Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana ramli yake imemwambia hivyo. Sema wasiwasi wangu huyo mwingine achungwe hasije akarudi jalalani.Katika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.
Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.
Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.
Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.
Nini maoni yako!
Kuna ka ukweeeeli fulani hapo hasa kwenye uspikaDuh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Jenesta1. Lukuvi
2. Kitila
3. Waitara
4. ...
Ongezea
Sure na sisi kama nchi tulipoteza uwezo huo wa kupotea miaka kama 6 hivi iliyopita kwa uchache. Toka 2015 mtu akisema tunapotea na yuko jirani nikimuonea huruma sana nitampiga kerubu moja matata sana.Kama hujui unakokwenda huwezi kupotea.
Hutaki kanywe sumu sisi tunazidi kusonga mbeleMakalio mkubwa huna akili. Utawala sio ishu ya kurithishana.
Jenesta mbona kaula tena?Jenesta
Kabisa kabisa tunalisongesha tuone wewe mjanja utafanya nini na njaa zakoWewe bwege unasonga mbele?
Hawezi kuwa PM maana itabidi Baraza livunjweDuh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Duh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Sukuma gang tuko vizuri..Sure na sisi kama nchi tulipoteza uwezo huo wa kupotea miaka kama 6 hivi iliyopita kwa uchache. Toka 2015 mtu akisema tunapotea na yuko jirani nikimuonea huruma sana nitampiga kerubu moja matata sana.
Angalia usije pasuka kwa mihasira jombaMakalio kaa kimya
Alisema nini?Umesahau yale aliyoongea Kanisani?
Maoni- juu ya maoni yako- usituendesheKatika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.
Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.
Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.
Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.
Nini maoni yako!
Anayenijua ni mke wangu.Wewe una nini bwege nakujua kila kitu.
Baraza la mchongoBaraza la sasa jepesi sana yani biskuti..😂
Wewe ulifkiri yale mimacho mikubwa ndio kuongoza nchi? Yule si alikunywa yale maji ya kienyeji toka madaska eti dawa ya corona ata yalikuwa hayajafanyiwa vipimo chochoteNchi imetekwa na majambazi wa msoga.. Sasa ni full upigaji
Waitara ni safi kabisa kuondolewaKatika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.
Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.
Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.
Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.
Nini maoni yako!