The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
- Thread starter
- #141
The finest, mimi mume wangu simsujudu bali namuheshimu, sasa hapo naenda kinyume na maandiko? (ya mfalme Daudi)Kusujudu mi nakufananisha na nidhamu ya uongo uongo hivi!
Wakaweka neno NITAKUHESHIMU lol!!!
...lol...kwenye kiapo cha ndoa mliondoa neno "....nitamtii?"
