kila kitu msala... Hata ukifa Leo maiti yako haipunziki watakuja wachawi kukata nyama wakukule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…