Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari


Marais wote nchi yetu hawakutegemea kama wangekuwa marais. Na wale waliokuwa na uhakika wa kuwa Rais hawakuwa.
Maisha sio mchezo
 
Kukata tamaa ni mwiko tutatoboa tuuu
 
Kukata tamaa ni mwiko tutatoboa tuuu

Kuna ambao walikata tamaa lakini Dakika za mwisho wakatoboa wakiwa katika state hiyohiyo ya kukata tamaa.

Na waliokuwa na moyo mkuu usiokataa tamaa mpaka mwisho lakini wakashindwa kutoboa. Walikufa wakiwa hawaamini kama ngoma imelala wakiwa wamepigwa.


Mungu ndiye mwamuzi wa yote. Huna lolote utakalofanya kwa uwezo wako. Unaweza ukawa strong ukashindwa na aliyedhaifu
 
Tanzania, kwa maoni ya wengi, kujenga nyumba na kununua gari ndiyo kilele cha mafanikio. Kwangu nini sidhani kama tuko sahihi. Unaweza kuwa unaishi kwenye nyumba ya kupanga na unatumia usafiri wa public lakini ukawa na mafanikio kuliko mtu mwenye nyumba na gari.
 
Hata Ulaya kujenga nyumba yako nzuri na kumiliki gari ni mafanikio Mkuu.

Mafanikio ni mafanikio popote. Uwe Ulaya, Asia au Afrika
 


Mil 100 ni hela ndogo Sana huwezi kuacha masomo Kama form four au six maana Kwa nchi zetu wengi Elimu ndo umetufanya tuone Mwanga so the guy Was Right.
 
Jitihada bila Mungu ni bureee na Mungu ni mwamuzi wa yote lakini bado bila jitihada za dhati ni BURE pia.
 
Hata Ulaya kujenga nyumba yako nzuri na kumiliki gari ni mafanikio Mkuu.

Mafanikio ni mafanikio popote. Uwe Ulaya, Asia au Afrika
Nyumba na gari Mimi naona ni mahitaji ya muhimu Ila sio mafanikio. Mimi nayatazama mafanikio yangu ninapokuwa na uwezo wa kuwafanya watu wengine wapate Mahitaji yao kupitia mimi
 
Jitihada bila Mungu ni bureee na Mungu ni mwamuzi wa yote lakini bado bila jitihada za dhati ni BURE pia.

Mungu ndio hukupa hiyo roho ya jitihada ili akupe bahati yako.
Unafikiri spirit ya mtu kufanya kazi inatoka wapi?
Lakini pia mtu asipokuwa na ari ya kufanya kazi Unafikiri hiyo inatokana na nini?

Unaposema Mungu unamaanisha chanzo cha yote uyajuayo na yale usiyoyajua. Yawe mazuri au Mabaya. Yeye ndiye mbunifu, mtunzi na muimbaji wa kila kitu.
 

Nini chanzo cha jitihada kwa mtu?
Nini chanzo cha msukumo wa jitihada kwati kufanya jambo fulani alafu mwingine akakosa huo msukumo?

Mimi naamini kila jambo Mungu ndiye mratibu na mshukiwa namba moja. Alfajiri na omega. Mweza wa yote mazuri au Mabaya, makubwa au madogo.

Ukishakuwa na attitude kuwa Mungu ni wamazuri pekee hapo ndio mwanzo wa kutojua maisha ni nini.
Mungu ni wa yote. Mazuri na mabaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…