Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hivi kati ya wazungu na waafrika kina nani hawana hofu ya Mungu?Either,
Sera mbovu, rushwa, siasa uchwara, elimu ndogo na mengine mengi uliyotaja kama sababu za kuzuia mafanikio, ni matokeo ya taifa kuwa na kundi kubwa la watu wasiokuwa na hofu ya Mungu.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app