Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Sidhani na sina uhakika kuwa kutengeneza App ni kazi ndogo...lazima ujiandae vyakutosha!
 
Okay..ujionavyo ndivyo huwa!. Am different from your perspectives
Mimi nikiwa nina urefu wa 6,3ft nikajiona mbilikimo, kujiona kwangu hakutanipunguzia height kuwa size ya mbilikimo.

Mimi nikiwa masikini, nikijiona tajiri, kujiona kwangu tajiri, hakutanifanya niwe millionaire.

Kuna facts na opinions.

Mimi kutokuwa na same ground na riz1 ni fact sio opinion.
 
Pole kwa mara nyingine tena mkuu
 
Hii nchi wehu ndo wanatoboa faster
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Aseeee wenye akili timamu wapo kwenye lindi la umaskini.
 
Tz kila kitu bahati nasibu. Walioendelea duniani huko, mtoto wa miaka 18 ana gari.
 
Dude you killed this shit as none
Nakumbuka 10yrs back my monthly income ilisababisha nipige hesabu kuwa by now ningekuwa nikiruka juu kidogo kama vile unacheza dama basi lazima nigonge ile roof ya 500M. Laiti ningejua kuwa 2024 itanikuta ninahangaika kuidhibiti 200k per month na nimetulia.
Nyie acheni tu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] firimasoni kwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…