[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana wanaweza kupeana sumu ama anaweza kuamua ammalize mwenzake kwakuwa yatakuwa nje ya ulinzi kutokana na tendo lenyewe kuhitaji faragha
Hii ya umeme na maji,naona ni mbaya mnoKunyongwa
Sindano ya sumu
Kupigwa shoti ya umeme(electrocution)...
Kuzamishwa majini(drowning)
....kipi ni cha maumivu zaidi!?
Kama akitoa maagizo hupelekwa kwa walengwa?Naongezea ,wanyongwaji hupewq nafasi ya kutamka maneno yamwisho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii dunia ina watu wengi sana wenye roho mbaya kiasi ambacho kazi kama hii inagombaniwa na wengi mno. Nina uhakika hata wangesema watu wa kunyonga bila malipo wangepata.
Si useme tu mzee kuwa umecopy hyo makala au mpaka niweke link yake hapa? Sema suu niweke!
Na kifuti juu[emoji23] [emoji23]basi wafanye mpango hata hiyo ya kumalizia asee ...akijifanya anakukuruka unapiga nyundo mbili fantastic na kifuti juu
Eti hata nyegezi, basata c wataomba aongezewe adhabu ! [emoji16] [emoji16] [emoji16]Mnyongwaji hana uamuzi wa
. gereza
. adhabu
. mnyongaji
Bali siku ya mwisho hupewa uchaguzi wa kula apendacho, kunywa apendacho, hata sigara (sio kubwa) hupewa kwa idadi ya kutosha.. Na hata nyimbo anaweza kupigiwa hata Nyegezi
84 hapo ni bonge la mkongwe haswa mimi hapo nina 4yrs bado naburuzwa kwenye mabox na mabrazaTangu 1984 safari ya Kenya ikiuzwa sh. 20 na pilsner ya Tz ikiuzwa sh. 15
Kwahiyo kama ni kunyongwa tu, na ikatokea usife basi unapewa adhabu nyengine?Unaweza ukanyongwa na usife... Sasa hukumu ya KIFO ni lazima unyongwe hadi UFE... kwakuwa hukumu yako ni kifo...
Mashtaka kortiniJamaa yuko sahihi mkuu, anaekamatwa ni bwana jela , Kuna ndugu yangu ni askari magereza aliwahi kuniambia same things.
MlOge huyu jamaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi kwanini unakuwa na mawazo kimo cha mbilikimo kiasi hiki?
Mshana chenga sana huyu [emoji23][emoji23][emoji23]Eti hata nyegezi, basata c wataomba aongezewe adhabu ! [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Na ndicho nilichokuwa nakitaka,nimkere hadi ajae upepo,na bado nataka mpaka akaniroge kama kweli yeye mgangaSiku ya kwanza leo naona unamtolea mtu povu[emoji23][emoji23][emoji23] kweli bwana mganga umechefukwa
kazi ya kuwapokea waliomaliza safari yao ya maisha ya mwili, nyama, mifupa na damu hapa duniani (mortuary attendant) au ukipenda uiite KAZI MAALUMU japo sio unyongaji. nahisi ni mule mule. kunradh Mshana JrHivi mshana anafanya kazi gani