daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Ukisoma nyuzi za humu unaweza kuogopa. Utajua world war 3 ipo karibu siku mbili nyingi, Palestina/Israel itakuwa umeangamizwa ndani siku tatu zijazo.
Hivi Ukraine ime survive vipi hadi leo, je watu wanaendelea na maisha kama kawaida?
Hivi Ukraine ime survive vipi hadi leo, je watu wanaendelea na maisha kama kawaida?