Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Unaweza hata kumiliki private jet?

Siri si unayo?

Muombe huyo bwana mungu umiliki private jet kama utaweza...😄😄

Sio kuongea ongea maandiko uchwara ya kufikirika tu.
Yaani ushinde kanisani au msikitini bila mipango upate private jet ya burebure? Hiyo hajawahi kutokea. Tumepewa utashi na maarifa tuyatumie. Simba hawezi kula bila kuua, anatumia utashi wake kupata mlo otherwise atakufa.
 
Pole mkuu naelewa sometimes inauma sana pale unapokuwa na potential kubwa lakini haikufikishi unapopataka zaidi ya kupewa empty praises. Mungu afanye, take off yako iwezekane lakini pia kama, utaweza ni vyema kuongea na watu waliofanikiwa maana kama kuna kitu kinasumbua watu ambao wana akili sana ni kufuata certain patterns or formalities. Hopeful bro Ivan Stepanov ataongezea
Sasa hapo usije ukawachanganya watu wakahisi na mimi ni miongoni mwa watu waliofanikiwa kumbe nimefanikiwa kifikra tu kitu kilichonisukuma kufanya maamuzi magumu yaliyo nigharimu but now atleast naweza ona mwanga japo mifuko imetoboka.😂😂😂.
 
watu wa dini hii hapa ndipo pana wakawamisha sana.
You have bunch of keys, but u know nothing on how to use them, where the locks are to apply your keys so u keep applying the smart keys on wrong locks and nothing opens
Tena ni wengi, kwenye masuala ya akili timamu.
👉Wao Wana kuambia uta chomeka😂😀
 
nilichojifunza mpka sasa ni kutomuonea mtu wivu..... unaweza ona wivu kwa mtu ulietakiwa kumuonea huruma....


nina jamaa yangu tulimaliza wote 4 akadunda maisha yakaendelea... miaka ya 2012 alikuja kufumuka mkwanja mrefu ndinga kali kawahamisha wazazi wake kawapeleka shamba kaporomosha mjengo wakae wasimamie mashamba..... sikujua chanzo cha kipato ila alikua akikutana na mimi stor zake ni pesa tu na sikuwahi hoji umetoboaje.
mwaka 2014 hivi akavuta benz ya maana 2016 nikakutana na jamaa yangu mwingine katika stor za hapa na pale akanidokeza jamaa yetu alikua mzee wa madawa akadakwa dubai ndio ikawa mwisho wake jinsi jamaa alivyokua ananipa stor nilihisi mwili kusisimka niliogopa sana ndio nikaanza kuunga matukio nikajifunza kutoona wivu ningejiskia vibaya jamaa kunipita mafanikio wakati sijui chanzo cha mapatonyake ni ujinga..

sijawahi muona jamaa yangu mpka leo naambiwa hajachomoka na wazazi wameshafarakana hakuna kilichosimama tena toka adakwe.... maisha hayako kirahisi ila tujifunze kupambana na kuamini kile kinachoweza kukupa faida hata kama ni ndogo ila uwe na amani.

leo nipo na familia yangu ila jamaa yangu yupo na familia ya wafungwa inaumiza sana ukifikiri
 
nilichojifunza mpka sasa ni kutomuonea mtu wivu..... unaweza ona wivu kwa mtu ulietakiwa kumuonea huruma....


nina jamaa yangu tulimaliza wote 4 akadunda maisha yakaendelea... miaka ya 2012 alikuja kufumuka mkwanja mrefu ndinga kali kawahamisha wazazi wake kawapeleka shamba kaporomosha mjengo wakae wasimamie mashamba..... sikujua chanzo cha kipato ila alikua akikutana na mimi stor zake ni pesa tu na sikuwahi hoji umetoboaje.
mwaka 2014 hivi akavuta benz ya maana 2016 nikakutana na jamaa yangu mwingine katika stor za hapa na pale akanidokeza jamaa yetu alikua mzee wa madawa akadakwa dubai ndio ikawa mwisho wake jinsi jamaa alivyokua ananipa stor nilihisi mwili kusisimka niliogopa sana ndio nikaanza kuunga matukio nikajifunza kutoona wivu ningejiskia vibaya jamaa kunipita mafanikio wakati sijui chanzo cha mapatonyake ni ujinga..

sijawahi muona jamaa yangu mpka leo naambiwa hajachomoka na wazazi wameshafarakana hakuna kilichosimama tena toka adakwe.... maisha hayako kirahisi ila tujifunze kupambana na kuamini kile kinachoweza kukupa faida hata kama ni ndogo ila uwe na amani.

leo nipo na familia yangu ila jamaa yangu yupo na familia ya wafungwa inaumiza sana ukifikiri
Easy Money High Risk Money......huyo jamaa itakuwa hakuwa na Kadi na hafahamiani na makada
 
Je, unaijua kesho yako itakuaje ?..

Je, unaweza kuamua kesho utakutana na nani au lipi ?...

Kama nikikurudisha 5 years back, je hapo ulipo ndipo ulipotaka kuwa kwa kitu ukifanyacho na kwa level uliyoifikia ?..

What I know, binadamu tuna control mchakato tu ili tuweze influence results ila hatuna UBAVU wa kutengeneza matokeo vile tunavyotaka sisi na kama ingekuwa hivyo, bhasi zaidi ya 80% ya biashara za Tanzania zisingekufa kabla ya kufikisha miaka 5 maana sidhani kama kuna mtu anaeanzisha biashara ili ife...

One thing nachoweza kukubaliana nawe ni kuwa kila kinachotokea mara nyingi hutokana na maamuzi tunayofanya ila sababu za kupelekea kufanya uamuzi fulani, kuna zile tunazoweza kuzicontrol na zile tusizoweza

Personally, huwa naamini sana katika jitihada sana na strategy za kufanya mambo lakini huwa sipuuzi uwepo wa circumstances ambazo zipo nje ya uwezo wangu, japo sizipi uzito sana ili nibaki persistent
Well
 
Kuwa Mlokole au mwenye haki hakukufanyi ufanikiwe.
Unafanikiwa kwa sababu Mungu ndiye ameamua ufanikiwe.
Waliofanikiwa wengi wao wanakiri kuwa hawakutegemea kama wangefanikiwa. Yaani wanaita ni bahati.

Wengi wanaofeli wanafeli kwa sababu wanaamini katika uwezo wao wenyewe.

Tafuta waliofanikiwa wote wanafanana katika jambo moja. Kuamini kuwa mafanikio ni majaliwa ya Mungu
Mkuu ukikutana na Kada kashapata Mchongo mambo yake ya gizani yanameendea vizuri basi sisi wengine anatuona tupo tupo tu tunaishi bila mipango
 
Acha woga😂😂
siogopi ila kwenye maisha kuna machaguo na mimi nilichagua amani zaidi kuliko kipato kikubwa kitakachoniweka roho juu.
mfano leo narudi home naona wanangu naweza saidia familia yangu naishi wa watu kwa uhuru hii kwangu ni amani na furaha kuliko kuwa na biashara haramu zitakazoniondoa mbele ya uso wa familia yangu.

hakuna kitu kinaumiza kama kuona familia inabaki haina baba kisa ulishindwa kuangalia fursa halali jela ipo kwa kila mtu ila nimejiapiza nitaingia kwa makosa ya kibinadamu kama kusingiziwa ila sio kwa pusha nikatishe furaha ya wanangu
 
siogopi ila kwenye maisha kuna machaguo na mimi nilichagua amani zaidi kuliko kipato kikubwa kitakachoniweka roho juu.
mfano leo narudi home naona wanangu naweza saidia familia yangu naishi wa watu kwa uhuru hii kwangu ni amani na furaha kuliko kuwa na biashara haramu zitakazoniondoa mbele ya uso wa familia yangu.

hakuna kitu kinaumiza kama kuona familia inabaki haina baba kisa ulishindwa kuangalia fursa halali jela ipo kwa kila mtu ila nimejiapiza nitaingia kwa makosa ya kibinadamu kama kusingiziwa ila sio kwa pusha nikatishe furaha ya wanangu
Basi wewe utajiri utausikia
 
Back
Top Bottom