Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si useme tu mzee kuwa umecopy hyo makala au mpaka niweke link yake hapa? Sema suu niweke!
Una roho nguAisee
Nakumbuka kuna nchi waliweka advert ya kazi ya kunyonga kwa mshahara mnono
Nili apply nikakosa
ubaguzi mkuu na si sawa tushindanishwe kwa saili banahizi fursa adimu kabisa mkuu yani wanashindwa hata kutangaza kwenye vyombo vya habari [emoji144]
Duh hawana huruma aiseeSidhani kama imewahi kutokea... Utabembelezwa hadi ule.. Ikishindikana kabisa watakula kichwa hivyo hivyo
Wee vipi wewe kwani mpaka upate ruhusa yangu!? Weka! Kwani shida iko wapi? Ifike mahali uache utoto na upumbavu.. Unatambua kwa hakika kwanini nasema hivi...!Si useme tu mzee kuwa umecopy hyo makala au mpaka niweke link yake hapa? Sema suu niweke!
Kesho utaamka haupo JF kwa muda.
Kesho utaamka haupo JF kwa muda.
Aisee kaka mchanajr hizi mada zako sasa zinatisha, yaani nimeisoma huku napata hofu ya kifo na bafo napenda kuendelea kusoma, hahahahaha