Waitara Ni mwanachama wetu. Kadi hakurudisha. Kitila is a spent force hata sukuma gang sithani Kama wsnahitaji mizigo kkama hii. Huku UPINZANI tulisha m deleteWaitara je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waitara Ni mwanachama wetu. Kadi hakurudisha. Kitila is a spent force hata sukuma gang sithani Kama wsnahitaji mizigo kkama hii. Huku UPINZANI tulisha m deleteWaitara je?
We unaona tunaenda wapi? Tunaenda hukuHivi kweli unamtoa kabudi na Lukuvi? Sijui tunakoenda?
Hili mliloteua halitatufikisha hata mwisho wa mwaka huuTeua lako mkuu [emoji1][emoji1][emoji1]
Wote hao ni takataka kwani Wana jipya gani? Wana hati miliki hapa Tzn? Rubbish postOf all the people!! unatoa Lukuvi, Kabudi unaweka Riz 1. Nape kwenye baraza!! Sisi yetu macho!! Sidhani kama unaweza kumshawishi mtu yeyote kuwa MASLAHI MAPANA YA TAIFA YAMEZINGATIWA!! Nadhani kilichoongoza mabadiliko haya ni hiyo hiyo 2025 fever and not otherwise!!
Hata Mwendazake ni figisu za hao zilimuwekaTimu ya
watoto wa mjini: January, Nape & Rizi 1. Vijana wa figisu figisu za uchaguzi!! Mama anaangalia 2025!!! No place for Senior Ministers!! Utaanzaje kuongea figisu figisu za uchaguzi na mtu kama Lukuvi au kabudi kwa mfano!! Lakini Riz 1, hata kumtuma makaburini kwake sawz tu!!
Kwa nini?Eti unamtoa Lukuvi unaweka Ridhiwani Kikwete! Ni maudhi na dhihaka.
Sema yule mama ukiachana na uchapaji kazi pisi moja matataUmi kaenda wizara gani?
Sasa wakasake vizuri huko njeNi makosa kusaka urais?
1. Lukuvi
2. Kitila
3. Waitara
4. ...
Ongezea
Litawafikisha wapi? Tulia wewe s gang zama za kutekana zimepita,saizi ni Kazi na Bata.Hili mliloteua halitatufikisha hata mwisho wa mwaka huu
Lukuvi hana vinasabaDuh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Nchi imetekwa na majambazi wa msoga.. Sasa ni full upigaji
Huyu pombe imemtawala sanaWaitara je?
Pale Riziwani anapokuwa bora kuliko Kabudi au Mkumbo. Tukutane 2025.