Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Hao wote umri wao ni zaidi ya miaka sitini, sio vijana wadogo kwa namna yoyote ile.Inashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? ππππππππππ
Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
Yes lowassa alitingisha kutokana na urafi wake wa madaraka ambapo alimwaga sana pesa kununua popurality Kila kona ya nchi hii..Unaijua TISS ? Muwe mnaongea mambo yenye maana sio kujaza pages. Mtu aliyetingisha mfumo ni Lowasa akigombea na Magufuli. Bila kula kuibiwa hali ilikuwa mbaya. Wengine ni vinyamkera tu. Hata Lissu alijaribu japo kwa mbali tu.
Huyo kabudi tokea alipotumia mamilion ya pesa kuruka na ndege yetu kwenda kuchukua togwa hapo madagaska nilimtoa akilini kbsaInashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? ππππππππππ
Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
Lukuvi anaandaliwa kuwa Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa TanzaniaKatika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.
Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.
Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.
Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.
Nini maoni yako!
Ni makosa kusaka urais?Lukuvi anausaka sana Urais JPM aliwai kumchana laivu kuwa huwezi kuwa Rais usipoteze bure hela zako
ni kosa ndio sababu kwa mujibu wa CCM muda wa kuanza kiisaka Urais bado mpaka kipyanga kitakapopulizwaNi makosa kusaka urais?
Ni mbunge yule! Au unafikiri ni mbugila tu kama weweMkumbo sasa amrudie Zitto aombe kanafasi angalau aendelee kuuza sura
Mwambie Hangaya aache hofuni kosa ndio sababu kwa mujibu wa CCM muda wa kuanza kiisaka Urais bado mpaka kipyanga kitakapopulizwa
Mashabiki a k a chawa4. Godfrey Mwambe
5. Prof. Kabudi
Na wewe kapige kwani hutaki pesa?Nchi imetekwa na majambazi wa msoga.. Sasa ni full upigaji
USpika wa ufipa sukuma gang labdaKuna ka ukweeeeli fulani hapo hasa kwenye uspika
La ovyo kuwahi kutokea duniani. Nimechukia yaani sitalala. Eti ridhiwani kweli?. Unamwachaje Lukuvi?Baraza la sasa jepesi sana yani biskuti..[emoji23]
Warithi wapo,kina Simbachawene na Jenista ππSiku mkuchika atakapokufa ndio utakuwa mwisho wa utawala wa ccm. Huyu mzee nadhani ndiye anashikilia hirizi ya chama, mbona yeye panga pangua yumo tu.
Lala mkuu usituwangie bure..πLa ovyo kuwahi kutokea duniani. Nimechukia yaani sitalala. Eti ridhiwani kweli?. Unamwachaje Lukuvi?
Teua lako mkuu πππLa ovyo kuwahi kutokea duniani. Nimechukia yaani sitalala. Eti ridhiwani kweli?. Unamwachaje Lukuvi?