Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Stori za abunuasi
 
Siyo kweli, ukisema hivyo maana yake hata sheria za kifizikia zinazotawala maisha ya mwanadamu hazina maana. Hayo maneno kutoka kwa mhubiri hujayaelewa vizuri.
 
Fact,

Kwa mazingira ya nchi yetu mafanikio hupimwa kwa vitu kama hivi lakini katika uhalisia haya siyo mafanikio bali na mahitaji ya kawaida kwa binadamu yoyoye ili aweze kuishi vyema
 
Mbona umerukia kwa Riz-1 na wewe, Ungeanzia kwq babu yake Rizi-1 na Babu yako wewe, ukaja kwa baba yake Riz-1 na baba yako wewe.. Rizi-1 na wewe ni just By products tu za long chain hukoo.
Kwasababu umesema "Mungu kawapa watu wote same ground blah blah". Ungelenga mababu tu, ambapo hata hivyo huwezi kuprove kama walikuwa na same ground, mimi nisingejibu nilivyojibu.

Na kama issue ni mababu tu, inamaana huyo mungu hana fairness, kwasababu mimi sina same ground na watu wengi tu.
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Yaani ushinde kanisani au msikitini bila mipango upate private jet ya burebure? Hiyo hajawahi kutokea. Tumepewa utashi na maarifa tuyatumie. Simba hawezi kula bila kuua, anatumia utashi wake kupata mlo otherwise atakufa.
Neno la kumaliza ni

" Simba hawezi kula bila kuua"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…